Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Unamaanisha Putin ni jambaziMie nasema vita kaitafuta yeye rais wa ukrain! Asingekua mbishi tusingefika huku! Ifike sehem ajitambue... jambazi hadi kukuingilia nyumban kwako kuna jambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Putin ni jambaziMie nasema vita kaitafuta yeye rais wa ukrain! Asingekua mbishi tusingefika huku! Ifike sehem ajitambue... jambazi hadi kukuingilia nyumban kwako kuna jambo!
".....jambazi hadi kukuingilia nyumban kwako kuna jambo!"Mie nasema vita kaitafuta yeye rais wa ukrain! Asingekua mbishi tusingefika huku! Ifike sehem ajitambue... jambazi hadi kukuingilia nyumban kwako kuna jambo!
Hizo propaganda hazisaidii!!! Anayedaiwa kumzidi nguvu mwenzake kwenye uwanja wa propaganda, kwenye uhalisia keshapokonywa majimbo manne tayari!!! Hana uwezo wa kujipigania bila kuombaomba silaha toka nchi za magharibi ambako wameshajipatia soko la silaha zao!! Atalipa deni la silaha hizo kwa zaidi ya miaka 100 ijayo!! Wasipompa silaha hana uwezo wa kupigana hata kwa wiki moja!! Huyo ndiye anapigiwa chapuo kuwa anashinda vita!! Karibu nusu ya nchi yake iko gizani kwa kukosa umeme na maji tiririka ni shida!! Huyo ndiye tunaambiwa anashinda!! Kila leo miji yake inapokea precision cruise missiles zinazoangamiza miundo mbinu muhimu huyo ndiye tunaambiwa anashinda vita!!! Na kuna mapopoya humu yanaamini propaganda hizo za magharibi!!Super pawer anazidi kuchakazwa na kudhalilishwa wewe umeklalia propaganda.., shauri yako,nenda ukamsaidie bwana wako uko field maana anatolewa kamasi balaa View attachment 2459698
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mhhh! Ni yupi kati yao anayeomba waongee/wazungumze? Anayeomba waongee ujue amekamatiwa chini kisawasawa na ameshaona hana ujanja tena zaidi ya kuomba mazungumzo kwani ngoma imeshakuwa nzito kwake tofauti na matarajio yake.Hizo propaganda hazisaidii!!! Anayedaiwa kumzidi nguvu mwenzake kwenye uwanja wa propaganda, kwenye uhalisia keshapokonywa majimbo manne tayari!!! Hana uwezo wa kujipigania bila kuombaomba silaha toka nchi za magharibi ambako wameshajipatia soko la silaha zao!! Atalipa deni la silaha hizo kwa zaidi ya miaka 100 ijayo!! Wasipompa silaha hana uwezo wa kupigana hata kwa wiki moja!! Huyo ndiye anapigiwa chapuo kuwa anashinda vita!! Karibu nusu ya nchi yake iko gizani kwa kukosa umeme na maji tiririka ni shida!! Huyo ndiye tunaambiwa anashinda!! Kila leo miji yake inapokea precision cruise missiles zinazoangamiza miundo mbinu muhimu huyo ndiye tunaambiwa anashinda vita!!! Na kuna mapopoya humu yanaamini propaganda hizo za magharibi!!
Putin ndo akubali, aondoke majeshi yake Ukraine.Huyu rais qa ukrain sijui kwanini mbishi hivi? Si akubali tu yaishe kuliko hivi anafanya maisha yanakua magumu bila sababu
Unamaanisha Putin ni jambazi
Putin ndo akubali, aondoke majeshi yake Ukraine.
Laiti magharibi wakitaka hii vita iishe hata mwezi wa pili au 3 inawezekana kabisa. Majimbo yakotokwa sio kwamba hawawezi peleka silaha ili kuyakomboa ila wao walishasema, nia yao ni kuona vita vinachukua muda mrefu zaidi.Imeshazoeleka sasa kwamba Putin na genge lake ni watu wa mikwara kila kunapokucha.
Hakuna jipya hapo.
Heshima aloijenga kwa miaka mingi ameiporosha kirahisiNdio. Baadhi ya Vitu vingi vilivyomkasirisha Putin ni pamoja na kufedheheka mbele ya Mataifa kwani ameshindwa kuiteka Ukraine kwa zaidi ya miezi 9 ilhali alijitapa ni 72hrs.
Uchumi wake umedorora mno kutokana na vizuizi/vikwazo vya kimataifa n.k.
Putin amefika mahali ameanza kuwa omba-omba kwa Iran, Belarus na N.Korea yan anachopigania kwa sasa ni kulinda walau Status quo yake.
Kwanini yeye asikiri yakaisha?Wamemchoka wenyewe! Aondoke aende wapi? Wakiri yaishe
Anaona aibu kubwa kwani alijigamba mno kwamba yy atamaliza udhia ndani ya 72hrs ......Putin ndo akubali, aondoke majeshi yake Ukraine.
Huweizi maliza kazi kwa makombora ya msafa marefu pekee. Jeshi LA waenda kwa miguu linamuumiza PutinUkifuatilia kwa vizuri hii si mikwara.Urusi inataka imalize kazi kabla hizo Patriot hazijafika.
Waukraine wakitaka kulazimisha ushindi kwa faida ya NATO wataishiwa na kila kitu.