Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

MAKA Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
267
Reaction score
209
Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭

Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa Congo (DRC) ambayo ni moja ya nchi tajiri sana Duniani."

Afrika kulia tunashindwa, kucheka tunashindwa, tunabaki kuangalia tu.

Kama aliyeturoga bado yupo hai, basi kuna matatu Aidha (1) ameshasahau dawa ilipo, (2) anajua dawa ilipo lakini ameamua kutukomoa, au (3) watu wamemwambia asitoe dawa kwa kuwa wananufaika na kurogwa kwetu. NYIE!
1733842019458.jpg
 
UKRAINE WANA VITA/MACHAFUKO LAKINI WANA MUDA WA KUPANGA, KULIMA, NA KULISHA AFRIKA 😭😭😭

Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa Congo (DRC) ambayo ni moja ya nchi tajiri sana Duniani."

Afrika kulia tunashindwa, kucheka tunashindwa, tunabaki kuangalia tu.

Kama aliyeturoga bado yupo hai, basi kuna matatu Aidha (1) ameshasahau dawa ilipo, (2) anajua dawa ilipo lakini ameamua kutukomoa, au (3) watu wamemwambia asitoe dawa kwa kuwa wananufaika na kurogwa kwetu. NYIE!View attachment 3173865
Wako setious

Huku ni siasa tu

Mtu asubuhi mpaka jioni anamlalamikia rais badala ya kufanya kazi
 
Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭

Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa Congo (DRC) ambayo ni moja ya nchi tajiri sana Duniani."

Afrika kulia tunashindwa, kucheka tunashindwa, tunabaki kuangalia tu.

Kama aliyeturoga bado yupo hai, basi kuna matatu Aidha (1) ameshasahau dawa ilipo, (2) anajua dawa ilipo lakini ameamua kutukomoa, au (3) watu wamemwambia asitoe dawa kwa kuwa wananufaika na kurogwa kwetu. NYIE!View attachment 3173865
Ukiambiwa ngozi nyeusi anahitaji kurejeshwa utumwani mara ya pili niamini bro/sister ukitaka kujua kwanini jifunze nia ya chaguzi/chafuzi na malengo ya waenguaji wasimamizi wasaidizi na boss zao.
 
wanatoa bure kwani..?
kama wanauza huoni kama ni benefit ndio maana wanaweza pia kuendelea kupigana.. kuwa na matatizo haimaanishi watu wasifanye shughuli maana vita sio kwamba imetapakaa nchi nzima kuna maeneo hayajaguswa kabisa na wakiacha kulima wanajeshi watakula nini..?

hata sisi wakati vita ya kagera nchi haikuacha kulima, na chakula kilikuwa mpk kinawafikia wanajeshi walio vitani na watu walikuwa wanajitolea mpk mifugo!.

Africa tumekosa viongozi wazuri tu ila sio kwamba hawajui nini chakusimamia wanajua kabisa na namna yakufanya hivyo!.
chengine baada ya nchi nyingi kupata uhuru zikaridhika nakuona kama mambo mengine sio yakwao!.
siku ikipatikana nchi moja tu ya Africa ikaweza kufikia maendeleo kama nchi nyingi za ulaya basi nchi nyengine zinaweza kutoka kwenye usingizi ila haitakuwa kazi rahisi.
 
wanatoa bure kwani..?
kama wanauza huoni kama ni benefit ndio maana wanaweza pia kuendelea kupigana.. kuwa na matatizo haimaanishi watu wasifanye shughuli maana vita sio kwamba imetapakaa nchi nzima kuna maeneo hayajaguswa kabisa na wakiacha kulima wanajeshi watakula nini..?

hata sisi wakati vita ya kagera nchi haikuacha kulima, na chakula kilikuwa mpk kinawafikia wanajeshi walio vitani na watu walikuwa wanajitolea mpk mifugo!.

Africa tumekosa viongozi wazuri tu ila sio kwamba hawajui nini chakusimamia wanajua kabisa na namna yakufanya hivyo!.
chengine baada ya nchi nyingi kupata uhuru zikaridhika nakuona kama mambo mengine sio yakwao!.
siku ikipatikana nchi moja tu ya Africa ikaweza kufikia maendeleo kama nchi nyingi za ulaya basi nchi nyengine zinaweza kutoka kwenye usingizi ila haitakuwa kazi rahisi.
Ndio maana weliotoka usingizini wanaona fursa za makoloni afrika kwa mara nyingine
 
Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭

Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa Congo (DRC) ambayo ni moja ya nchi tajiri sana Duniani."

