Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikono ya Putin inanuka damu, jamaa hana ubinadamu kabisa.Mauaji ya kimbari.. Roho 900 zimeteketea kwa matendo ya binadamu anayejiita kastaarabika
Kama haielezeki tumieni hata emoji.
Naona watakatifu wametulia hapo [emoji116][emoji116]Mikono ya Putin inanuka damu, jamaa hana ubinadamu kabisa.
Na wewe soma uelewe. Hapo wamesema ilishambuliwa kwa risasi na sio makombora..ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
Walikuwa viunga vya Kyiv, hawakufika city centre, hilo ndilo lilisemwa.Hata mimi nilitaka kuhoji. Umeniwahi mkuu
Urusi haikufika Kyiv Sasa walikufajeRussia si hakuingia Kyiv!?Sasa imekuwaje tena?.[emoji16][emoji16][emoji16]
Ilishambuliwaje na risasi wakati wakati tumeaminishwa kuwa jeshi la Russia halikukanyaga. Kyiv??Wamesema miili ikishambuliwa kwa risasi mburula wewe
It doesn't make sense, toka Russia waondoke kwenye hivyo viunga umeshapita mwezi sasa, leo ndio waje wagundue hizo maiti?? Hii habari imepikwaWalikuwa viunga vya Kyiv, hawakufika city centre, hilo ndilo lilisemwa.
acha matusi mkuu,wamesema miili mingi ikiwa na risasi.ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
Haya mauaji ya kimbari nilikuwa naskia tu juu kwa juu mpaka niliposoma kitabu Cha mtusi aliyeponea chupuchupu LEFT TO TELL mweee ilikuwa hatariMauaji ya kimbari.. Roho 900 zimeteketea kwa matendo ya binadamu anayejiita kastaarabika
hapana mkuu makombora yalijazwa risasi ndo zikapiga watu😅😅😅Na wewe soma uelewe. Hapo wamesema ilishambuliwa kwa risasi na sio makombora..
Sasa walishambuliwaje na Russia haikufika Kyiv kama habari zinavyosemwa??
Maana yake waliofanya hayo mauaji sio Russia; mbona unakuwa mzito sana kuelewaIlishambuliwaje na risasi wakati wakati tumeaminishwa kuwa jeshi la Russia halikukanyaga. Kyiv??
Umeni quote kwa hoja tofauti, tuliza akili kwanza.It doesn't make sense, toka Russia waondoke kwenye hivyo viunga umeshapita mwezi sasa, leo ndio waje wagundue hizo maiti?? Hii habari imepikwa