Ukristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukaliwa wale watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu

Ukristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukaliwa wale watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu

MKUU UMEWEKA HOJA UJIBIWE USIPANIKI.
MBONA NIMESIKILIZA ILA HAMNA CHA KUWABADILI HAO WAKRSTO NA MAHABA YAO KWA WAYAHUDI
LABDA WAISLAMU MJE NA MBINU NYINGINE ILA SIO HII
Mahaba yanalazimishwa kwa watu wasiowataka?

Wakristo wengi huwa wanadhani Israel ni wakristu wenzao ndiyo maana utakuta mkiristo akimshabikia Myahudi hali ya kuwa Myahudi hamtaki kabisa mkristo.

Pale Israel baada ya dini ya Kiyahudi dini ya pili kwa ukubwa ni Uislamu then only 1 percent ndiyo wakristo lakini waislamu hawana shobo na mayahudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaukumbi.

Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.

Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo

Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
Wanaukumbi.

Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.

Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo

Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
Porojo za CBS hizo wayahudi na wakristo tunaheshimiana mno na kupendana kama hujui sisi sote baba yetu mmoja wote ni uzao wa Ibrahim wao wakachagua dini ya kiyahudi sisi ya Kikristo

Nyumba moja tunaamini wakristo mwaweza kuwa dini tofauti na mkaishi kwa amani tu au ndani ya nyumba akawemo kafiri asiye na dini hatumtumpi wala kumchulia tofauti na waislamu baadhi kama mleta mada na Hamas ambao kwao uvumilivu kwa watu wa dini zingine haupo

Sisi wakristo wayahudi pamoja na tofauti zetu za kidini hatuna ugomvi nao na hauji kutokea

Ndio maana Israel.ni rafiki mkubwa wa nchi zote za Kikristo duniani ilkiwemo Marekani na wakristo nfio huongoza kuwaingizia pesa za utalii Israrl kupitia safari za kitalii za kwenda Israel


Na wakienda kutalii huhubiri waziwazi Ukristo na huheshimiwa sana sababu ni sehemu inayoingiza pato kubwa kwa Israel

Lakini pia kuna adhabu kali mno akionekana myahudi yeyote akimnyanyasa au kumkebehi Mkristo akiwa Israel
 
Na wayahudi wanasema wazi kuwa Sanhedrin ikianzishwa upya na kuanza kutoa hukumu kwa mujibu wa Torah basi wakiristo halali yao ni kuuawawa maana wako regarded na uyahudi kama idol worshippers
Yeah na ndo ukweli wenyewe na siku hizi marabbi wanasema wazi hawafichi sema sanhedrin kuanzishwa tena vigumu kwenye utawala huu wa Wazungu maana hata kwa waislamu Mahakama ya kadhi ilishindwa
 
Porojo za CBS hizo wayahudi na wakristo tunaheshimiana mno na kupendana kama hujui sisi sote baba yetu mmoja wote ni uzao wa Ibrahim wao wakachagua dini ya kiyahudi sisi ya Kikristo

Nyumba moja tunaamini wakristo mwaweza kuwa dini tofauti na mkaishi kwa amani tu au ndani ya nyumba akawemo kafiri asiye na dini hatumtumpi wala kumchulia tofauti na waislamu baadhi kama mleta mada na Hamas ambao kwao uvumilivu kwa watu wa dini zingine haupo

Sisi wakristo wayahudi pamoja na tofauti zetu za kidini hatuna ugomvi nao na hauji kutokea

Ndio maana Israel.ni rafiki mkubwa wa nchi zote za Kikristo duniani ilkiwemo Marekani na wakristo nfio huongoza kuwaingizia pesa za utalii Israrl kupitia safari za kitalii za kwenda Israel


Na wakienda kutalii huhubiri waziwazi Ukristo na huheshimiwa sana sababu ni sehemu inayoingiza pato kubwa kwa Israel

Lakini pia kuna adhabu kali mno akionekana myahudi yeyote akimnyanyasa au kumkebehi Mkristo akiwa Israel
Huna ulijualo mkuu inaonkena wewe unafata story za mitaani na sio uhalisia
 
WAKRISTO WANAJUA FIKA KWAMBA WAYAHUDI HAWAMKUBALI YESU NI HILI TUNAJUA NI SEHEMU YA MPANGO WA MUNGU, LAKINI TUNAJUA KUBARIKIWA KWETU KUMEPITIA KWAO, KWA HIYO HATUWEZI KUKANA MSINGI WA BARAKA YETU, ILA UPANDE WAPILI MNASHANGAZA SANA MMAWACHULIA WAHAYUD KAMA ADUI ZENU INGAWA MNAKIRI KWAMBA YOU ARE COUSINS NA MMEKUMBATIA MANABII WAO.
 
