Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Bendera hiyoooo; Urusi kaishiwa makombola, anataka kuagiza North Korea mambo ni magumu mno kwa huyu mwamba - Hasira zake sasa bomba la gesi haliwashi mpaka vikwazo vitolewe !!

Mambo badoooo !! ngoma ni mbichi.
 
Mkoa mzima unakomboa kijiji halafu unashangilia? Hivi MK254 hili wenge ulilo nalo ni la kuzaliwa nalo au umelipata ukubwani?
 
Mkoa mzima unakomboa kijiji halafu unashangilia? Hivi MK254 hili wenge ulilo nalo ni la kuzaliwa nalo au umelipata ukubwani?

Hata ekari moja inatosha kushangilia kama chizi maana kwa kweli mimi nilikua na uwoga sana na Russia, siku zote nilijua ni supapawa na mwenye uwezo wa kutikisa, sasa hili la eti anasogeshwa na kataifa kadogo yaani hata ekari moja tu ni aibu sana kwenu nyie waarabu wa Bongo ambao mnamtegemea sana.
 
Hahahaha aiseee humu ndani kuna vituko eti Shoga la kirusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Jinga sana lile fala...
Maana kila tukiandika kitu kinasema lgbqt

Sasa juzi kuna mdada kalalama anafirwa, lenyewe likawa lafurahia, nikalikumbusha likaishia nitusi kuthibitisha ushoga wake
 
Back
Top Bottom