Ukraine yasema imekomboa eneo zima la Kyiv

Ukraine yasema imekomboa eneo zima la Kyiv

Putin naona anataka achukue kwanza majimbo yote ya mashariki yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga mwaka 2014 alafu ndo aendelee na vitu vingine.wasi wasi baadae kuna uwezekano wa kukatokea nchi 2.(ukraine ya warusi na ukraine ya wamagharibi).

Majimbo zaidi ya 9(CRIMEA,DONESK,LUHANSK,ODESSA,ZAPORIZHIA,KHARKIV,MYKOLAYIV,KHERSON NA DNIPROPETROVSK) yalishudiwa maandamano ya kutaka kijitenga na ukraine, ila ni majimbo ma 3 kati ya majimbo 9 yalifanikiwa kuweza kujiondoa(CRIMEA,DONESK NA LUHANSK)

Warusi baada ya kuingia wamechukua majimbo ma 2 la ZAPORIZHIA na KHERSON kwa nguvu na kubakiza majimbo ma 4 yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga kwaka 2014.

*ODESSA
*KHARKIV
* Mykolayiv Oblast
*DNIPROPETROVSK

(KHARKIV)
Kharkiv kwa sasa kunaonekana ndo jimbo lenye mashambulizi makali ya warusi kuliko jimbo lolote lile ndani ya ardhi ya Ukraine.vikosi vya anga na vya ardhini vinafanya mashambulizi muda wote,kuanguka kwa mji huu wa kiviwanda itakuwa pigo sana kwa serikali ya ukraine.

(ODESSA)
Odessa ndo jimbo pekee lenye bandari lililobaki kwenye mikono ya majeshi ya ukraine,kuferi kwa jimbo hili ni wazi ukraine atoweza kupokea au kutuma mzigo wowote ule kwa njia ya majini.siku 2 za ivi karibuni warusi wameongeza mashambulizi makali sana ya anga.ni wazi wanajiandaa kutaka kuvamia jimbo la Odessa.

(Mykolayin)
Mykolayin siku za nyuma imekuwa nayo kitovu cha kupokea mashambulizi kutoka angani na ardhini.vikosi vya urusi vinafanya mashambulizi mazito ili waweze kuingia kwenye mkoa huu.

(Dnipropetrovsk)
Dnipropetrovsk imekuwa makimbilio kwa wa ukraine wanaotoka sehemu zenye mapigano makali,ila kuongezeka kwa mashambulizi ya ivi karibuni kwenye mkoa huu inatoa ishara kuwa warusi wanajiandaa kutaka kuvamia.
View attachment 2174115
Unachukuaje kitu ambacho unakimiliki tangu 2014 na vipi ule msafara wa 64km uliokuwa unaenda Kyiv kufanya nini?
 
Huko kote warusi walikuwa wanawithdraw majeshi na so kwa kupigwa. Ni baada tu ya mazungumzo yaliyoonesha tija mjini istanbul.
MSM Zinawakaririsha watu uongo
Sio.kweli,Urusi kwanza.mawasiliona.ya wanajeshi wao na makamanda yalikatwa ndani ya Ukraine,kwa hiyo wakakosa mawasiliano na jeshi haliwezi kutumia mawasiano ya adui.Chakula pia kiwaishia hambacho ikawa hatari kwani jeshi la urusi lilipewa chakula cha kutumia kwa.mwezi so replenishment ikawa shida kwani mawasiliano hakuna.Nimeripoti kutoka Ukraine
 
Jeshi la Urusi hovyo kweli , retreat(kukimbia mji) ni disorderly kweli kweli . Retreat wanapoteza vifaa na wanajeshi kuliko awamu ya uvamizi. Z inakiona cha moto.
 
Jeshi la Urusi hovyo kweli , retreat(kukimbia mji) ni disorderly kweli kweli . Retreat wanapoteza vifaa na wanajeshi kuliko awamu ya uvamizi. Z inakiona cha moto.
Ni kwa amri Shee na sio kudisloyal order. Baada ya istanbul reconciliation
 
Nyie nyie mlidai Ukraine anapigwa ndani ya siku mbili. Ebu amkeni kwenye usingizi mzito wa vodka

Kama angeamua kurusha mabomu kiholela na kuuwa innocent people mbona angeichukua ndani ya masaa 72.

Puttin sio marekani/NATO ambao walivamia nchi za kiarabu hawakuangalia wanaempiga, watu wasio na hatia walikufa na wengine kuyakimbia makazi yao.
 
