Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo heavy duty transformers wamezipata wapi, pump kubwa za kusukumia maji kukidhi wakazi wote wa jiji la Kiev wamezinunua na kuzifunga lini, umeme na miundo mbinu zote za uzalishaji na usafirishaji umeme wamezirudisha lini??
Au zinarudi adithi zile zile za kusema jeshi la Ukraine limelipua kifaru kimoja cha Urusi na kuuwa wanajeshi 1,000 (elfu moja) wa Urusi kwa mpigo au hili la kudai kwamba missiles 50 zilizo vurumishwa huko Ukraine 48 kati ya hizo zilitunguliwa na air defense systems za Zelensky, jeshi la Ukraine likihojiwa ilikuwaje tena, mbona karibu miji yote ya Ukraine ilishambuliwa na kuchakazwa na missiles ikiwemo Kiev yenyewe hii inamaanisha nini kwamba kila missile iloyokuwa inatunguliwa baadae inakuja kufufuka kimiujiza na kuzalisha missiles nyingine tatu za kwenda kushambulia miji mingine na vituo vingine nyeti nchini Ukraine??
Bottom line ni kwamba: jeshi la Zelensky ni mabingwa sana katika nyanja za usanii wa kusema uongo.
Yaani ajifiche kwenye handaki Putin [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu kuna mtu anashangaa Urusi kupoteza zaidi ya askari elfu 72 toka vita vianze.
Putin hajali uhai wa askari wake.Wakati yeye kajificha kwenye andaki,watu wanaoongea naye wanawekwa mbali,maelfu ya askari wake wanakufa frontline [emoji848]
Wamefanyaje jamani na sisi watuambie ili Mama Samia apate desa ,huku Tanzania tunaangaika na ukame tu duuu 60plus years za uhuru duuu CCM inatosha
Kwani Ukraine anapgana nani angekuwa ni askari wa Ukraine vita vingeisha kitambo tu pale kuna nchi zaidi ya 30Hivi Putin kwa akili yake anadhani anaweza kupigana na NATO?
Halafu kuna mtu anashangaa Urusi kupoteza zaidi ya askari elfu 72 toka vita vianze.
Putin hajali uhai wa askari wake.Wakati yeye kajificha kwenye andaki,watu wanaoongea naye wanawekwa mbali,maelfu ya askari wake wanakufa frontline [emoji848]
Hizo heavy duty transformers wamezipata wapi, pump kubwa za kusukumia maji kukidhi wakazi wote wa jiji la Kiev wamezinunua na kuzifunga lini, umeme na miundo mbinu zote za uzalishaji na usafirishaji umeme wamezirudisha lini??
Au zinarudi adithi zile zile za kusema jeshi la Ukraine limelipua kifaru kimoja cha Urusi na kuuwa wanajeshi 1,000 (elfu moja) wa Urusi kwa mpigo au hili la kudai kwamba missiles 50 zilizo vurumishwa huko Ukraine 48 kati ya hizo zilitunguliwa na air defense systems za Zelensky, jeshi la Ukraine likihojiwa ilikuwaje tena, mbona karibu miji yote ya Ukraine ilishambuliwa na kuchakazwa na missiles ikiwemo Kiev yenyewe hii inamaanisha nini kwamba kila missile iloyokuwa inatunguliwa baadae inakuja kufufuka kimiujiza na kuzalisha missiles nyingine tatu za kwenda kushambulia miji mingine na vituo vingine nyeti nchini Ukraine??
Bottom line ni kwamba: jeshi la Zelensky ni mabingwa sana katika nyanja za usanii wa kusema uongo.
hatakaa aweze . Wazungu ni wajanja sana mkuuHivi Putin kwa akili yake anadhani anaweza kupigana na NATO?
Kwani Ukraine anapgana nani angekuwa ni askari wa Ukraine vita vingeisha kitambo tu pale kuna nchi zaidi ya 30
Kojoa ukalale . Hata seat ya kwenye ndege hujui .Ukraine sio Burudndi[emoji16]
Hivi nyie mlilogwa Russia labda mnawauwa huko BBC na twitter Russia yupo imara na lazima muombe poooooFashisti kashindwa kupambana front line kahamishia hasira zake kwenye miundombinu..,huko front mambo ni magumu sana kwa urusi..,siku ya jumamosi alipoteza asikari zaidi ya 1000..hii ni idadi kubwa ya asikari kuwahi kuuwawa ndani ya siku Moja tangu uvamizi uanze[emoji848]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mashoga 30 wanamuwaza mwanamme mmoja we huogopiHivi Putin kwa akili yake anadhani anaweza kupigana na NATO?
Aisee,roho za watu hizo zinaangamia....daaFashisti kashindwa kupambana front line kahamishia hasira zake kwenye miundombinu..,huko front mambo ni magumu sana kwa urusi..,siku ya jumamosi alipoteza asikari zaidi ya 1000..hii ni idadi kubwa ya asikari kuwahi kuuwawa ndani ya siku Moja tangu uvamizi uanze[emoji848]
Odessa Beach zake nzuriPutin kucheza mieleka Oddessa 24 /12 / 2022
Uzuri huwa hamleti mrejesho mambo yakienda kombo.Vipi kule Lyman imeshindikana vipi kupiga hiyo katafunua?Kherson itapigwa kata funua muda siyo mrefu. Jamaa kaishaandaa kabisa bajeti ya kuujenga upya.
Subiri uone
Tunaelewa mlivyo kata tamaa nyie Pro Putin,matarajio yenu yalikuwa makubwa mno na uhalisia umekuwa tofauti kabisa.Mkuu ni hatari,NATO wa buza wakilala na kuamka wanaandika tu chochote kufurahisha mioyo Yao!Tunabaki kucheka tu[emoji2]!