Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

Watu waliishafanya hicho kilimo cha mkataba wakaangukia pua. Watu huku Songwe walikuwa wanalima maharage mazuri na kupeleka South kwa mkataba. South waliyapenda sana sababu hayana gesi. Mara serikali ikaingia na habari za kufunga mipaka na usalama wa chakula. Kile kilimo cha maharage leo kimekufa.
Kila kona ni shida.
 
Ondokana na hiyo mentality mkuu, watu wanafanya kazi kwa mikataba ukiwa na mkataba wa export ma umefuata process zote hakuna wakukuzuia
Ni kweli kabisa ndugu. Lakini the fact ni kwamba wana vita still wana-manage kufanya hivyo. Ni nchi gani ya Kiafrika inaweza kuwa kwenye mzozo na ku-manage hivyo wakati hata kwenye utulivu bado hatuwezi kufanya hivyo?
 
Kwanza Fahamu vita Vinapiganwa eneo la Mpaka wa Urusi, Ukraine ni Nchi kubwa na eneo kubwa tu Hakuna vita
View attachment 3173899

Pili kila mtu Ana Export Vitu Vyake, Ukraine Kazizidi Nchi za Ki Africa ila sio sana Roughly wana Export kama 20-30B kwa mwaka, Kama Ukraine ingekua Nchi ya Africa ingekua ya 9, Nchi kama South, Nigeria, Morocco, Egpty, Algeria, Congo, Angola etc zinamzidi Ukraine.
Uko sahihi, lakini ni nchi gani ya Kiafrika inaweza ku-manage hivyo wakati iko kwenye mzozo wa kivita? Kwa kifupi, ni sawa vita haiko sehemu yote, lakini inahitajika udhabiti kufanya ambacho Ukraine inafanya.
 
Watu waliishafanya hicho kilimo cha mkataba wakaangukia pua. Watu huku Songwe walikuwa wanalima maharage mazuri na kupeleka South kwa mkataba. South waliyapenda sana sababu hayana gesi. Mara serikali ikaingia na habari za kufunga mipaka na usalama wa chakula. Kile kilimo cha maharage leo kimekufa.
Mkuu kila sehemu Kuba challenge ukikata Tampa utakuwa ni mtu kuhangaika ni kweli hakuna sera nzuri lakini haikufanyi kuacha inabidi ufanye kilimo kama kazi ukijua Kuna kupata na kukosa. Mimi ni muhanga sana niliwahi kurupuka kununua mashamba korosho kipindi kile cha magu bei imepanda watu wakawa wananywesha mbuz soda. Mwaka uliofuata ikawa ni vilio Kuna korosho za mwaka 2018 mpaka leo sijui malipo.
Nikatelekeza Shamba 2020/2021 bei ikapanda mpaka 2300 nikarudia mwaka uliofuata mnada wa kwanza 2500 ila mnada wa mwisho tukaambulia 900 kwa kilo. Kuanzia 2022/2023_ 2023/2024 bei inaendelea kuwa nzuri ila ipo siku tu tutashangaa ghafla 900 na huwez safirisha korosho kupeleka sehem nyingine. Hayo yalitukuta tena kwenye mbaazi tunduru lakini leo hii mambo yanabadirika, hoja yangu kwenye kilimo hutakiwi kukimbia Bali kupambana.
Kilimo ni kama biashara ya mabasi,leo unanunua basi kwa usd 150000 baada ya wiki lipo mtaroni ila hutakiwi kukata Tamaa . Soko la mazao ni kubwa sana tena sana
 
Sisi huku ni ushabiki wa mipira,vijana wenye nguvu ya kulima,tunashinda tunabeti na kutengeneza kontenti ticktock na kwenye mitandao mingine,na ili kontenti ziwavutie watu,kunakua na za uchi nyingi,vijijini wamebaki wazee tu ambao hawana nguvu za kulima.Ujinga mtupu.Swrikali nayo inakusanya kodi na kukopakopa tu.Ujingaujinga tu.
 
