Ukraine walipua shehena la silaha za Urusi kule Crimea

Ukraine walipua shehena la silaha za Urusi kule Crimea

Mtanzania yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati Iddi Amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!

[emoji116][emoji116]
Mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!

Kukosa Hekima ya Nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao Kutusaidia amini angeendelea kutamba kule Mwanza na ndege vita alizo pewa na mrusi!

Ile vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi kubalance vita ili kuwa ili Iwe fursa yake ya kuuza silaha [emoji56][emoji15]

Au Tatizo ww inawezekana ulikuwa bado unanyonya hujui uchungu na athari za kuvamiwa?!
Sawa mkuu wa manunizi na uhifadhi Silaha JWTZ.
Uliomba Iddi Amin alinunua, huoni wewe ombaomba ni chizi ukilalamika?

Kama ulichoandika hapo kikiwa na asilimia mbili tu za ukweli.
Moscow ilikuwa ina Big Concerns kwa wakati huo, sidhani kama ilikuwa sahihi kuwaomba chochote kwa bure.
 
Silaha za nchi za magharibi ndio imefanya hadi Russia kaishiwa askari hadi kupeleka wafungwa vitani na sasa ndio wanaanza kuandikisha hadi wanafunzi kwenda vitani na baada ya hapo atawaandikisha hadi ma-ustadhi wanaopiga kelele humu kwenda vitani kwani shughuli bado ipo.
 
Wacha uongo wako wa kitoto, je, siku hizi hizo HIMARS unazisikia zikitamba tena baada ya Urusi kuzisoma na kuzipatia PANADOL, zilizo baki wanazoficha maporini na kwenye mahandaki inatolewa moja moja usiku wa manane, lakini hata hivyo roketi zake zinakuwa swep out of the sky like flies by formifable Russian ADS.

We endelea na ngonjera zako za kila siku tutaona mwisho wake hivi karibuni.
wewe hujui kitu pambaf
 
Illmatic
Tatizo watoto mpo wengi humu!
Kama unakumbuka Tuliteka ndege vita za amin Entebe!
Kuna ndege iliyo fika Tz hata moja??
Ref!; hata yaliyo mkuta Samora Moses Machel ndipo utajua rangi ya mrusi!
Kuna sehemu hapo nimeandika tulitaka silaha za bure??
 
Mtanzania yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati Iddi Amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!

[emoji116][emoji116]
Mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!

Kukosa Hekima ya Nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao Kutusaidia amini angeendelea kutamba kule Mwanza na ndege vita alizo pewa na mrusi!

Ile vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi kubalance vita ili kuwa ili Iwe fursa yake ya kuuza silaha [emoji56][emoji15]

Au Tatizo ww inawezekana ulikuwa bado unanyonya hujui uchungu na athari za kuvamiwa?!
Hichi ulokisema si kweli.

Hivyo vifaa Russia alikuwa akiuza kwa nchi za Afrika hata kabla huyo Iddi Amin hajaanza mambo yake.

Hivyo alipoingia madarakani akakuta vifaa tayari vipo lakini si kwamba Russia ilimuuzia Iddi Amin silaha.
 
Illmatic
Tatizo watoto mpo wengi humu!
Kama unakumbuka Tuliteka ndege vita za amin Entebe!
Kuna ndege iliyo fika Tz hata moja??
Ref!; hata yaliyo mkuta Samora Moses Machel ndipo utajua rangi ya mrusi!
Kuna sehemu hapo nimeandika tulitaka silaha za bure??
Mkuu, kama hufahamu haya masuala usijitutume kuandika.
 
Hichi ulokisema si kweli.

Hivyo vifaa Russia alikuwa akiuza kwa nchi za Afrika hata kabla huyo Iddi Amin hajaanza mambo yake.

Hivyo alipoingia madarakani akakuta vifaa tayari vipo lakini si kwamba Russia ilimuuzia Iddi Amin silaha.
Naongelea wakati wa vita vya Kagera!
ww unaleta stori za kabla ya vita![emoji12]
 
Naongelea wakati wa vita vya Kagera!
ww unaleta stori za kabla ya vita![emoji12]
Ok, weye endelea na hadithi yako.

Ila wakati wa vita mimi tayari nilikuwa nipo shule.
 
Na wala hamtajua zilipo, endeleeni kuzisaka ila kichapo chake mnapokea....hehehe
Bwege kweli wewe, kwahio mnaomba ndege sahizi Himars zimefyekwa zote tayari🤣🤣🤣 na boss wenu kasema hatoi silaha hadi mufanikishe counter offensive
 
Wacha uongo wako wa kitoto, je, siku hizi hizo HIMARS unazisikia zikitamba tena baada ya Urusi kuzisoma na kuzipatia PANADOL, zilizo baki wanazoficha maporini na kwenye mahandaki inatolewa moja moja usiku wa manane, lakini hata hivyo roketi zake zinakuwa swep out of the sky like flies by formifable Russian ADS.

We endelea na ngonjera zako za kila siku tutaona mwisho wake hivi karibuni.
Kuchanganyikiwa kubaya bwashee, wewe kila siku utaona mwisho wake hivi karibu aahhh!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Soma biblia vizuri ndugu ..hata wayahudi walipomtenda Mungu Dhambi kuna wakati aliwafanya mateka kwenye nchi yao....Kuna wakati walitumikishwa na washami, wakati mwingine wamidiani, na hata wakati mwingine walipelekwa Utumwani Babeli kwa miaka 70 na hekalu lao lilivunjwa vibaya sana na kutiwa unajisi...na tena baada ya hayo Mungu anamuita Aliyeyafanya hayo yaani Nebukadreza Mungu anamtambua kama Mtumishi wake.

Yeremia 25:9 Angalieni nitapeleka watu na kuzitwaa jamaa zote za upande wa Kaskazini, asema Bwana, Nami nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli , mtumishi wangu, nami nitawaleta juu ya nchi hii, na juu yao wakaao ndani yake, na juu ya mataifa haya yote yaliyo pande zote, nami nitawaangamiza kabisa, na kuwafanya kitu cha kushangaza na kitu cha kuzomewa, na ukiwa Daima.
ukraine imemkosea nini mungu ?
 
Back
Top Bottom