Ukraine walipua shehena la silaha za Urusi kule Crimea

Sawa mkuu wa manunizi na uhifadhi Silaha JWTZ.
Uliomba Iddi Amin alinunua, huoni wewe ombaomba ni chizi ukilalamika?

Kama ulichoandika hapo kikiwa na asilimia mbili tu za ukweli.
Moscow ilikuwa ina Big Concerns kwa wakati huo, sidhani kama ilikuwa sahihi kuwaomba chochote kwa bure.
 
Silaha za nchi za magharibi ndio imefanya hadi Russia kaishiwa askari hadi kupeleka wafungwa vitani na sasa ndio wanaanza kuandikisha hadi wanafunzi kwenda vitani na baada ya hapo atawaandikisha hadi ma-ustadhi wanaopiga kelele humu kwenda vitani kwani shughuli bado ipo.
 
wewe hujui kitu pambaf
 
Illmatic
Tatizo watoto mpo wengi humu!
Kama unakumbuka Tuliteka ndege vita za amin Entebe!
Kuna ndege iliyo fika Tz hata moja??
Ref!; hata yaliyo mkuta Samora Moses Machel ndipo utajua rangi ya mrusi!
Kuna sehemu hapo nimeandika tulitaka silaha za bure??
 
Hichi ulokisema si kweli.

Hivyo vifaa Russia alikuwa akiuza kwa nchi za Afrika hata kabla huyo Iddi Amin hajaanza mambo yake.

Hivyo alipoingia madarakani akakuta vifaa tayari vipo lakini si kwamba Russia ilimuuzia Iddi Amin silaha.
 
Mkuu, kama hufahamu haya masuala usijitutume kuandika.
 
Hichi ulokisema si kweli.

Hivyo vifaa Russia alikuwa akiuza kwa nchi za Afrika hata kabla huyo Iddi Amin hajaanza mambo yake.

Hivyo alipoingia madarakani akakuta vifaa tayari vipo lakini si kwamba Russia ilimuuzia Iddi Amin silaha.
Naongelea wakati wa vita vya Kagera!
ww unaleta stori za kabla ya vita![emoji12]
 
Naongelea wakati wa vita vya Kagera!
ww unaleta stori za kabla ya vita![emoji12]
Ok, weye endelea na hadithi yako.

Ila wakati wa vita mimi tayari nilikuwa nipo shule.
 
Na wala hamtajua zilipo, endeleeni kuzisaka ila kichapo chake mnapokea....hehehe
Bwege kweli wewe, kwahio mnaomba ndege sahizi Himars zimefyekwa zote tayari🤣🤣🤣 na boss wenu kasema hatoi silaha hadi mufanikishe counter offensive
 
Kuchanganyikiwa kubaya bwashee, wewe kila siku utaona mwisho wake hivi karibu aahhh!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
ukraine imemkosea nini mungu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…