Ni kweli kabisa ndugu. Lakini the fact ni kwamba wana vita still wana-manage kufanya hivyo. Ni nchi gani ya Kiafrika inaweza kuwa kwenye mzozo na ku-manage hivyo wakati hata kwenye utulivu bado hatuwezi kufanya hivyo?
Mkuu hapo Sasa sio serikali tena Bali ni nguvu ya wananchi hawajakata tamaa, kumbuka pia mrusi kabana bandari zao kule ila bado hawajakata tamaaa. Kuna mkulima wa marekani wanamwita Mike less kawekeza sana kule tena pesa ndefu na hajakataa tamaa ndo mtu aliyenunua ideal 10 combine harvesters 10 kwa mpigo kumbuka harvester moja ni usd 1mil header za kuvunia zile za geringhoff za 16row zinaanzia usd 200000.
Kumbuka USA Mahind yanauzwa kwa bushel 5usd na bushel moja ni Sawa na kg 27 na ukija convert ni kama 400 ongeza maushuru
 
Sisi huku ni ushabiki wa mipira,vijana wenye nguvu ya kulima,tunashinda tunabeti na kutengeneza kontenti ticktock na kwenye mitandao mingine,na ili kontenti ziwavutie watu,kunakua na za uchi nyingi,vijijini wamebaki wazee tu ambao hawana nguvu za kulima.Ujinga mtupu.Swrikali nayo inakusanya kodi na kukopakopa tu.Ujingaujinga tu.
Malizia tu sisi ni wavivu huo ndo ukweli. Yaan wanaolima ni vizee
 
jusi waziri Kitila Mkumbo alitumia neno moja zuri nilipenda kwamba watz tuache kujichapa wenyewe kwa fimbo ndicho ninachokiona kwa watz wengi..kila mara tunajificha kwenye kichaka cha kulaumu bila hata kujaribu kwanza...niulize labda aliyelima kisasa akaenda kuuza nje hata hapa DRC,Kenya ,Comoro tu baada ya kufuata taratibu nani? Tukiendelea huu utamaduni wa kalaumu serikali usiku kucha hatutoboi hata ije serikali ya malaika leo.
 
jusi waziri Kitila Mkumbo alitumia neno moja zuri nilipenda kwamba watz tuache kujichapa wenyewe kwa fimbo ndicho ninachokiona kwa watz wengi..kila mara tunajificha kwenye kichaka cha kulaumu bila hata kujaribu kwanza...niulize labda aliyelima kisasa akaenda kuuza nje hata hapa DRC,Kenya ,Comoro tu baada ya kufuata taratibu nani? Tukiendelea huu utamaduni wa kalaumu serikali usiku kucha hatutoboi hata ije serikali ya malaika leo.
Asilimia kubwa wanaoexport mazao hata leseni hawana
 
Uko sahihi, lakini ni nchi gani ya Kiafrika inaweza ku-manage hivyo wakati iko kwenye mzozo wa kivita? Kwa kifupi, ni sawa vita haiko sehemu yote, lakini inahitajika udhabiti kufanya ambacho Ukraine inafanya.
Boss Congo Ina Export kushinda Ukraine na Ipo kwenye Vita, Same kwa Libya, Tena ukiangalia Population ya Libya ni Milioni 6 tu compare na Ukraine milioni 37.

Ila ukiangalia kidunia si Congo si Ukraine si Libya wana Export za maana, it's just tumeset Bar chini sana ndio maana tunazizungumzia. Ukicompare na hayo mapapa ya Dunia hivyo ni vitone tu.
 
Chama Tawala cha Ukraine ni kipi?
Wazungu walishavuka level za chama tawala kule kila chama knaweza kushnda hata kama ktaanzshwa leo maslahi kwa taifa mbele na wananchi na ndo maana watawala na wapinzan wanaweza kukaa meza 1
 
Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭

Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa Congo (DRC) ambayo ni moja ya nchi tajiri sana Duniani."

Afrika kulia tunashindwa, kucheka tunashindwa, tunabaki kuangalia tu.

Kama aliyeturoga bado yupo hai, basi kuna matatu Aidha (1) ameshasahau dawa ilipo, (2) anajua dawa ilipo lakini ameamua kutukomoa, au (3) watu wamemwambia asitoe dawa kwa kuwa wananufaika na kurogwa kwetu. NYIE!View attachment 3173865
Waafrica tunaamini siku moja inzi watazalisha asali..hahaha,hatuna viongozi wenye visions,na ukiwa kiongozi mzuri lazima ujue historia vizuri,adui wa bara lako,rafiki wa bara lako,matatizo yaliyotegwa au kutengenezwa na mataifa adui wasio na nia njema na bara ili, then tusolve vipi problems &challenges in positive ways for the benefits of our continent / country
 
Wazungu walishavuka level za chama tawala kule kila chama knaweza kushnda hata kama ktaanzshwa leo maslahi kwa taifa mbele na wananchi na ndo maana watawala na wapinzan wanaweza kukaa meza 1
Basi Tuchape kazi na sisi tuvuke levels za domokaya
 
Back
Top Bottom