Porojo za CBS hizo wayahudi na wakristo tunaheshimiana mno na kupendana kama hujui sisi sote baba yetu mmoja wote ni uzao wa Ibrahim wao wakachagua dini ya kiyahudi sisi ya Kikristo

Nyumba moja tunaamini wakristo mwaweza kuwa dini tofauti na mkaishi kwa amani tu au ndani ya nyumba akawemo kafiri asiye na dini hatumtumpi wala kumchulia tofauti na waislamu baadhi kama mleta mada na Hamas ambao kwao uvumilivu kwa watu wa dini zingine haupo

Sisi wakristo wayahudi pamoja na tofauti zetu za kidini hatuna ugomvi nao na hauji kutokea

Ndio maana Israel.ni rafiki mkubwa wa nchi zote za Kikristo duniani ilkiwemo Marekani na wakristo nfio huongoza kuwaingizia pesa za utalii Israrl kupitia safari za kitalii za kwenda Israel


Na wakienda kutalii huhubiri waziwazi Ukristo na huheshimiwa sana sababu ni sehemu inayoingiza pato kubwa kwa Israel

Lakini pia kuna adhabu kali mno akionekana myahudi yeyote akimnyanyasa au kumkebehi Mkristo akiwa Israel

Hebu angalia wayahudi hawa wakiwatemea mate masista wa Kikiristo


View: https://youtube.com/shorts/7uL555xWQeE?feature=shared
 
WAKRISTO WANAJUA FIKA KWAMBA WAYAHUDI HAWAMKUBALI YESU NI HILI TUNAJUA NI SEHEMU YA MPANGO WA MUNGU, LAKINI TUNAJUA KUBARIKIWA KWETU KUMEPITIA KWAO, KWA HIYO HATUWEZI KUKANA MSINGI WA BARAKA YETU, ILA UPANDE WAPILI MNASHANGAZA SANA MMAWACHULIA WAHAYUD KAMA ADUI ZENU INGAWA MNAKIRI KWAMBA YOU ARE COUSINS NA MMEKUMBATIA MANABII WAO.

Utabarikiwaje kupitia wao, wakati Yesu alishawatamkia kuwa ufalme wa Mungu unaondolewa kutoka kwao na kupewa Taifa jingine lenye kuzaa matunda? (Mathayp 21:43)
Kuwakumbatia hao ni kujiingiza katika laana ya Yesu aliyekwisha wacancel
 
Hahaha mimi tena nimepanic angalia wenzako wanavyoandika magazeti mimi najibu mistari miwili harafu tu hoja inajionyesha hapo juu siyo maneno yangu hoja ni marufuku kutanganza Ukirsto Israel unaenda jela hiyo ndiyo hojq.
MKUU HATA ISRAELI HUJAWAHI KUFIKA ILA MIMI KILA MARA NAENDA JERUSALEM NA BETHELEEM KUHIJI......
SASA SIJUI UTANIDANGANYA NINI.
 
WAKRISTO WANAJUA FIKA KWAMBA WAYAHUDI HAWAMKUBALI YESU NI HILI TUNAJUA NI SEHEMU YA MPANGO WA MUNGU, LAKINI TUNAJUA KUBARIKIWA KWETU KUMEPITIA KWAO, KWA HIYO HATUWEZI KUKANA MSINGI WA BARAKA YETU, ILA UPANDE WAPILI MNASHANGAZA SANA MMAWACHULIA WAHAYUD KAMA ADUI ZENU INGAWA MNAKIRI KWAMBA YOU ARE COUSINS NA MMEKUMBATIA MANABII WAO.
Ni kitu cha ajabu manabii wakubwa wote kwenye uislamu ni wayahudi lakini cha ajabu baadhi ya waislamu wanawachukia wayahudi hadi wanakera
 
