Ukraine yasema imekomboa eneo zima la Kyiv

Ukraine yasema imekomboa eneo zima la Kyiv

Jamaa lishamba na liuaji hili. Linasifia watoto wadogo na vizee kuuawa.

Ptuuuu mate usoni mshamba
492484_5bc708c46414ebec12613c76a2277d5f.jpg
 
Nyuzi nyingi humu zilikuwa zinasema majeshi ya Russia yanarudi nyuma, waloleta hizo habar wakaonekana wanaleta propaganda za magharibi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Urusi ilitangaza kila mtu akiwa ana sikia ya kwamba ana sitisha operation kaskazini mwa Ukraine ikiwemo Kiev baada ya mazungumzo kupiga hatua.
Sasa inashangaza kusema wameyakomboa wakati Urusi imeyaachia kwa makubaliano.
 
Urusi akipewa kipigo tu anataka akimbilie nyuklia. Sasa huyu aliyeshindwa na Ukraine ndio alikuwa anamtunishia msuli Nato mbona hiyo nchi itagawanywa vipande.

Ni muda sasa Russia waachane na vita hiyo kazi wawaachie Marekani, Israel na Uingereza, hao ndio wababe wa vita, wao wafuate tu njia ya Japan, Ujerumani na South Korea, watafute maendeleo ndio itawasaidia vita hawawezi vina wenyewe.

Wamepata hasara ambayo hawakuwahi kupata toka vita vya pili vya dunia kumalizika na hawatakaa wasahau milele.
 
Hivi wanachotaka Urusi ni nini?. Wanataka wapewe Ukraine yote?
 
Urusi akipewa kipigo tu anataka akimbilie nyuklia. Sasa huyu aliyeshindwa na Ukraine ndio alikuwa anamtunishia msuli Nato mbona hiyo nchi itagawanywa vipande.

Ni muda sasa Russia waachane na vita hiyo kazi wawaachie Marekani, Israel na Uingereza, hao ndio wababe wa vita, wao wafuate tu njia ya Japan, Ujerumani na South Korea, watafute maendeleo ndio itawasaidia vita hawawezi vina wenyewe.

Wamepata hasara ambayo hawakuwahi kupata toka vita vya pili vya dunia kumalizika na hawatakaa wasahau milele.
Vipi kuhusu kipigo alicho kupata Marekani na vibaraka wake nchini Vietnam na Afghanistan na wao waachane na vita sio?

Vip kipigo alicho pewa Israel kutoka kwa Hizibulah vipi na yeye ahachane na vita?
 
Urusi ilitangaza kila mtu akiwa ana sikia ya kwamba ana sitisha operation kaskazini mwa Ukraine ikiwemo Kiev baada ya mazungumzo kupiga hatua.
Sasa inashangaza kusema wameyakomboa wakati Urusi imeyaachia kwa makubaliano.
Nahisi Ukraine wanapata jeuri ya kusema hivyo ni kutokana hakukuwa na Official cease fire..yaana ni kama wame-retreat ..ila kama kungekuwa na makubaliano kijeshi basi wangetumia msamiati huo uliotumia mkuu.
Thanks!
 
Kina
Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima la Kyiv baada ya wanajeshi wa Urusi kurudi nyuma kutoka katika baadhi ya miji muhimu karibu na mji huo mkuu.

Naibu waziri wa ulinzi Ganna Maliar ameandika kwenye ukurasa wa Facebook hapo jana kwamba miji ya Irpin, Bucha, Gostomel na eneo zima la Kyiv imekombolewa kutoka kwa mvamizi. Miji hiyo ilikuwa imeharibiwa vibaya kutokana na mapigano na raia wengi waliuawa.

Meya wa miji hiyo amesema watu 280 walizikwa katika kaburi la pamoja katika mji wa Bucha na miili mignine ikiwa imesambaa kwenye mji huo huku mamlaka zikisema karibu watu 200 waliuawa katika mji wa Irpin tangu Urusi ilipoivamia Ukraine.

