Ukraine yasema zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imetapakaa Mji wa Kyiv

Ukraine yasema zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imetapakaa Mji wa Kyiv

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imebainika kuwepo katika Jiji la Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine baada ya kuondoka kwa majeshi ya #Russia, mingi kati ya hiyo ikiwa imeshambuliwa kwa risasi. Polisi wamesema kuwa hiyo ni ishara kuwa wengi waliuawa kirahisi.

Idadi hiyo ya kutatanisha iliibuka muda mfupi baada ya Wizara ya Ulinzi ya Urusi kuahidi kuongeza mashambulizi ya makombora dhidi ya Kyiv kujibu madai ya mashambulizi ya #Ukraine katika eneo la Urusi.

Rais wa Ukraine, Volodymyr #Zelenskyy alishutumu wanajeshi wa Urusi wanaokalia baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Kherson na Zaporizhzhia kwa kuwatisha raia na kuwinda mtu yeyote ambaye ni mwajiriwa wa jeshi au Serikali ya Ukraine


Source: Indiatoday
 
ina maana kwa sasa huko kuna nzi na funza plus harufu mbaya
 
Zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imebainika kuwepo katika Jiji la Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine baada ya kuondoka kwa majeshi ya #Russia, mingi kati ya hiyo ikiwa imeshambuliwa kwa risasi. Polisi wamesema kuwa hiyo ni ishara kuwa wengi waliuawa kirahisi.

Idadi hiyo ya kutatanisha iliibuka muda mfupi baada ya Wizara ya Ulinzi ya Urusi kuahidi kuongeza mashambulizi ya makombora dhidi ya Kyiv kujibu madai ya mashambulizi ya #Ukraine katika eneo la Urusi.

Rais wa Ukraine, Volodymyr #Zelenskyy alishutumu wanajeshi wa Urusi wanaokalia baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Kherson na Zaporizhzhia kwa kuwatisha raia na kuwinda mtu yeyote ambaye ni mwajiriwa wa jeshi au Serikali ya Ukraine


Source: Indiatoday
Boris Alipotembelea kyiv aliiona?
 
Ndo nachek hii habari hapa, si mchezo maiti zinavyotolewa.

Hapa kweli mrusi amezingua.
 
Mauaji ya kimbari.. Roho 900 zimeteketea kwa matendo ya binadamu anayejiita kastaarabika
Hao Ni wachache Sana Tena Ni kiduchu,cheki mashetani hapo [emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20220324-015904.jpg
 
Kwani warusi walifika Kyiv?. Situnaambiwa hawakuweza kuingia mji mkuu?.

Kama walifika je waliouwawa walikua na umri Gani?. Kama walikua na miaka 18 mpaka 59 na nijinsia ya kiume basi hakuna tatizo maana hao walipewa silaha , kwahio walikua askali watiifu waliofia "vitani".

Kama niwanawake na wazee na watoto walioko chini ya miaka 18 au zaidi ya miaka 60 hapo URUSI kakosea, lakini kama niwale waliopewa silaha acha wauwawe.

Vipi ya BUCHA nayo yameishia wapi?.
 
Zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imebainika kuwepo katika Jiji la Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine baada ya kuondoka kwa majeshi ya #Russia, mingi kati ya hiyo ikiwa imeshambuliwa kwa risasi. Polisi wamesema kuwa hiyo ni ishara kuwa wengi waliuawa kirahisi.

Idadi hiyo ya kutatanisha iliibuka muda mfupi baada ya Wizara ya Ulinzi ya Urusi kuahidi kuongeza mashambulizi ya makombora dhidi ya Kyiv kujibu madai ya mashambulizi ya #Ukraine katika eneo la Urusi.

Rais wa Ukraine, Volodymyr #Zelenskyy alishutumu wanajeshi wa Urusi wanaokalia baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Kherson na Zaporizhzhia kwa kuwatisha raia na kuwinda mtu yeyote ambaye ni mwajiriwa wa jeshi au Serikali ya Ukraine


Source: Indiatoday
Russia si hakuingia Kyiv!?Sasa imekuwaje tena?.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Russia si hakuingia Kyiv!?Sasa imekuwaje tena?.[emoji16][emoji16][emoji16]

ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
 
ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
sasa hayo mabom yamefikaje kati kuna air defence system za kutosha, na zile juzi hazikupigwa ilikua propaganda tu mkuu.
 
Back
Top Bottom