Ukraine yatakiwa kuzingatia maonyo ya Urusi haraka kabla kipigo kijacho

Ukraine yatakiwa kuzingatia maonyo ya Urusi haraka kabla kipigo kijacho

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
fd35fc81ebcf4e5d8b28e77536d8815e

Katika hali inayoonesha vita vinaelekea kubaya zaidi Urusi imeitaka Ukraine kuzingatia maonyo yake haraka kabla awamu ijayo ya mashambulizi haijaanza. Onyo hilo limetolewa na waziri wa mambo ya nje wa Urusi mapema jana.
Katika onyo hilo Sergei Lavrov ameitaka Ukraine kuyatambua majimbo mapya ya Urusi na kuacha kupeleka askari wake huko.
Onyo hilo limekuja siku moja baada ya raisi Putin kunakiliwa akisema yuko tayari kwa mazungumzo na Ukraine tafsriri ya aaina ya mazungumzo ambayo ndio sasa imepatikana kutoka kwa waziri wake wa mambo ya nje
Wakati huo huo onyo hilo limekuja baada ya ziara ya Putin huko Belarus na ziara nyengine ya kushtukizia ya raisi wa Belarus huko Urujsi. Ziara hizo zimeambatana na harakati kubwa ya kupelekwa zana nzito za kivita kwenye mpaka wa Belarus na Ukraine zikiwemo ndege zenye uwezo wa kubeba makombora ya nyuklia.
wiki iliyopita raisi Zelensky naye alifanya ziara ya muda mfupi huko Mareknai ambako aliahidiwa kupatiwa makombora ya patriot ambayo ni maalum kwa kuyadungua makombora mengine yanayoelekea kutua kwenye yake.Makombora hayo yatachukua mpaka miezi 6 ijayo kuwasili humo muda sawa na unaohitajika kwa kutoa mafunzo kwa askari wa Ukraine watakayotakiwa kuyatumia.
 
Hahahaha hivi bado wanatishia tu[emoji23][emoji23][emoji23]ila Urusi kwa mikwala mbuzi hajambo [emoji23][emoji23]
Ukifuatilia kwa vizuri hii si mikwara.Urusi inataka imalize kazi kabla hizo Patriot hazijafika.
Waukraine wakitaka kulazimisha ushindi kwa faida ya NATO wataishiwa na kila kitu.
 


Putin does not like democracy. He says Russians are white just like westerners but they don't think alike; westerners think of democratic principles while Russians think of autocratic principles. Whenever there was a democratic movement in the former soviet countries, he would always invade to stabilize autocracy.
 
Back
Top Bottom