DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Nato wahuni TU, wamemkimbia ukraine[emoji1787]Kama ni mimi najisalimisha kwa Putin... NATO wanakwambia mchokoze tutakusaidia, ukishachokoza wao wanakimbia [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app