Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Endelea kucheza game kwenye simu ya shemeji yako mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kucheza game kwenye simu ya shemeji yako mdogo wangu
Teh naona umesema ndoo 5 fresh.....hadi ptuu zikate...........ukimaliza tunapaka puturu uongeze mate tenaUnazidi kujiaibisha. Ptuuuuu mate usoni
Nipost mashoga wenzenu?Unapenda sana ku post picha za wanaume
Nakurebisha kidogo, Jimbo la Zaporizia Urusi bado hawajariteka, wapo kusini yake wanaangaika na mariapol. Pia Jimbo la Kersoni wamefika mji wa kersoni wanapigana hapo lakini jimbo lote zima hawariteka. Bado wana safari ndefu maana Ukreini ndio Taifa kubwa kwa ardhi barani Ulaya.NB Urusi kisiasa uondolewa Kuwa Ulaya.
Kaka hii ngoma Russia angeichezea Israel, UK, France, German hakika watu wangetia miguu Moscow. Russia amebaki na Nukes tu.Urusi akipewa kipigo tu anataka akimbilie nyuklia. Sasa huyu aliyeshindwa na Ukraine ndio alikuwa anamtunishia msuli Nato mbona hiyo nchi itagawanywa vipande.
Ni muda sasa Russia waachane na vita hiyo kazi wawaachie Marekani, Israel na Uingereza, hao ndio wababe wa vita, wao wafuate tu njia ya Japan, Ujerumani na South Korea, watafute maendeleo ndio itawasaidia vita hawawezi vina wenyewe.
Wamepata hasara ambayo hawakuwahi kupata toka vita vya pili vya dunia kumalizika na hawatakaa wasahau milele.
Kwani wewe unafanya mambo kuangalia watu?acha akili za kikondoo na kitumwa hizo.....ila sio mbaya maana nyie mnafanyaga mambo ili kuwaridhisha mabwana zenu minato............endelea kujipendekezaKusema ukweli mkuu leo umejiabisha mno. Washikaji zako wa kule uzi wa majogoo wakikuona una act childish hivi itakuaje?
Hao ni wanachama wenzenu ...vipi unawakana wenzako?Unapenda sana kuwataja hawa watu. Wewe ni mmoja wao? Nakuonya mdogo wangu. Sio tabia nzuri hiyo. Mrudie Mola wako
Majinga mengi Sana,Jamaa lijinga kinoma. Eti wanaoua raia ndo anawaita vidume
Chama cha upinde wa mvuaChama gani mkuu. ACT wazalendo?
Putin amefeli.masaa 72 ila kauli mbiu ni retreat 😂😂 warusi bure kabisa
Nimependa ujumbe wa kwenye pikipiki, ila alivyombeba huyo nguruwe sijapenda.
Vijiji vidodo dogo na miji kama Khakiv, Miriopoly lakini Kyiv walikula Stinger mpaka mpaka wameomba poo wakajipange tenaHiyo miji wameiteka lini? maana tulikuwa tuna ambiwa Urusi haijateka mji hata mmoja.
Anavimba eti kakomboa miji hiyo kivita..vichekesho vingine bwana[emoji38][emoji16] Mrusi kachakaza kaharibu, anarudi kwake kamaliza operation, Mchekeshaji anaendelea na komedi eti kaukomboa, kakomboa magofu??
Huyo Zele, atakuwa anakula majani ya Afande Sele siyo bure!
[emoji3][emoji3][emoji3] eti makubalianoWamelikomboa au wamekabidhiwa kwa makubaliano.
Watu wanaenda kumega nchi huko.........washamaliza kazi ya kusafisha jeshiVijiji vidodo dogo na miji kama Khakiv, Miriopoly lakini Kyiv walikula Stinger mpaka mpaka wameomba poo wakajipange tena