Utabarikiwaje kupitia wao, wakati Yesu alishawatamkia kuwa ufalme wa Mungu unaondolewa kutoka kwao na kupewa Taifa jingine lenye kuzaa matunda?
Kuwakumbatia hao ni kujiingiza katika laana ya Yesu aliyekwisha wacancel
SOMA TORATI YA WAYAHUDI GOMBO LA NABII ISAYAH,,AFU URUDI KUONGEA HAPA
NB: WAISLAMU WANATAFUTA HURUMA YA WAKRSTO ILI WAWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI
 
SOMA TORATI YA WAYAHUDI GOMBO LA NABII ISAYAH,,AFU URUDI KUONGEA HAPA
NB: WAISLAMU WANATAFUTA HURUMA YA WAKRSTO ILI WAWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI

Isaya na Yesu nani mkuu?

Alichosema Yesu kiko clear, alichosema Isaya kamwe hakiwezi kuwa tofauti na alichosema Yesu. Kama huwezi kumuelewa Yesu basi unabii wa Isaya ndo kabisaa huwezi kuelewa hata kidogo.

By the way, Wayahudi hawakutaki unajipendekeza kwao tu, Cheki hii Video wanavyowafukuza walokole kuwa hawawataki.


View: https://youtube.com/shorts/vio53jUpJz0?feature=shared
 
MKUU UNADHANI NDIO HII ITAWAFANYA WAKRSTO WAWAUNGE MKONO WAISLAMU NA WARAABU KWENYE CHUKI YAO DHIDI YA WAARABU.
NB: WAISLAMU NA WAARABU WANASAHAU KUA MUNGU WA WAKRSTO NA WAYAHUDI NI MMOJA YEHOVAH KUPITIA TORATI YA KIYAHUDI
Kwenye NB,Kuna mahali waliachana Mungu wetu sio mmoja Tena.....
Wao ni Allah na wakristo sio huyo
 
Ni kitu cha ajabu manabii wakubwa wote kwenye uislamu ni wayahudi lakini cha ajabu baadhi ya waislamu wanawachukia wayahudi hadi wanakera

Waislam hatuna chuki na Race ya aina yyte ile Wala dini yyte ile,shida tunaupenda uislam wetu kias kwamba wengine mnadhani na kuhisi kuwa tunawachukia,la hasha.

Miongoni mwa hao watu wenye race ya Wana wa Israel wapo waislam wengi tuh.
 
MKUU UMEWEKA HOJA UJIBIWE USIPANIKI.
MBONA NIMESIKILIZA ILA HAMNA CHA KUWABADILI HAO WAKRSTO NA MAHABA YAO KWA WAYAHUDI
LABDA WAISLAMU MJE NA MBINU NYINGINE ILA SIO HII
Walaumiwe HAMAS kwa uchokozi wa makusudi. Mengine ni mengineyo tu.

Kila mmoja ashinde mechi zake. Atakayefika fainali atapongezwa. Kwa sasa waendelee na ligi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
SOMA TORATI YA WAYAHUDI GOMBO LA NABII ISAYAH,,AFU URUDI KUONGEA HAPA
NB: WAISLAMU WANATAFUTA HURUMA YA WAKRSTO ILI WAWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI
Huruma ipi waislam waitafute kutoka Kwa wagalatia? occupation imeanza tokea 1948 Hamas wamejiform mwaka 1987 umewahi sikia hata siku Moja wakiomba msaada au huruma ya wakristo? besides huruma ya wakristo wanayoomba itawasaidia nini?
 
sasa kwa wale wakristo wa tanzania wanaosema israel ni taifa teule la mungu hii itakuwa tabu mno kumeza.
Nenda Frontline kawasaidie Magaidi wenzako HAMAS ili muwaishwe peponi mkafaidi mabikira 72.
 
Nenda Frontline kawasaidie Magaidi wenzako HAMAS ili muwaishwe peponi mkafaidi mabikira 72.

Wagalatia mabikra 72 mnaumia nao sana shida nini???
Nyinyi SI mnamsubiri yule msela wa kizungu alietundikwa pale msalabani arudi awape uzima wa milele mbona sisi hatusemi.?then huo uzima wa milele unakuaje kuaje exactly,hata kuhoji hamuhoji??
 
Back
Top Bottom