Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Ata akiwalushia kabomu hakuna kitu watakachokifanya zaidi ya kubweka tu na kutegeana nani aanze kuli- respond maana nchi zote za NATO zinafahamu musiki wa Russia. Huko Ukraine Russia anatumia 5% tu ya nguvu zake maana anatambjua wao ni ndugu wa damu ila
Doooh
 
Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.


Kainchi kadogo kametengeneza Himars, Javelin nk??!!--- si kanapewa silaha na pesa kutoka NATO (30+ countries, the economic giants) na USA !!!. hapo wajifanya hujui??😏

Wao wamemuwekea Russia vikwazo naye anawanyima gas na Winter inakuja tuone nani mjanja na nani Mjinga.
 
Kainchi kadogo kametengeneza Himars, Javelin nk??!!--- si kanapewa silaha na pesa kutoka NATO (30+ countries, the economic giants) na USA !!!. hapo wajifanya hujui??😏

Wao wamemuwekea Russia vikwazo naye anawanyima gas na Winter inakuja tuone nani mjanja na nani Mjinga.

Sio lazima katengeneze hizo, kimsingi ni ile fighting spirit, kunao hupewa silaha za kihivyo ila wanatoroka mapambano, ila kwa haka kainchi yaani kamenifurahisha hadi naumwa.....lisupapawa limebaki kulialia....
Halafu mbona wavaa makobaz wa dini yenu wanageuka huyu mnayemuabudu Ubalozi wa Urusi walipuliwa na mpiganaji wa kidini Afghanistan
 
Takbir takbirr takbirrr

Waarabu wa mbagala kibonde maji waliochanganyika na Warusi wa ubungo maji wanapata hasira saaana wakiona habari kama hii.
Wavaa kobaz wasio na akili
 
Takbir takbirr takbirrr

Waarabu wa mbagala kibonde maji waliochanganyika na Warusi wa ubungo maji wanapata hasira saaana wakiona habari kama hii.
Watakuaje na akili wakati wanasugua vichwa Chini kwenye sakafu kama kondoo ?
 
Ahsante sana Ukraine kwa kutumbusha umuhimu wa kupambania unacho kiamini.
Ila kuna mbuzi moja humu jf inajiita yeriko nyerere siku hizi sijui imepotelea wapi. kwamaana ile mbuzi ilikuwa inaifokea sana Ukraine na inasema kupangua ngumi ya mkubwa ni dharau.
Na wakati huo huo hiyo mbuzi hapa Tanzania inajiita ni mwanaharakati wa kutetea demokrasia.
Kenge sana
 
Kuna shoga moja la kirusi nimelidaka linasifia ushoga wakati kwenye nyuzi zetu latutusi sana kuhusu ushoga
Putin mwenyewe shoger Tu anasukumiwa miti na maoligarch waliomweka madarakani
 
Afrika haikupata uhuru , hakuna uhuru wa maneno , hii ndo ilipaswa Afrika ifanye kwa ss , ila waafrika wapo kuimba ngonjera eti raia wanakufa wakubali tu kuingiliwa na Urusi kinyume na maumbile , hili bado ni bara la giza
Afrika ina tatizo la udumavu WA akili na upumbav WA viongozi na wananchi wake , Kwani Afrika inatawaliwa na Nani sasa hivi ?
 
Nimewaambia mwambieni Mrusi akosee ashambulie kataifa kamoja ka NATO muone akifutika mchana peupe.....
Analizwa na kataifa kadogo hadi kilio...
Ajichanganye amguse Mpoland Tu hapo aone anavyonyooshwa kuna nchi Europe zinauwezo wakuigeuza Russia kuwa desert bila hata kutumia umoja WA NaTo forces
 
Ata akiwalushia kabomu hakuna kitu watakachokifanya zaidi ya kubweka tu na kutegeana nani aanze kuli- respond maana nchi zote za NATO zinafahamu musiki wa Russia. Huko Ukraine Russia anatumia 5% tu ya nguvu zake maana anatambjua wao ni ndugu wa damu ila
Ndugu WA damu ,nyoko !
 