Waafrika acheni kujipendekeza kwa marekani na washirika wake wasiowatakia heri, nadhani mnajionea bei ya vyakula na mafuta yanaendelea kupanda. Walifikiri watamkomoa puttin kwa vikwazo😁, haya wamarekani wa tandale na gongolamboto jiandaeni kupanga foleni kwenye vituo vya maguta
 
Kwa nini anataka achukue majimbo yote ya Mashariki ya nchi nyingine?
Putin naona anataka achukue kwanza majimbo yote ya mashariki yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga mwaka 2014 alafu ndo aendelee na vitu vingine.wasi wasi baadae kuna uwezekano wa kukatokea nchi 2.(ukraine ya warusi na ukraine ya wamagharibi).

Majimbo zaidi ya 9(CRIMEA,DONESK,LUHANSK,ODESSA,ZAPORIZHIA,KHARKIV,MYKOLAYIV,KHERSON NA DNIPROPETROVSK) yalishudiwa maandamano ya kutaka kijitenga na ukraine, ila ni majimbo ma 3 kati ya majimbo 9 yalifanikiwa kuweza kujiondoa(CRIMEA,DONESK NA LUHANSK)

Warusi baada ya kuingia wamechukua majimbo ma 2 la ZAPORIZHIA na KHERSON kwa nguvu na kubakiza majimbo ma 4 yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga kwaka 2014.

*ODESSA
*KHARKIV
* Mykolayiv Oblast
*DNIPROPETROVSK

(KHARKIV)
Kharkiv kwa sasa kunaonekana ndo jimbo lenye mashambulizi makali ya warusi kuliko jimbo lolote lile ndani ya ardhi ya Ukraine.vikosi vya anga na vya ardhini vinafanya mashambulizi muda wote,kuanguka kwa mji huu wa kiviwanda itakuwa pigo sana kwa serikali ya ukraine.

(ODESSA)
Odessa ndo jimbo pekee lenye bandari lililobaki kwenye mikono ya majeshi ya ukraine,kuferi kwa jimbo hili ni wazi ukraine atoweza kupokea au kutuma mzigo wowote ule kwa njia ya majini.siku 2 za ivi karibuni warusi wameongeza mashambulizi makali sana ya anga.ni wazi wanajiandaa kutaka kuvamia jimbo la Odessa.

(Mykolayin)
Mykolayin siku za nyuma imekuwa nayo kitovu cha kupokea mashambulizi kutoka angani na ardhini.vikosi vya urusi vinafanya mashambulizi mazito ili waweze kuingia kwenye mkoa huu.

(Dnipropetrovsk)
Dnipropetrovsk imekuwa makimbilio kwa wa ukraine wanaotoka sehemu zenye mapigano makali,ila kuongezeka kwa mashambulizi ya ivi karibuni kwenye mkoa huu inatoa ishara kuwa warusi wanajiandaa kutaka kuvamia.
View attachment 2174115
 
Waafrika acheni kujipendekeza kwa marekani na washirika wake wasiowatakia heri, nadhani mnajionea bei ya vyakula na mafuta yanaendelea kupanda. Walifikiri watamkomoa puttin kwa vikwazo😁, haya wamarekani wa tandale na gongolamboto jiandaeni kupanga foleni kwenye vituo vya maguta
nenda serikalini kaangalie idadi kubwa ya misaada na mikopo inatoka wapi au uje tujadili tuendelee kujipendekeza au tuache
 
Kwa nini anataka achukue majimbo yote ya Mashariki ya nchi nyingine?
Kwasababu kuna ukiukaji mkubwa sana wa hakki za bina adamu na hio ndio njia pekee yakuumaliza huo unyama
GO RUSSIA
 
Vipi kuhusu kipigo alicho kupata Marekani na vibaraka wake nchini Vietnam na Afghanistan na wao waachane na vita sio?

Vip kipigo alicho pewa Israel kutoka kwa Hizibulah vipi na yeye ahachane na vita?
Mission ya usa Afghanistan ilikuwa ni Osama na walisha mu eliminate Sasa unasema walishindwa hujui unacho jadil kid.
 
Hawajakomboa bali wameachiwa kidogo.Wajitayarishe na kipigo kikubwa zaidi na cha mpangilio kuliko cha mwanzo.Urusi hawezi kukubali kushindwa na hana sababu ya kushindwa.
 
Back
Top Bottom