Ukraine yafanikiwa kurudisha Maji na Umeme Kiev

Ukraine yafanikiwa kurudisha Maji na Umeme Kiev

Juzi nimetoka kuongea kuwa Ukraine sio Congo au Burundi hawa ni watu wa dunia ya Kwanza hata iweje Ukraine hawatakufa Kwa baridi au njaa...
Maisha ya kuishi gizani na kukosa maji Safi ya kunywa tutabaki nayo Sisi huku bongo
Matatizo ya umeme na maji kwenye nchi ambayo inaamani kabisa ni aibu sana. Basi tu. Na wananchi wake wanaonekana kuridhishwa tu hali hiyo
 
Nimeuliza maswali ya msingi kabisa na yenye mshiko, wewe utaona ni swali la ajabu kutokana na background yako kielimu lakini kwa wale wenye hand on experience katika masuala haya wala hawezi kuleta mambo ya kukejeri kejeri members wenzao, ataleta maoni mbadala ili watu wamsikilize - unaposema watu sijui wanatoka mchamba wima kwa sababu wana maoni tofauti na ya kwako - hilo tu speaks volume about your personna!!!
Kwa hiyo wewe unadharau uwezo wa Ukraine kurudisha umeme na maji kwa muda mfupi? Hivi swala la umeme na maji wanawezaje kudanganya wakati ni vitu vinakuwa wazi tu,mbona wakati Jiji lipo gizani waliweka wazi.
 
Mkuu, jeshi la Urusi lilikuwa halijahamua kufanya kweli, lakini kutokana na ujeuri na kiburi cha Zelensky kuwasikiliza washauri wake kutoka US na UK kwamba aendelee kumtunishia misuri Putin ili apigane nae mpaka tone la mwisho - ujinga huo utai-cost Ukraine an arm and leg kwanza, lakini kikubwa zaidi, Ukraine nzima itachukuliwa na Russia ili kuondoa mzizi wa fitina unao tumiwa na USA na Uingereza kutaka kuivuruga Urusi - who can blame Putin??
[emoji3][emoji3][emoji3] huwa nasoma comment zako huku nafurahi tu
 
Baada ya Urusi kupiga miundo mbinu ya maji na umeme huko Kiev. Maengineer na Mafundi wa Ukraine wanefanikiwa kurudisha umeme na Maji katika mji mzima wa Kiev.
imagine ndo ingekuwa tz hiyo yaani hapo umeme na maji vingerudi baada ya mwaka.
 
Kwa hiyo wewe unadharau uwezo wa Ukraine kurudisha umeme na maji kwa muda mfupi? Hivi swala la umeme na maji wanawezaje kudanganya wakati ni vitu vinakuwa wazi tu,mbona wakati Jiji lipo gizani waliweka wazi.

Mark you, it pays mara nyingi tu, mtu ukijitahidi walao kutumia logic kidogo - nilicho zungumzia hapa kinahusu "time frame" iliyotumika kukarabati kila kitu kikawa up and running in no time, members ambao ni technical oriented wananielewa lakini sio wana siasa au lay people - hao ndio wabishi kama nini by default - mtu unazunguma hili wao wanaleta lile mradi mbishane tu bila ya wao kuleta maoni mbadala kwa kutumia lugha ya kistaarabu - mbona members wataelewa tu.

Binafsi nasema hivi: kama kweli Ukraine ingekuwa na uwezo mkubwa wa kufufua umeme na kusambaza maji ndani ya kipindi kifupi sana, sasa kwa nini walikuwa wanaomba misaada Dunia nzima ili waletewe majenereita na Pampu za kusukuma maji - hivi inaingia akilini kwamba Taifa linaweza kupoteza asili mia 40% ya uzalishaji umeme nchi nzima kutokana na missiles kulipua: Power Generating Stations, Three Phase gVA transfomers, Eletricity Pylons pamoja na nyaya zake - yaani uharibifu wote huo mkubwa unaweza kweli kukarabatiwa ndani ya wiki!! Who are they kidding??

Nataka nieleweke hapa, sisemi kwamba ma engineers na ma technicians wa Ukraine hawana uwezo na weledi wa kufufua umeme nchi nzima, nisicho kubaliana nao ni muda walio utumia kukarabati vitu tajwa hapo juu - wasitake kutudanganya bwana.
 
