Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Muziki ulianzia pale Kyev, tulijua Ukraine kwisha habari, ila leo tunaongea mengine tofauti sana yaani...
One Putin vs 30+ rich countries na anawakalisha
 

Attachments

  • FB_IMG_1661564000778.jpg
    FB_IMG_1661564000778.jpg
    20.5 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1657808365480.jpg
    FB_IMG_1657808365480.jpg
    52.1 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1657808318087.jpg
    FB_IMG_1657808318087.jpg
    46.8 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1657808021018.jpg
    FB_IMG_1657808021018.jpg
    26.3 KB · Views: 3
Jameni Ukraine wanapambana na kunifurahisha hadi naumwa, kainchi kadogo saizi ya mkoa wa Urusi ila wanajituma kama mchwa, wamekubali kujitoa mhanga ili wakomboe ardhi yao kwa ajili ya vizazi vya kesho.
Habari zimfikie Putin popote alipo kwamba hata akiua mamilioni ya wa-Ukraine, lazima wafike Crimea maana ndiko vita vilianzia na vitaishia....

FbzsgRwXkAApYX-




Ukraine took back the village of Vysokopillia in Kherson on Sunday and raised its flag over a hospital following reported "successes" in the region that fell to Russia on March 3, a week after Russia invaded the Eastern European country.
Yuriy Sobolevskyi, first deputy head of Kherson Oblast Council, announced on Telegram that Vysokopillia was liberated from Russian control. The region is significantly important because it's a strategic location at the mouth of the Dnieper River's exit into the Black Sea.
The Kyiv Independent reported on Twitter that forces also raised the Ukrainian flag in Vysokopillia, which is located north of the Kherson region on the administrative border with the Dnipropetrovsk region, according to Ukrinform.

Samuel Ramani, an associate fellow at the Royal United Services Institute for Defence and Security Studies, said on Twitter that the flag was raised on a hospital roof in the village. A few other Twitter accounts, including Ukraine updates, made the same announcement.
"The flag is on a hospital roof in Vysokopillya, Kherson Oblast," Ramani tweeted. "Russia is cracked down on any displays of Ukrainian nationalism inside Kherson and reportedly raised a Soviet victory flag in Kherson after its occupation."
Russian forces have sent many villagers fleeing from their homes, as troops took over dozens of towns and villages since the invasion began on February 24. Some of those who fled Russian-occupied territories were desperately seeking safety as they escaped on foot, bikes, and by wheelchair, NPR reported in July.

However, Sobolevskyi recently said that Ukrainian forces have successfully achieved some goals in the Kherson region amid the counter-offensive they reportedly launched on Monday.

"Now is the time to support our armed forces," Sobolevskyi said last week, according to Reuters. "Now is not the time to talk about the specific successes of our lads"—as he spoke of Ukraine's efforts in the Kherson, Beryslav and Kakhovka districts.

The Ukrainian military insisted on not revealing information about the offensive in the south of the country, but the presidential office reported "powerful explosions" and "tough battles" in the region, adding that Ukrainian troops destroyed ammunition depots and large bridges across the Dnieper River that are necessary to send supplies to Russian forces.

Ukrainian forces also recently moved forward with their goals against Russian troops as it took advantage of Russia's poor leadership, administration, and logistics, the British Ministry of Defence said on Saturday. Additionally, Ukrainian air forces took down a Russian reconnaissance drone named "Kartograf" in the Mykolaiv region.



Putin awakabe koo kwenye gas tu asiwaache wapumue,🤣🤣--- kwani wao si wamemuwekea vikwazo??
 
Hata usiwaze dunia itasimama😂😂😂😂😂
One Putin vs 30+ rich countries bado anawakalisha kitako,🤣🤣🤣, sipati picha itakuaje kama Mchina, north korea na Iran wakiungana na Putin??!!
 
Putin awakabe koo kwenye gas tu asiwaache wapumue,🤣🤣--- kwani wao si wamemuwekea vikwazo??

Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.
 
One Putin vs 30+ rich countries na anawakalisha

Siku moja kombora lake likosee njia na kugusa kataifa kamoja ka NATO ndio mje muongee 30 countries....
Humo kwa 30 countries kuna mataifa ambayo yenyewe tu yanamfuta bila kutegemea usaidizi, hilo limekua wazi baada ya kuona anavyotezwa na kainchi kadogo.
 