Ukraine imesema askari wa Urusi wanaondoka kwenye maeneo ya kaskazini na wanaonekana kujielekeza zaidi upande wa mashariki na kusini mwa Ukraine.
Kilichoonekana kwenye vita hii kimedhiirisha Russia ni tofauti na Ile tuliokuwa tunasimuliwa ....huyo ni Ukraine Russia makamasi yamemtoka Kwa wingi hiv vip NATO ingeingia SI ndo haja kubwa na mkojo Kwa pamoja vingetoka🤣🤣
 
Putin naona anataka achukue kwanza majimbo yote ya mashariki yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga mwaka 2014 alafu ndo aendelee na vitu vingine.wasi wasi baadae kuna uwezekano wa kukatokea nchi 2.(ukraine ya warusi na ukraine ya wamagharibi).

Majimbo zaidi ya 9(CRIMEA,DONESK,LUHANSK,ODESSA,ZAPORIZHIA,KHARKIV,MYKOLAYIV,KHERSON NA DNIPROPETROVSK) yalishudiwa maandamano ya kutaka kijitenga na ukraine, ila ni majimbo ma 3 kati ya majimbo 9 yalifanikiwa kuweza kujiondoa(CRIMEA,DONESK NA LUHANSK)

Warusi baada ya kuingia wamechukua majimbo ma 2 la ZAPORIZHIA na KHERSON kwa nguvu na kubakiza majimbo ma 4 yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga kwaka 2014.

*ODESSA
*KHARKIV
* Mykolayiv Oblast
*DNIPROPETROVSK

(KHARKIV)
Kharkiv kwa sasa kunaonekana ndo jimbo lenye mashambulizi makali ya warusi kuliko jimbo lolote lile ndani ya ardhi ya Ukraine.vikosi vya anga na vya ardhini vinafanya mashambulizi muda wote,kuanguka kwa mji huu wa kiviwanda itakuwa pigo sana kwa serikali ya ukraine.

(ODESSA)
Odessa ndo jimbo pekee lenye bandari lililobaki kwenye mikono ya majeshi ya ukraine,kuferi kwa jimbo hili ni wazi ukraine atoweza kupokea au kutuma mzigo wowote ule kwa njia ya majini.siku 2 za ivi karibuni warusi wameongeza mashambulizi makali sana ya anga.ni wazi wanajiandaa kutaka kuvamia jimbo la Odessa.

(Mykolayin)
Mykolayin siku za nyuma imekuwa nayo kitovu cha kupokea mashambulizi kutoka angani na ardhini.vikosi vya urusi vinafanya mashambulizi mazito ili waweze kuingia kwenye mkoa huu.

(Dnipropetrovsk)
Dnipropetrovsk imekuwa makimbilio kwa wa ukraine wanaotoka sehemu zenye mapigano makali,ila kuongezeka kwa mashambulizi ya ivi karibuni kwenye mkoa huu inatoa ishara kuwa warusi wanajiandaa kutaka kuvamia.
View attachment 2174115
Hakuna kitu kama hicho.... Russia Katia aibu na dunia imejua kuwa mikwala tu anachapika vizur...SI ajabu ukasikia hata Poland au Sweden akaomba goma mtu mbili.....
 
Nahisi Ukraine wanapata jeuri ya kusema hivyo ni kutokana hakukuwa na Official cease fire..yaana ni kama wame-retreat ..ila kama kungekuwa na makubaliano kijeshi basi wangetumia msamiati huo uliotumia mkuu.
Thanks!
Yaa ni kweli maana Urusi ilisema imesitisha ili kuonesha niya njema baada ya Ukraine na yenyewe kuonesha niya njema .
 
Wakuu oneni hili lishamba linakaa sebuleni kwa shemeji ake halijui kujinunulia hata sidiria. Lingejua kutafuta hata mia mbovu tu lisingeshangilia vita.

Nimezidi kukudharau. Ptuuuu, mate usoni mshamba
484548_c63d5d8448e4065da0c0474967cd0e48.jpg

Walilie hao wakuuuu mama zako labda
 
Acha kushabikia vita mshamba wewe. Vita vinakusaidia nini wewe kama kijana mdogo usiye na ajira bado? Unadhani shemeji yako atakupa malazi milele. Shtuka acha ushamba mtoto mdogo
Asiposhabikia vita inasaidia nini?
Akishabikia inapunguza nini?
Kama ni kuisoma namba mtaisoma wote wewe na Yeye.....
 
Back
Top Bottom