Mark you, it pays mara nyingi tu, mtu ukijitahidi walao kutumia logic kidogo - nilicho zungumzia hapa kinahusu "time frame" iliyotumika kukarabati kila kitu kikawa up and running in no time, members ambao ni technical oriented wananielewa lakini sio wana siasa au lay people - hao ndio wabishi kama nini by default - mtu unazunguma hili wao wanaleta lile mradi mbishane tu bila ya wao kuleta maoni mbadala kwa kutumia lugha ya kistaarabu - mbona members wataelewa tu.

Binafsi nasema hivi: kama kweli Ukraine ingekuwa na uwezo mkubwa wa kufufua umeme na kusambaza maji ndani ya kipindi kifupi sana, sasa kwa nini walikuwa wanaomba misaada Dunia nzima ili waletewe majenereita na Pampu za kusukuma maji - hivi inaingia akilini kwamba Taifa linaweza kupoteza asili mia 40% ya uzalishaji umeme nchi nzima kutokana na missiles kulipua: Power Generating Stations, Three Phase gVA transfomers, Eletricity Pylons pamoja na nyaya zake - yaani uharibifu wote huo mkubwa unaweza kweli kukarabatiwa ndani ya wiki!! Who are they kidding??

Nataka nieleweke hapa, sisemi kwamba ma engineers na ma technicians wa Ukraine hawana uwezo na weledi wa kufufua umeme nchi nzima, nisicho kubaliana nao ni muda walio utumia kukarabati vitu tajwa hapo juu - wasitake kutudanganya bwana.
Wewe baki uamini wamekudanganya,sisi tunaangalia kwa TV sasa hivi Jiji la Kyiv linawaka taa kama kawaida na hawapo gizani tena.
 
Wewe baki uamini wamekudanganya,sisi tunaangalia kwa TV sasa hivi Jiji la Kyiv linawaka taa kama kawaida na hawapo gizani tena.

Mimi sio mtu baki - labda wewe!! How do you mean jiji linawaka taa kama kawaida?? Wewe unajuaje kama taa zinazo onekana kwenye TV ni za mji wa Kiev kweli na si sehemu nyingine ya Ukraine au wenda ikawa clips hizo zilipigwa mwaka jana kabla ya vita zilikuwa zimehifadhiwa kwenye archive tu,mara ngapi hapa tumewahi kuona picha na video clip za conflicts za 2014/15 ambazo jeshi la Zelensky inazionyesha kama za mwaka huu,na picha nyingine na video clip za jeshi la Urusi wanazifanya kama za kwao wanafikiri watu hawana akili za kuchambanua mambo, ndio maana siwa amini chochote wasanii hawa.

Kitu kingine kumbuka Urusi iliharibu asilimia 40% ya miundo mbinu za umeme na maji nchini Ukraine, hivyo asili mia 60% bado umeme upo,nijuavyo propaganda za Zelensky alivyo, wanaweza kuonyesha miji mingine inayo waka taa wakajidai ni mji wa Kiev, kwa lengo la kuwatia imani/moyo raia wake - usanii huo wanauweza sana.
Ukweli ni kwamba wakazi wengi wanatumia majenereita au solar kuwashia umeme, sio umeme wa grid, wasitake kuzuga watu hapa.

Zelensky propaganda nyingi na usanii, kujifanya hawajapata madhara yoyote,yaani ni ngangari dhidi ya Urusi - usanii tu,anayasema hayo na kutunisha misuri huku Taifa lake likiteketea, hataki kuelewana na Urusi mambo yakaisha - kaingizwa kwenye mkenge kichwa kichwa na Merikani na Uingereza ili jeshi lake lipigane vita na Urusi huku wakijua kwamba uwezekano wa jeshi la Ukraine kulishinda jeshi la Urusi(supa pawa) haupo kabisa - badala yake Taifa la Ukraine litateketezwa vibaya sana, raia wengi wasio na hatia kupoteza maisha huku Zelensky na familia yake wakiwa wamekwisha fanya mpango wa kukimbilia uhamishoni huko Miami Florida anako miliki a posh Mansion just in case, Zelensky is already stinking rich hana shida vita hii imemtajirisha sana, ndio maana haoni taabu kuwapeleka vijana wadogo jeshini kupigana endless futile counter offensive operations wanako uwawa kama nzinge na mizinga,MRLS (thermobaric),Drones na Chopper Gunships za jeshi la Urusi!!