Wameshindw
Siku moja kombora lake likosee njia na kugusa kataifa kamoja ka NATO ndio mje muongee 30 countries....
Humo kwa 30 countries kuna mataifa ambayo yenyewe tu yanamfuta bila kutegemea usaidizi, hilo limekua wazi baada ya kuona anavyotezwa na kainchi kadogo.
A kusimama wenyewe wakaungana na wanakalishwa, USA yeye kama yeye hawezi kusimama na Russia
 
Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.
Kwamba Ukraine iko yenyewe? Huoni kuna nchi ngapi nyuma
 
Weraaaaaaaa weraaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....wapi warusi wa tandale
 
Nimewaambia mwambieni Mrusi akosee ashambulie kataifa kamoja ka NATO muone akifutika mchana peupe.....
Analizwa na kataifa kadogo hadi kilio...
Ata akiwalushia kabomu hakuna kitu watakachokifanya zaidi ya kubweka tu na kutegeana nani aanze kuli- respond maana nchi zote za NATO zinafahamu musiki wa Russia. Huko Ukraine Russia anatumia 5% tu ya nguvu zake maana anatambjua wao ni ndugu wa damu ila
 
Si wameuliwa 16000 Siku moja tu ya Offensives [emoji31][emoji31][emoji31] sasa huo ushindi wameupata wapi ni Propaganda hii

Na log off Z
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
Ata akiwalushia kabomu hakuna kitu watakachokifanya zaidi ya kubweka tu na kutegeana nani aanze kuli- respond maana nchi zote za NATO zinafahamu musiki wa Russia. Huko Ukraine Russia anatumia 5% tu ya nguvu zake maana anatambjua wao ni ndugu wa damu ila
Jamani sa Poland anavyomtofya jichoni kabisa na huyu Latvia kamuekea vikwazo kupitisha baadhi ya Vitu kufikia Karingrad

Angemlenga Poland tu Sababu pia kuna vikosi vingi sana vya askari wa Nato
 
Kuna shoga moja la kirusi nimelidaka linasifia ushoga wakati kwenye nyuzi zetu latutusi sana kuhusu ushoga
Litaje Mkuu Mkuu ila nahisi kuja jamaa linajiita kabisa Wakupurizwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inashangaza sana kuona wanachama wa CDM wakishangilia udhalimu wa Putin huko Ukraine.
Ahsante sana Ukraine kwa kutumbusha umuhimu wa kupambania unacho kiamini.
Ila kuna mbuzi moja humu jf inajiita yeriko nyerere siku hizi sijui imepotelea wapi. kwamaana ile mbuzi ilikuwa inaifokea sana Ukraine na inasema kupangua ngumi ya mkubwa ni dharau.
Na wakati huo huo hiyo mbuzi hapa Tanzania inajiita ni mwanaharakati wa kutetea demokrasia.
 
Siku moja kombora lake likosee njia na kugusa kataifa kamoja ka NATO ndio mje muongee 30 countries....
Humo kwa 30 countries kuna mataifa ambayo yenyewe tu yanamfuta bila kutegemea usaidizi, hilo limekua wazi baada ya kuona anavyotezwa na kainchi kadogo.
Huwa watu wenngine mahaba yamezid mkuu yaan mataifa 30!? Russia angekuwepo leo? Mikoa miwili tuu inamtoa kamasi sembuse taifa
 
Takbir takbirr takbirrr

Waarabu wa mbagala kibonde maji waliochanganyika na Warusi wa ubungo maji wanapata hasira saaana wakiona habari kama hii.
Hahaha hahahaha Mimi ni Ukraine wa ubungo Maji
Hahaha hahahaha
 
Ata akiwalushia kabomu hakuna kitu watakachokifanya zaidi ya kubweka tu na kutegeana nani aanze kuli- respond maana nchi zote za NATO zinafahamu musiki wa Russia. Huko Ukraine Russia anatumia 5% tu ya nguvu zake maana anatambjua wao ni ndugu wa damu ila

Yote hayo yangekua kweli kama Urusi asingejiingiza kwenye aibu hii ya sasa ambayo ameonyesha alivyo haifu, hana lolote yaani bure kabisa ha ha ha
 
Back
Top Bottom