Ukraine yatakiwa kuzingatia maonyo ya Urusi haraka kabla kipigo kijacho

Ukraine yatakiwa kuzingatia maonyo ya Urusi haraka kabla kipigo kijacho

Ina maana wanaogopa Sana hizo Patriot mpaka walazimishe ushindi wa haraka ?
Sio kuziogopa tu ila ni kuchukua tahadhari na kuwahi katika vita.Kwenye vita si akili nzuri kusubiri adui yako mpaka akukaribie na unajuwa na keshatangaza anakuja kukuua.Akisema analeta ujumbe utamsubiria.
Hapo Urusi kwanza azifuatilie hizo patriot zikivuka mpaka tu basi aziripue bila kujali zinafanya kazi vizuri au vyenginevyo.
 
mikwara as usual.
walianza atakae ingilia smo. wakafata jesh la kiev lipindue serikal wakaja Nukes alertness

no new
Kila siku joto linapanda kutokana na mafunzo aliyopata kwenye uwanja wa vita. Kumpuuza ni ujinga.
 
Sio kuziogopa tu ila ni kuchukua tahadhari na kuwahi katika vita.Kwenye vita si akili nzuri kusubiri adui yako mpaka akukaribie na unajuwa na keshatangaza anakuja kukuua.Akisema analeta ujumbe utamsubiria.
Hapo Urusi kwanza azifuatilie hizo patriot zikivuka mpaka tu basi aziripue bila kujali zinafanya kazi vizuri au vyenginevyo.
Silaha zimeshaingia mara ngapi Ukraine na amezuia ngapi mbona mwaka unakaribia kwisha na ameshindwa kuiteka Ukraine yote kama alivyokuwa akiota. Putin bogus kabisa.
 
Silaha zimeshaingia mara ngapi Ukraine na amezuia ngapi mbona mwaka unakaribia kwisha na ameshindwa kuiteka Ukraine yote kama alivyokuwa akiota. Putin bogus kabisa.
Usiangalie tulikotoka kisia hali inavyoelekea kuharibika huko mbeleni.Kuna vitu vingi vimemkasirisha Putin na sasa huenda akaanza kutumia nguvu na mbinu za ziada kumaliza vita.Itakuwa ni hasara kubwa kwa Ukraine,Nato na sisi sote,
 
fd35fc81ebcf4e5d8b28e77536d8815e

Katika hali inayoonesha vita vinaelekea kubaya zaidi Urusi imeitaka Ukraine kuzingatia maonyo yake haraka kabla awamu ijayo ya mashambulizi haijaanza. Onyo hilo limetolewa na waziri wa mambo ya nje wa Urusi mapema jana.
Katika onyo hilo Sergei Lavrov ameitaka Ukraine kuyatambua majimbo mapya ya Urusi na kuacha kupeleka askari wake huko.
Onyo hilo limekuja siku moja baada ya raisi Putin kunakiliwa akisema yuko tayari kwa mazungumzo na Ukraine tafsriri ya aaina ya mazungumzo ambayo ndio sasa imepatikana kutoka kwa waziri wake wa mambo ya nje
Wakati huo huo onyo hilo limekuja baada ya ziara ya Putin huko Belarus na ziara nyengine ya kushtukizia ya raisi wa Belarus huko Urujsi. Ziara hizo zimeambatana na harakati kubwa ya kupelekwa zana nzito za kivita kwenye mpaka wa Belarus na Ukraine zikiwemo ndege zenye uwezo wa kubeba makombora ya nyuklia.
wiki iliyopita raisi Zelensky naye alifanya ziara ya muda mfupi huko Mareknai ambako aliahidiwa kupatiwa makombora ya patriot ambayo ni maalum kwa kuyadungua makombora mengine yanayoelekea kutua kwenye yake.Makombora hayo yatachukua mpaka miezi 6 ijayo kuwasili humo muda sawa na unaohitajika kwa kutoa mafunzo kwa askari wa Ukraine watakayotakiwa kuyatumia.
Imeshazoeleka sasa kwamba Putin na genge lake ni watu wa mikwara kila kunapokucha.
Hakuna jipya hapo.
 
Super pawer anazidi kuchakazwa na kudhalilishwa wewe umeklalia propaganda.., shauri yako,nenda ukamsaidie bwana wako uko field maana anatolewa kamasi balaa View attachment 2459698

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kizee cha watu kinapigwa Jabs - Cross left-right, Hook, Uppercut halafu kinabweka "Nntakuua leo, Leo utakoma/Utantambua" Hahahaaa.
 
