Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
So mission yao ilikuwa ni nini?Washamaliza mission yao ndo mnasema mnakomboa miji baada ya vidume kuamua kusepa hio phase 1 ngojeni ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So mission yao ilikuwa ni nini?Washamaliza mission yao ndo mnasema mnakomboa miji baada ya vidume kuamua kusepa hio phase 1 ngojeni ya pili
Putin hasikilizi mtoto mbichi anayekaa sebuleni kwa shemeji ake
Kula bataSo mission yao ilikuwa ni nini?
sasa wako wapi hao warusi wabad 🙂
Hongera kwa baraka za kumiminiwa ....kwani nimekataa.....si haki yako kwa msaada wa watu wa marekaniMimi ni mwamaleki. Ukiniita naby mara 100 haibadili jina langu. Umegundua sasa ulivyo jinga?
Mimba ni baraka mdogo angu mshamba
Hawajakupa.msaada wa lugha pia?Andika kiswahili pengine utaeleweka
Hakuna mtu amewahi pewa mafuta bure mdogo angu
Mkuu Hawezi kukuelewa maana atizami lengo lilikuwa nini.Dhumuni lao ilikuwa ni kuuwa tu na kuondoka ama kulikalia jiji? Ni kwamba ndio waliua raia baada ya kuona wamepata cha moto sana kulikamata jiji wakaona wasepe wanaishilia hapo
Vipi unahitaji malimao?Basi mtoto mdogo ukiona hivi vikatuni unafurahi sana. Ungekua umefikisha umri wa ku join Twitter ungem follow Kipanya upate supply nzuri ya katuni
Mnato wameserereka hadi unatematema mate ovyoAkina nani hao mdogo angu mshamba
Tuliambiwa Ukraine itakuwa majivu ndani ya siku ngapi vile? Tunashangaa mbabe Putin anarudisha nyuma askari wake..sasa wako wapi hao warusi wabad 🙂
Uwezo wa Urusi ulikuwa Overrated sana.. Hana uwezo mkubwa kama ambavyo tuliaminishwa.Kinachonishangaza ni kuwa Ukraine Army inapokea silaha na Urusi halipui hizo silaha... Urusi kashindwa angani, haoni kiingiacho Ukraine...
Akijidanganya aende one on one na USA au NATO yeyote atakimbizwa hadi atumie Nukes na ICBM
Sent using Jamii Forums mobile app
masaa 72 ila kauli mbiu ni retreat 😂😂 warusi bure kabisaTuliambiwa Ukraine itakuwa majivu ndani ya siku ngapi vile? Tunashangaa mbabe Putin anarudisha nyuma askari wake..
Ni wakina nani hao mdogo wangu mshamba
Nawasaidia wajawazito wa kutema mate ovyoWewe ni muuza malimao mdogo angu?
Unahitaji ndoo ngapi za malimao ili mate yakateNi jambo jema. Wasaidie tu hakuna aliyekuzuia mdogo wangu mshamba