Ukraine yatangaza hali ya hatari

Ukraine yatangaza hali ya hatari

Haya wale warussia na wamerakani wa huku wamepata mjadala. Watu wataanza kufa kina puttin, bidden na familia zao wakiangalia kwenye

Halafu rais wa ukrain katoka ku tweet kwamba wananch watulie tuli ndani, keshaongea na Biden hivyo mambo yatakaa sawa.

Sasa ana uhakika gani kwamba Biden atapeleka jeshi lake kupambana na putin? Kwa ufupi tu Ukrain ndio ishaangka

Kiev imeshambuliwa kwenye Play station 4 au sio😂
Unadhani masihara. Mizigo bado inadondoshwa sehemu mbalimbali ya mji wa kiev na Odesa.

Kuna jamaa anasema lengo la russia ni kuiondoa serekali ya ukraine madarakani lakini anaamini hawatafanikiwa. Sababu eti kwa sasa waUkraine wamekuwa wamoja.
Wakati huo huo Putin ameonya kuwa ukraine wasijaribu kujibu mashambulizi. Maana watakutana na kitu ambacho hawajawahi kuona tangu kuumbwa kwa huu ulimwengu.
 
Unadhani masihara. Mizigo bado inadondoshwa sehemu mbalimbali ya mji wa kiev na Odesa.

Kuna jamaa anasema lengo la russia ni kuiondoa serekali ya ukraine madarakani lakini anaamini hawatafanikiwa. Sababu eti kwa sasa waUkraine wamekuwa wamoja.
Wakati huo huo Putin ameonya kuwa ukraine wasijaribu kujibu mashambulizi. Maana watakutana na kitu ambacho hawajawahi kuona tangu kuumbwa kwa huu ulimwengu.
Mkuu Putin alisema haya au umeweka chumvi za kibongo..?
 
Mkuu Putin alisema haya au umeweka chumvi za kibongo..?
1.png
 
Mlipuko mkubwa umesikika katikati ya mji wa Keiv leo ahsubuhi. Inasemekana uwanja wa ndege umeshambuliwa kwa kombora au ndege.

Putin orders military operations in eastern Ukraine as UN meets
Russian president approves ‘special military operation’ as diplomats in Security Council hold second emergency meeting in a week.

soldier in a trench in ukraine

An invasion of Ukraine appeared to be under way after Putin ordered 'special military operations' and witnesses reported explosions [Evgeniy Maloletka/AP Photo]
Published On 24 Feb 202224 Feb 2022

Vladimir Putin has authorised a “special military operation” in eastern Ukraine, Russian state media reported at the same time as the United Nations Security Council met for its second emergency meeting this week to urge a de-escalation and return to talks.

Russian media reported President Putin saying he had given approval to a “special military operation” in the Donbas region of Ukraine, where Moscow earlier recognised rebel-held territories in Luhansk and Donetsk and said they had asked for its “help”. Clashes between Russian and Ukrainian forces were only a matter of time, he added.

Shortly after Putin spoke, Al Jazeera’s Andrew Simmons, who is in Kyiv, said there were explosions in the capital and power had been cut. It appeared to be a “full scale attack”, he said, targetting the airport and key buildings.

Explosions also rocked the breakaway eastern Ukrainian city of Donetsk and civilian aircraft were warned away, while there were reports of naval landings at Odessa.

“Putin has just launched a full-scale invasion of Ukraine,” Ukraine’s foreign minister Dmytro Kuleba wrote in Twitter. “Peaceful Ukrainian cities are under strikes. This is a war of aggression. Ukraine will defend itself and will win. The world can and must stop Putin. The time to act is now.”

The Interior Ministry said cruise missiles had been used.

UN chief Antonio Guterres condemned Russia’s actions in an impassioned appeal.

“In the name of humanity bring your troops back to Russia,” he said. “In the name of humanity, do not allow a war to start in Europe which could be worst war since the beginning of the century with consequences not only devastating for Ukraine, not only tragic for the Russian Federation but with an impact cannot even
Ngoja tuone vibaraka wa marekan toka tanzania wanasema nini.
 
Antonio Gutierez UN Secretary amezungumza kwa hisia akimwomba Putin asitishe vita na aondoe majeahi yake huko ukraine.

Kuna latest video inaonyesha mlipuko kwenye mji wa Odesa. Baada ya mlipuko majengo mengi yaliyokuwa yakiwaka taa yanaonekana taa kuzimika. Hii inaonyesha wamepigwa mtambo au kituo cha kugawanya umeme.
Wamarekani ndio wanaohoche vita hii, na Guterres hana nguvu yoyote ya kukemea Wamarekani kwa sababu ndio wanao finance UN kwa kiasi kikubwa. Marekani imesogeza wanajeshi wake pembezoni kabisa mwa majirani wa Urusi, lengo lao ni lipi?
 
Halafu rais wa ukrain katoka ku tweet kwamba wananch watulie tuli ndani, keshaongea na Biden hivyo mambo yatakaa sawa.

Sasa ana uhakika gani kwamba Biden atapeleka jeshi lake kupambana na putin? Kwa ufupi tu Ukrain ndio ishaanguka tayari.
Itakuwa hujaelewa nini Ukraine inataka. Ukraine haijawahi omba kusaidiwa wanajeshi, inao wa kwake kama 100,000 ikiongeza na conscripts inaweza hold muhimu inataka silaha hasa anti tank missiles ipambane yenyewe
 
Putin asijiamini sana maana kuna mataifa yapo vizuri ila hawajisifii tu. Marekani pekeyake anaweza kumunyoosha putin na dunia itashangaa
 
Yule mchekeshaji ni joker yani hajielewi
Yule ndio best President wa Ukraine tangu 2014 walivyobadilika hovyo. Hata ukiitisha uchaguzi leo anashinda mchana kweupe bila hata kampeni. Kuwa mchekeshaji haimaanishi hana akili, mbona Reagan alikuwa muigizaji na akawa Rais wa Marekani. Mbona Anold Schwarzenegger alikuwa Gavana wa California miaka zaidi ya kumi
 
Back
Top Bottom