Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS

Doooh
 
Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.


Kainchi kadogo kametengeneza Himars, Javelin nk??!!--- si kanapewa silaha na pesa kutoka NATO (30+ countries, the economic giants) na USA !!!. hapo wajifanya hujui??😏

Wao wamemuwekea Russia vikwazo naye anawanyima gas na Winter inakuja tuone nani mjanja na nani Mjinga.
 

Sio lazima katengeneze hizo, kimsingi ni ile fighting spirit, kunao hupewa silaha za kihivyo ila wanatoroka mapambano, ila kwa haka kainchi yaani kamenifurahisha hadi naumwa.....lisupapawa limebaki kulialia....
Halafu mbona wavaa makobaz wa dini yenu wanageuka huyu mnayemuabudu Ubalozi wa Urusi walipuliwa na mpiganaji wa kidini Afghanistan
 
Takbir takbirr takbirrr

Waarabu wa mbagala kibonde maji waliochanganyika na Warusi wa ubungo maji wanapata hasira saaana wakiona habari kama hii.
Wavaa kobaz wasio na akili
 
Takbir takbirr takbirrr

Waarabu wa mbagala kibonde maji waliochanganyika na Warusi wa ubungo maji wanapata hasira saaana wakiona habari kama hii.
Watakuaje na akili wakati wanasugua vichwa Chini kwenye sakafu kama kondoo ?
 
Kenge sana
 
Kuna shoga moja la kirusi nimelidaka linasifia ushoga wakati kwenye nyuzi zetu latutusi sana kuhusu ushoga
Putin mwenyewe shoger Tu anasukumiwa miti na maoligarch waliomweka madarakani
 
Afrika haikupata uhuru , hakuna uhuru wa maneno , hii ndo ilipaswa Afrika ifanye kwa ss , ila waafrika wapo kuimba ngonjera eti raia wanakufa wakubali tu kuingiliwa na Urusi kinyume na maumbile , hili bado ni bara la giza
Afrika ina tatizo la udumavu WA akili na upumbav WA viongozi na wananchi wake , Kwani Afrika inatawaliwa na Nani sasa hivi ?
 
Nimewaambia mwambieni Mrusi akosee ashambulie kataifa kamoja ka NATO muone akifutika mchana peupe.....
Analizwa na kataifa kadogo hadi kilio...
Ajichanganye amguse Mpoland Tu hapo aone anavyonyooshwa kuna nchi Europe zinauwezo wakuigeuza Russia kuwa desert bila hata kutumia umoja WA NaTo forces
 
Ndugu WA damu ,nyoko !
 
Hawa watu wanauana kama kuku halafu wanaokufa ni vijana wadogo,wakae chini wamalize hii vita isiokua na kichwa wala miguu

 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli bangi sio kitu kizuri kabisa.iyo itakuwa ni KHERSON ya mji mwema.angalia kwenye ramani KHERSON ipo wapi.ili ufike KHERSON kuna vijiji zaidi ya 30
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli bangi sio kitu kizuri kabisa.iyo itakuwa ni KHERSON ya mji mwema.angalia kwenye ramani KHERSON ipo wapi.ili ufike KHERSON kuna vijiji zaidi ya 30

Hivi yule mwarabu mwenzio Bwana Utam ametoweka kwenye huu ugomvi baada ya kibao kugeuzwa....takbir Urusi taifa teule.
 
They took back the village, kijiji kimoja daaah

Hata ekari moja ni raha ukizingatia hii shughuli ilivyokua tangu zile siku za limsafara la kwenda Kyev kuliwa lote na wabeba javelin.
 
Gesi hainipi shida, ile tu kwamba anazidi kuaibishwa na usupapawa wake imetosha....kainchi kadogo mithili ya mkoa wake mmoja.
Kijiji cha NATO kimehamia hapo na bado Kazi ngumu looooo huna taarifa?
 
Jamani sa Poland anavyomtofya jichoni kabisa na huyu Latvia kamuekea vikwazo kupitisha baadhi ya Vitu kufikia Karingrad

Angemlenga Poland tu Sababu pia kuna vikosi vingi sana vya askari wa Nato
Kaa kwa kutulia,unajua akimalizana na Uikrane anaenda nchi gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…