Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kweli kejeli....mzee mzima anatandika kombora hapo kofia inakua ya fashoon tuVladimir Klitschko bondia mstaafu ameita hii ni kejeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kejeli....mzee mzima anatandika kombora hapo kofia inakua ya fashoon tuVladimir Klitschko bondia mstaafu ameita hii ni kejeli
Helmet husaidia kuzuia sprinters, shrapnels na kudondokewa na vitu uko kwenye trench na kwingine. Risasi sio lengo kuu la helmet ingawa inazipunguza au kuzuia impact, ila Marekani sahivi helmet zao mpya zinazuia standard bullet.Kweli kejeli....mzee mzima anatandika kombora hapo kofia inakua ya fashoon tu
Wajerumani ndio kiboko ya WarusiUkraine imetuma ombirasmi kwa serikali ya Ujerumani kwa ajili ya msaada wa "silaha za kujihami", kwa mujibu wa ripoti ya gazeti.
Katika barua iliyonukuliwa na Gazeti la Ujerumani la Süddeutsche Zeitung, ubalozi wa Ukraine umeiomba Berlin kutoa jibu la haraka, kutokana na hali tete ya kiusalama na kitisho cha uvamizi wa Urusi.
Moscow imepeleka maelfu ya wanajeshi kwenye mpaka wa Ukraine, na kusababisha hofu kwamba inapanga kumvamia jirani yake huyo mdogo. Jumuiya ya kujihami ya mataifa ya magharibi NATO, pia imeonya juu ya idadi kubwa ya wanajeshi wa Urusi wanaopelekwa nchini Belarus.
Urusi inakanusha kupanga uvamizi. Imedai uhakikisho kadhaa wa kiusalama kutoka mataifa ya magharibi, ikiwemo kwamba Ukraine kamwe haitajiunga na NATO na kwamba muungano huo wa kijeshi uondoe vikosi vyake kutoka eneo la Ulaya Mashariki.
Katika kujibu matakwa ya Urusi, NATO na Marekani zimesema madai yote mawili hayana mashiko na badala yake zimependekeza mazungumzo zaidi kuhusu makombora na kupunguza kwa wanajeshi.
Katika barua iliyonukuliwa na Süddeutsche Zeitung, Ukraine inatoa maombo kadhaa makhsusi ya vifaa vya kujilinda, ikiwemo mifumo ya makombora ya masafa ya kati ya kudungua ndege, bunduki za kudungua ndege zisizotumia rubani, kamera za uchunguzi, mifumo ya ufuatiliaji ya kielektroniki, vifaa vya kuona usiku na risasi.
Kyiv inatafuta "msaada wa mara moja katika upatikanaji wa haraka wa mifumo ya silaha za aina ya kujihami," inasema barua hiyo, kwa mujibu wa Gazeti la Süddeutsche Zeitung.
NATO ndio wanajivuta vuta kuisainisha ukraine iwe member...Kwani maamuzi ya nchi moja kujiunga na kingine si maamuzi ya nchi husika? Inakuaje Ukraine izuiliewe na Urusi kujiunga na NATO?
Ukraine wao watie sahihi tu, hayo Mambo mengine yatafuata baadae .....unyonge ni ujinga
...helmet kama hizi zikikaa kichwani si zinakua nzito Sana?ila Marekani sahivi helmet zao mpya zinazuia standard bullet.
Lakini Watalaban hawakutumia kofia hizi,Nafikiri kutakuwa na zoezi la kubeba zege.
Jokes aside! Kofia ngumu ni kitu cha kawaida vitani hasa pale ambapo wanajeshi wanatumika. Zinawakinga vichwani pale wanaposhambuliwa.
Ndo maana Watalaban hawazihitaji,na Marekani alikoma.ha ha haa....helmet kama hizi zikikaa kichwani si zinakua nzito Sana?
Ujerumani inazingatia Katiba yake!Mjerumani anawabania jamaaa hadi NATO wenzie wameanza kujiuliza jamaa wana ajenda gani maana wameombwa silaha muda sana ila wanajizungusha tu ..................isije baadae ikafanywa suprise matata
Kumbuka kwenye Vita kuu ya Pili Wajerumani walipigwa na Urusi mpaka Hitler akakimbia.Wajerumani ndio kiboko ya Warusi