Zelensky ni binadamu hasiye jali maisha ya vijana wa Kiukraine, anacho jali yeye ni kutaka kuzifurahisha Serikali za Merikani na Uingereza kwa kupigana a proxy war on their behalf -mtu wa ajabu sana.
 
Hizi taarifa zako ambazo huwa unaandikia magazeti yako huwa unazitoa wapi??
Mimi sio mtu baki - labda wewe!! How do you mean jiji linawaka taa kama kawaida?? Wewe unajuaje kama taa zinazo onekana kwenye TV ni za mji wa Kiev kweli na si sehemu nyingine ya Ukraine au wenda ikawa clips hizo zilipigwa mwaka jana kabla ya vita zilikuwa zimehifadhiwa kwenye archive tu,mara ngapi hapa tumewahi kuona picha na video clip za conflicts za 2014/15 ambazo jeshi la Zelensky inazionyesha kama za mwaka huu,na picha nyingine na video clip za jeshi la Urusi wanazifanya kama za kwao wanafikiri watu hawana akili za kuchambanua mambo, ndio maana siwa amini chochote wasanii hawa.

Kitu kingine kumbuka Urusi iliharibu asilimia 40% ya miundo mbinu za umeme na maji nchini Ukraine, hivyo asili mia 60% bado umeme upo,nijuavyo propaganda za Zelensky alivyo, wanaweza kuonyesha miji mingine inayo waka taa wakajidai ni mji wa Kiev, kwa lengo la kuwatia imani/moyo raia wake - usanii huo wanauweza sana.
Ukweli ni kwamba wakazi wengi wanatumia majenereita au solar kuwashia umeme, sio umeme wa grid, wasitake kuzuga watu hapa.

Zelensky propaganda nyingi na usanii, kujifanya hawajapata madhara yoyote,yaani ni ngangari dhidi ya Urusi - usanii tu,anayasema hayo na kutunisha misuri huku Taifa lake likiteketea, hataki kuelewana na Urusi mambo yakaisha - kaingizwa kwenye mkenge kichwa kichwa na Merikani na Uingereza ili jeshi lake lipigane vita na Urusi huku wakijua kwamba uwezekano wa jeshi la Ukraine kulishinda jeshi la Urusi(supa pawa) haupo kabisa - badala yake Taifa la Ukraine litateketezwa vibaya sana, raia wengi wasio na hatia kupoteza maisha huku Zelensky na familia yake wakiwa wamekwisha fanya mpango wa kukimbilia uhamishoni huko Miami Florida anako miliki a posh Mansion just in case, Zelensky is already stinking rich hana shida vita hii imemtajirisha sana, ndio maana haoni taabu kuwapeleka vijana wadogo jeshini kupigana endless futile counter offensive operations wanako uwawa kama nzinge na mizinga,MRLS (thermobaric),Drones na Chopper Gunships za jeshi la Urusi!!

Zelensky ni binadamu hasiye jali maisha ya vijana wa Kiukraine, anacho jali yeye ni kutaka kuzifurahisha Serikali za Merikani na Uingereza kwa kupigana a proxy war on their behalf -mtu wa ajabu sana.
 
Lisa alilolifanya andunje ni kupigana na jirani yake tena jirani mtata hii itamgharimu sn.

Usa anao ugomvi na majirani zake kama vile Cuba, Venezuela lkn anatumia akili kuwa handle.

Huyu mtu mgupi akili ilishachoka amekaa muda mrefu madarakani na Sasa mwisho wake mbaya umefika.
 
Hizi taarifa zako ambazo huwa unaandikia magazeti yako huwa unazitoa wapi??

Search ME, one more thing nani kakulazimisha uzisome - mbona wengi wanasoma na kuzi-ignore inapo bidi lakini wewe mara zote unazifatilia kwa karibu na kujaribu ku-water down uchambuzi wa baadhi ya members, tabia hii inayo sana,please revisit some of your inept comments herein - kama una uwezo anzisha social network ya kwako na sio kujaribu ku-muzzle members wenzako ili wazungumze yale unayo yataka/amini wewe, kuto jiamini kwako husitake ku-trickle down kwa members wengine - hicho ndicho kinacho kusumbua.
 