Afrika kulia tunashindwa, kucheka tunashindwa, tunabaki kuangalia tu.

Kama aliyeturoga bado yupo hai, basi kuna matatu Aidha (1) ameshasahau dawa ilipo, (2) anajua dawa ilipo lakini ameamua kutukomoa, au (3) watu wamemwambia asitoe dawa kwa kuwa wananufaika na kurogwa kwetu. NYIE!View attachment 3173865
Screenshot_20241210-105644.jpg
 
Huku masaa 24 wapo mitandaoni kubishana mambo ya siasa, wengine utawakuta kwenye vijiwe vya kahawa wakibishania mpira...

Wakiambiwa kulima wanahisi km unawatukana, watakujibu si kila mtu anategemea kuingiza kipato chake kupitia jembe, kumbe wanategemea wenye vita ndo wawaletee chakula.

Aliyesema afrika tunafanana na nyani hakukosea
 
Huku masaa 24 wapo mitandaoni kubishana mambo ya siasa, wengine utawakuta kwenye vijiwe vya kahawa wakibishania mpira...

Wakiambiwa kulima wanahisi km unawatukana, watakujibu si kila mtu anategemea kuingiza kipato chake kupitia jembe, kumbe wanategemea wenye vita ndo wawaletee chakula.

Aliyesema afrika tunafanana na nyani hakukosea
Tupo kundi la nyani wala sii sokwe kwani sokwe anauelewa sawa na mwafrika ngozi nyeusi
 
Tatizo ni ma ccm hayo yametufikisha hapa Unafikiri kulima wanajilimia tu bila capital,sera nzuri na masoko au una maanisha kulima kupi.
 
Na unakuta wengi wanaolalamika wanaelimu zao nzuri tu ila wasiojua kusoma wala kuandika ndo wamiliki wa makampuni
Tatizo la Afrika ikiwemo Tanzania ni uongozi. Ukitaka kujua tatizo ni uongozi, angalia tulipokuwa tunatawaliwa na wakoloni au zile nchi zilizotawaliwa kwa muda mrefu. Angalia nchi kama Zimbabwe kwa mfano. Mambo yalianza kuwa mabaya mara baada tu ya watu weusi kuongoza. Kwa hiyo tatizo haliwezi kuwa wananchi kwani wananchi hao hao ndiyo walikuwa wanafanya kazi za kuijenga Zimbabwe kabla. Unakuwa na rais mwenye upeo mdogo kama Samia halafu anachagua watu kama kina Makonda wanaoishi kwa usanii kisha utegemee muujiza wa maendeleo?
 
Tatizo ni ma ccm hayo yametufikisha hapa Unafikiri kulima wanajilimia tu bila capital,sera nzuri na masoko au una maanisha kulima kupi.
Mkuu mtaji unataka mpaka uletewe, hivi ni mmiliki gani mwenye kampuni kubwa Sasa hivi aliletewa mtaji na serikali. Anza kidogo kidogo mtaji utakuja na hata mabenki yatakuona ukishaonesha njia
 
Tatizo la Afrika ikiwemo Tanzania ni uongozi. Ukitaka kujua tatizo ni uongozi, angalia tulipokuwa tunatawaliwa na wakoloni au zile nchi zilizotawaliwa kwa muda mrefu. Angalia nchi kama Zimbabwe kwa mfano. Mambo yalianza kuwa mabaya mara baada tu ya watu weusi kuongoza. Kwa hiyo tatizo haliwezi kuwa wananchi kwani wananchi hao hao ndiyo walikuwa wanafanya kazi za kuijenga Zimbabwe kabla. Unakuwa na rais mwenye upeo mdogo kama Samia halafu anachagua watu kama kina Makonda wanaoishi kwa usanii kisha utegemee muujiza wa maendeleo?
Mkuj kwa mfano Sasa hivi samia anakuwaje kikwazo kwako usilime.
 
Tatizo ni ma ccm hayo yametufikisha hapa Unafikiri kulima wanajilimia tu bila capital,sera nzuri na masoko au una maanisha kulima kupi.
Ndio tunatatizo la CCM lakini sio kigezo cha kushindwa kuendelea mbona pamoja na huo ugumu watu bado wanalima na wanatajirika ipo siku mambo yatakaa Sawa tu na yakikaa Sawa unajikuta tayari wewe uko kwenye nafasi kubwa. Bado tanzania kuna mazao kibao yenye faida hatujayafanyia kazi .
Mbona pamoja na mchele kuwa bei ndogo ila watu bado wanalima na wanavuna faida juu
 
Back
Top Bottom