Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Urusi haina jeuri tena, ukichangia na wanajeshi wao wanavyokufa huko vitani; sasa NATO wataingia rasmi kumsaidia mwanachama wao kama sera zao zinavyoelekeza.
Tatizo mnapayuka bila kujua vigezo na masharti ya kujiunga na NATO!Moja ya condition ni nchi muombaji kutokuwa vitani!
So Ukraine kukubalika NATO na kuwa member ni baada ya vita!
 
Tatizo mnapayuka bila kujua vigezo na masharti ya kujiunga na NATO!Moja ya condition ni nchi muombaji kutokuwa vitani!
So Ukraine kukubalika NATO na kuwa member ni baada ya vita!
Wenye maamuzi ni watu, na wanaobadilisha sera ni watu; lolote linawezekana chini ya jua
 
Mobilization ilikua ya kuchua raia wakapige kura katika majimbo hayo manne wala hakuna kingine, raia walivishwa kombati kwenda kupiga kura simple like that
 
Wenye maamuzi ni watu, na wanaobadilisha sera ni watu; lolote linawezekana chini ya jua
Kwahiyo sera zibadilike kwasababu ya Ukraine na warisk Nuclear war ambayo itakuwa world war III?Mataifa ya Ulaya hayawezi kufanya Ujinga Huo!
 
Lakin kipengele kimoja wapo ni kwamba mwanachama mpya asiwe kwenye active mzozo ajiunge akiwa hana nzozo
Nakubaliana na hoja yako, lakini kiini cha mzozo ni kutaka kujiunga NATO, mpaka sasa anapata msaada kutoka NATO; haya mengine ni 'documentation' tu
 
Kama hujui Ndugu hiyo mobilization haikuwa kwa ajili ya Ukraine Bali ni Vita inayokuja dhidi ya NATO...na mobilization siyo 300,000 Bali ni zaidi ya milioni moja...
Putin na ujinga wake hawezi kubali kufanya kosa la hivi.
 
Kushambulia ile miji ya iliyopiga kura za mchongo ni kushambulia Urusi lakini kushambulia Ukrean ni kuishambulia NATO, mana ombi ndio liko mezani NATO wanataka kulifanyia kazi., Natazamia taifa la Russia kubaki history tu kwenye ulimwengu huu
 
Kushambulia ile miji ya iliyopiga kura za mchongo ni kushambulia Urusi lakini kushambulia Ukrean ni kuishambulia NATO, mana ombi ndio liko mezani NATO wanataka kulifanyia kazi., Natazamia taifa la Russia kubaki history tu kwenye ulimwengu huu
Kanuni Moja ya kujiunga NATO ni nchi kutokuwa vitani,muwe mnajipa muda kabla ya kuja kuandika hapa!
Vita ikiisha ndio Hilo linaweza kutokea,Tena ni baada ya kujiridhisha Ukraine Haina mgogoro wa kivita!
 
Kidiplomasia na kisheria angefanya hivyo hata baadae historia ingemhukumu urusi. Ila kwa sasa historia itaandikwa na atakaeshinda hili pambano..........mbinu za vita ni nyingi, wengi huku pembeni ni watazamaji tu, na kitu ambacho mara zote kinabeba ushindi kwenye vita ni "element of suprise " kila jeshi linajua hili ndo maana wanaweza kuongea hivi kumbe ndani wamepanga hivi, hii ni vita halisi sio tamthilia za kina Jumong..................mmarekani hadi anamtungua mjapan na nuclear ilikua siri kubwa ,mjapan hakutegemea hilo na yeye alijiamini anaenda kumaliza vita ndo maana alienda hadi kumshambulia marekani kwake ghafla upepo ukambadilikia.........huu mgogoro ulikua ni mwanzo tu kila upande ulikua unasoma upepo wa mwenzie ndo maana hakuna upande uliotumia silaha zozote za ajabu na wengi wametumia silaha za zamani......ngoma bado mbichi
 
Kushambulia ile miji ya iliyopiga kura za mchongo ni kushambulia Urusi lakini kushambulia Ukrean ni kuishambulia NATO, mana ombi ndio liko mezani NATO wanataka kulifanyia kazi., Natazamia taifa la Russia kubaki history tu kwenye ulimwengu huu
Wangekua historia muda sana, marekani kwa mrusi ni kataifa ka juzi tu , mrusi ana experience ya vita kubwa zaidi na zote kachomoa, mmarekani hapo vietnam tu na somalia alitolewa kamasi
 
Wamechelewa Urusi ameishasaini document za hayo majimbo kujiunga.tuombe mungu hiyo vita isiwepo kati ya NATO na Russia.
Kusaini Jambo lingine kurejesha majimbo Ukraine Jambo lingine

Uganda ile tungeamua ingekua Tanzania mpaka leo
 
Wameishajibiwa leoleo na yule katibu mkuu wa NATO: "Suala la Ukraine kuwa NATO kwa sasa haliwezekani""
 
Kama hujui Ndugu hiyo mobilization haikuwa kwa ajili ya Ukraine Bali ni Vita inayokuja dhidi ya NATO...na mobilization siyo 300,000 Bali ni zaidi ya milioni moja...
Mobilization ya wanajeshi walemavu na Wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…