Lisa alilolifanya andunje ni kupigana na jirani yake tena jirani mtata hii itamgharimu sn.

Usa anao ugomvi na majirani zake kama vile Cuba, Venezuela lkn anatumia akili kuwa handle.

Huyu mtu mgupi akili ilishachoka amekaa muda mrefu madarakani na Sasa mwisho wake mbaya umefika.
Huwezi kuelewa kama umekataa kufikiria kama wewe
 
Mimi sio mtu baki - labda wewe!! How do you mean jiji linawaka taa kama kawaida?? Wewe unajuaje kama taa zinazo onekana kwenye TV ni za mji wa Kiev kweli na si sehemu nyingine ya Ukraine au wenda ikawa clips hizo zilipigwa mwaka jana kabla ya vita zilikuwa zimehifadhiwa kwenye archive tu,mara ngapi hapa tumewahi kuona picha na video clip za conflicts za 2014/15 ambazo jeshi la Zelensky inazionyesha kama za mwaka huu,na picha nyingine na video clip za jeshi la Urusi wanazifanya kama za kwao wanafikiri watu hawana akili za kuchambanua mambo, ndio maana siwa amini chochote wasanii hawa.

Kitu kingine kumbuka Urusi iliharibu asilimia 40% ya miundo mbinu za umeme na maji nchini Ukraine, hivyo asili mia 60% bado umeme upo,nijuavyo propaganda za Zelensky alivyo, wanaweza kuonyesha miji mingine inayo waka taa wakajidai ni mji wa Kiev, kwa lengo la kuwatia imani/moyo raia wake - usanii huo wanauweza sana.
Ukweli ni kwamba wakazi wengi wanatumia majenereita au solar kuwashia umeme, sio umeme wa grid, wasitake kuzuga watu hapa.

Zelensky propaganda nyingi na usanii, kujifanya hawajapata madhara yoyote,yaani ni ngangari dhidi ya Urusi - usanii tu,anayasema hayo na kutunisha misuri huku Taifa lake likiteketea, hataki kuelewana na Urusi mambo yakaisha - kaingizwa kwenye mkenge kichwa kichwa na Merikani na Uingereza ili jeshi lake lipigane vita na Urusi huku wakijua kwamba uwezekano wa jeshi la Ukraine kulishinda jeshi la Urusi(supa pawa) haupo kabisa - badala yake Taifa la Ukraine litateketezwa vibaya sana, raia wengi wasio na hatia kupoteza maisha huku Zelensky na familia yake wakiwa wamekwisha fanya mpango wa kukimbilia uhamishoni huko Miami Florida anako miliki a posh Mansion just in case, Zelensky is already stinking rich hana shida vita hii imemtajirisha sana, ndio maana haoni taabu kuwapeleka vijana wadogo jeshini kupigana endless futile counter offensive operations wanako uwawa kama nzinge na mizinga,MRLS (thermobaric),Drones na Chopper Gunships za jeshi la Urusi!!

Zelensky ni binadamu hasiye jali maisha ya vijana wa Kiukraine, anacho jali yeye ni kutaka kuzifurahisha Serikali za Merikani na Uingereza kwa kupigana a proxy war on their behalf -mtu wa ajabu sana.
mgazeti mreeefu Pumba tu zime jaa
 
Ukombozi wa Crimea lazima...,Ili siku nyingine ajiulize mara mbili mbili kabla ya kufanya uvamizi dhidi ya nchi nyingine [emoji848]
kibaya aliachiwa Crimea ila tamaa ilimponza akaitaka ukraine yote
 
Mkuu ni hatari,NATO wa buza wakilala na kuamka wanaandika tu chochote kufurahisha mioyo Yao!Tunabaki kucheka tu[emoji2]!
bishen kwa takwimu tofaut na hapo ww ni kichaah , ndo yale yale kutwaa kuangalia BIBISI hlf ukija hapa habar zao unaita propaganda bila kutuletea habar za ukwel
 
Back
Top Bottom