kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Huwa wanajifanya mabingwa wa propaganda hao[emoji1787]Mh Msomi nafurahia saana jins unavyokaziaga hizi misumari za Moscow ili warusi wa Buhigwe na Vumari waelewe
Kaangalie mji wa bakhmut ulivyo pia na namba za watu waliokufa.Mkuu kuwa na hasara kubwa mpaka iweje?
wazee wa SMO 72hrs sasa ni miaka miwili mwanzo mkasema likirushwa tu jiwe moscow mta act accordingly ila sasa hivi mmefatwa mpaka mnako lala mnasema mashambuliz yanayo fanyika hayana madhara vichekesho kama hivi uta vipata kremlin tu na tehranMbona hayo mashambulizi ya Ukraine hayana hasara kubwa?yaani hayawafaidishi Ukraine?wakati warusi wakifanya mashambulizi mpka wanajeshi wa NATO wanauawa.mfano jana watu waliendelea German kufanya mazishi.haya mashambulizi hayana uwezo wa kuirudisha urusi nyuma na sasa hivi khakov na Odessa yajiandae
Inaanzaga mdogomdogoUkiangalia mashambulizi yote ya Ukraine yana athari ndogo kwa urusi na haijafanya urusi kuwa dhaifu ni kama Ukraine wanapoteza muda tu.
Ukiangalia mashambulizi yote ya Ukraine yana athari ndogo kwa urusi na haijafanya urusi kuwa dhaifu ni kama Ukraine wanapoteza muda tu.
Nikuhakikishie hayo mashambulizi madogo hayawezi kuteteresha urusi ila hao watu Tu watapata hasara ya kupoteza maishaInaanzaga mdogomdogo
Tutachukua maeneo kama fidia ya hii vita maeneo yenye mali .ungekuwa unaelewa mambo ya Ulinzi wa nchi tena kubwa kama Urusi madhara wanayopata kama nchi ni makubwa sema indirect. kwa sasa wanaweza wakawa wanatumia $500mil per day kuimarisha ulinzi. per week ni zaidi ya hasara unayoiongelea wewe.
Tutachukua maeneo kama fidia ya hii vita maeneo yenye mali .
Siku zote muoshwa huoshwaAhsante sana Ukraine.
Ni kama mzaha ila watu wa Russia wataanza kujua na wao vita ni nini.
Ila wao warusi ndo wana haki ya kushambulia wengine ? Hv akili mnaachaga wap ?Waendelee Ku escalate hillo tatizo kikipigwa kitu kizito tusiulizane
Sasa ndo Putin aache kutishia Nukes , alianzisha vita amalizane na vita kwa njia aliyoanza nayo , hatutak mikwaraWe mnyambi nani hana Nukes? US? UK? GERMANY?
Hv ulifaulu drs la saba ? Kutoka kuwarudisha nyuma warusi waliokuwa ndan ya kyiev hadi kuanza kutandika ndan ya Urusi bado huon hasara ?Mbona hayo mashambulizi ya Ukraine hayana hasara kubwa?yaani hayawafaidishi Ukraine?wakati warusi wakifanya mashambulizi mpka wanajeshi wa NATO wanauawa.mfano jana watu waliendelea German kufanya mazishi.haya mashambulizi hayana uwezo wa kuirudisha urusi nyuma na sasa hivi khakov na Odessa yajiandae
Hasara wanayopata Russia wewe utafahamu kwa njia gani, nani atakwambia.?Mbona hayo mashambulizi ya Ukraine hayana hasara kubwa?yaani hayawafaidishi Ukraine?wakati warusi wakifanya mashambulizi mpka wanajeshi wa NATO wanauawa.mfano jana watu waliendelea German kufanya mazishi.haya mashambulizi hayana uwezo wa kuirudisha urusi nyuma na sasa hivi khakov na Odessa yajiandae
Noted!kutawala eneo la watu sio rahisi kama unavyofikiri.
Dunia ya sasa nikuweka vibaraka kama USA alivyofanya kwa zelencky.