fd35fc81ebcf4e5d8b28e77536d8815e

Katika hali inayoonesha vita vinaelekea kubaya zaidi Urusi imeitaka Ukraine kuzingatia maonyo yake haraka kabla awamu ijayo ya mashambulizi haijaanza. Onyo hilo limetolewa na waziri wa mambo ya nje wa Urusi mapema jana.
Katika onyo hilo Sergei Lavrov ameitaka Ukraine kuyatambua majimbo mapya ya Urusi na kuacha kupeleka askari wake huko.
Onyo hilo limekuja siku moja baada ya raisi Putin kunakiliwa akisema yuko tayari kwa mazungumzo na Ukraine tafsriri ya aaina ya mazungumzo ambayo ndio sasa imepatikana kutoka kwa waziri wake wa mambo ya nje
Wakati huo huo onyo hilo limekuja baada ya ziara ya Putin huko Belarus na ziara nyengine ya kushtukizia ya raisi wa Belarus huko Urujsi. Ziara hizo zimeambatana na harakati kubwa ya kupelekwa zana nzito za kivita kwenye mpaka wa Belarus na Ukraine zikiwemo ndege zenye uwezo wa kubeba makombora ya nyuklia.
wiki iliyopita raisi Zelensky naye alifanya ziara ya muda mfupi huko Mareknai ambako aliahidiwa kupatiwa makombora ya patriot ambayo ni maalum kwa kuyadungua makombora mengine yanayoelekea kutua kwenye yake.Makombora hayo yatachukua mpaka miezi 6 ijayo kuwasili humo muda sawa na unaohitajika kwa kutoa mafunzo kwa askari wa Ukraine watakayotakiwa kuyatumia.

Huyu rais qa ukrain sijui kwanini mbishi hivi? Si akubali tu yaishe kuliko hivi anafanya maisha yanakua magumu bila sababu
 
Usiangalie tulikotoka kisia hali inavyoelekea kuharibika huko mbeleni.Kuna vitu vingi vimemkasirisha Putin na sasa huenda akaanza kutumia nguvu na mbinu za ziada kumaliza vita.Itakuwa ni hasara kubwa kwa Ukraine,Nato na sisi sote,
You seem to overate the dictator Putin, he is not what you think he is. His days as a Russian strongman are quickly drawing to an end.
 
Usiangalie tulikotoka kisia hali inavyoelekea kuharibika huko mbeleni.Kuna vitu vingi vimemkasirisha Putin na sasa huenda akaanza kutumia nguvu na mbinu za ziada kumaliza vita.Itakuwa ni hasara kubwa kwa Ukraine,Nato na sisi sote,
Ndio. Baadhi ya Vitu vingi vilivyomkasirisha Putin ni pamoja na kufedheheka mbele ya Mataifa kwani ameshindwa kuiteka Ukraine kwa zaidi ya miezi 9 ilhali alijitapa ni 72hrs.
Uchumi wake umedorora mno kutokana na vizuizi/vikwazo vya kimataifa n.k.
Putin amefika mahali ameanza kuwa omba-omba kwa Iran, Belarus na N.Korea yan anachopigania kwa sasa ni kulinda walau Status quo yake.
 
Huyu rais qa ukrain sijui kwanini mbishi hivi? Si akubali tu yaishe kuliko hivi anafanya maisha yanakua magumu bila sababu
Mhh..Mbishi ni Putin kwani alishapewa conditions ili mambo ya vita yaishe lakini akakaza shingo. Aliambiwa mbambo matatu tu:
1. Aondoe majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine
2. Akubali kufanya ukarabati wa miundombinu aliyoiharibu
3. Akubali kulipia Hasara iliyosababishwa na Uwepo wa majeshi yake(Uvamizi) ndani ya nchi ya Ukraine
Katika hali ya kawaida, hiwezekani jambazi akaingia ndani ya nyumba yako halafu akaanza kukupa masharti na wewe eti ukubaliane naye ili mambo yaishe. Si utapambana naye kufa na kupona? au wewe unasemaje mkuu?
 
Sio kuziogopa tu ila ni kuchukua tahadhari na kuwahi katika vita.Kwenye vita si akili nzuri kusubiri adui yako mpaka akukaribie na unajuwa na keshatangaza anakuja kukuua.Akisema analeta ujumbe utamsubiria.
Hapo Urusi kwanza azifuatilie hizo patriot zikivuka mpaka tu basi aziripue bila kujali zinafanya kazi vizuri au vyenginevyo.
Na ndio mipango ya Putin.
 
Mhh..Mbishi ni Putin kwani alishapewa conditions ili mambo ya vita yaishe lakini akakaza shingo. Aliambiwa mbambo matatu tu:
1. Aondoe majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine
2. Akubali kufanya ukarabati wa miundombinu aliyoiharibu
3. Akubali kulipia Hasara iliyosababishwa na Uwepo wa majeshi yake(Uvamizi) ndani ya nchi ya Ukraine
Katika hali ya kawaida, hiwezekani jambazi akaingia ndani ya nyumba yako halafu akaanza kukupa masharti na wewe eti ukubaliane naye ili mambo yaishe. Si utapambana naye kufa na kupona? au wewe unasemaje mkuu?

Mie nasema vita kaitafuta yeye rais wa ukrain! Asingekua mbishi tusingefika huku! Ifike sehem ajitambue... jambazi hadi kukuingilia nyumban kwako kuna jambo!
 
Huyu rais qa ukrain sijui kwanini mbishi hivi? Si akubali tu yaishe kuliko hivi anafanya maisha yanakua magumu bila sababu
Siku zote kiapo cha jeshi ni lazima upambane mpaka tone la mwisho na ukishindwa uuliwe vitani.
Hakuna kuachia nchi kizembe. Anachotakiwa Ukraine apate kombora za masafa zipige mpk Urusi. Nahisi Putin naye akili itamuijia
 
Back
Top Bottom