Hawa watu wanauana kama kuku halafu wanaokufa ni vijana wadogo,wakae chini wamalize hii vita isiokua na kichwa wala miguu


 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli bangi sio kitu kizuri kabisa.iyo itakuwa ni KHERSON ya mji mwema.angalia kwenye ramani KHERSON ipo wapi.ili ufike KHERSON kuna vijiji zaidi ya 30
Jameni Ukraine wanapambana na kunifurahisha hadi naumwa, kainchi kadogo saizi ya mkoa wa Urusi ila wanajituma kama mchwa, wamekubali kujitoa mhanga ili wakomboe ardhi yao kwa ajili ya vizazi vya kesho.
Habari zimfikie Putin popote alipo kwamba hata akiua mamilioni ya wa-Ukraine, lazima wafike Crimea maana ndiko vita vilianzia na vitaishia....

FbzsgRwXkAApYX-




Ukraine took back the village of Vysokopillia in Kherson on Sunday and raised its flag over a hospital following reported "successes" in the region that fell to Russia on March 3, a week after Russia invaded the Eastern European country.
Yuriy Sobolevskyi, first deputy head of Kherson Oblast Council, announced on Telegram that Vysokopillia was liberated from Russian control. The region is significantly important because it's a strategic location at the mouth of the Dnieper River's exit into the Black Sea.
The Kyiv Independent reported on Twitter that forces also raised the Ukrainian flag in Vysokopillia, which is located north of the Kherson region on the administrative border with the Dnipropetrovsk region, according to Ukrinform.

Samuel Ramani, an associate fellow at the Royal United Services Institute for Defence and Security Studies, said on Twitter that the flag was raised on a hospital roof in the village. A few other Twitter accounts, including Ukraine updates, made the same announcement.
"The flag is on a hospital roof in Vysokopillya, Kherson Oblast," Ramani tweeted. "Russia is cracked down on any displays of Ukrainian nationalism inside Kherson and reportedly raised a Soviet victory flag in Kherson after its occupation."
Russian forces have sent many villagers fleeing from their homes, as troops took over dozens of towns and villages since the invasion began on February 24. Some of those who fled Russian-occupied territories were desperately seeking safety as they escaped on foot, bikes, and by wheelchair, NPR reported in July.

However, Sobolevskyi recently said that Ukrainian forces have successfully achieved some goals in the Kherson region amid the counter-offensive they reportedly launched on Monday.

"Now is the time to support our armed forces," Sobolevskyi said last week, according to Reuters. "Now is not the time to talk about the specific successes of our lads"—as he spoke of Ukraine's efforts in the Kherson, Beryslav and Kakhovka districts.

The Ukrainian military insisted on not revealing information about the offensive in the south of the country, but the presidential office reported "powerful explosions" and "tough battles" in the region, adding that Ukrainian troops destroyed ammunition depots and large bridges across the Dnieper River that are necessary to send supplies to Russian forces.

Ukrainian forces also recently moved forward with their goals against Russian troops as it took advantage of Russia's poor leadership, administration, and logistics, the British Ministry of Defence said on Saturday. Additionally, Ukrainian air forces took down a Russian reconnaissance drone named "Kartograf" in the Mykolaiv region.

 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli bangi sio kitu kizuri kabisa.iyo itakuwa ni KHERSON ya mji mwema.angalia kwenye ramani KHERSON ipo wapi.ili ufike KHERSON kuna vijiji zaidi ya 30

Hivi yule mwarabu mwenzio Bwana Utam ametoweka kwenye huu ugomvi baada ya kibao kugeuzwa....takbir Urusi taifa teule.
 
They took back the village, kijiji kimoja daaah

Hata ekari moja ni raha ukizingatia hii shughuli ilivyokua tangu zile siku za limsafara la kwenda Kyev kuliwa lote na wabeba javelin.
 
Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.
Kijiji cha NATO kimehamia hapo na bado Kazi ngumu looooo huna taarifa?
 
Jamani sa Poland anavyomtofya jichoni kabisa na huyu Latvia kamuekea vikwazo kupitisha baadhi ya Vitu kufikia Karingrad

Angemlenga Poland tu Sababu pia kuna vikosi vingi sana vya askari wa Nato
Kaa kwa kutulia,unajua akimalizana na Uikrane anaenda nchi gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom