Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Uislam haukuletwa na yeyote, labda haujuwi maana ya neno Uislam.
Uislamu na muarabu aitwaye Muhamad ambaye alikuwa muumini wa mungu mmoja.
Bila MUHAMMAD na waarabu hakuna Uislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam haukuletwa na yeyote, labda haujuwi maana ya neno Uislam.
Nini naana ya Uislam?Uislamu na muarabu aitwaye Muhamad ambaye alikuwa muumini wa mungu mmoja.
Bila MUHAMMAD na waarabu hakuna Uislamu
Nini naana ya Uislam?
Yesu hakuwa "mnyenyekevu"?Unyenyekevu
Yesu hakuwa "mnyenyekevu"?
Yesu hakuwa "mnyenyekevu"?Unyenyekevu ni tabia.
Wapo Watu hawawajua waarabu, hawawajui waislamuna hawana hizo dini na ni wanyenyekevu.
Uislamu ni dini ya kiarabu iliyoanzishwa na MUHAMMAD,
Yesu hakuwa muislamu kama dini ila alikuwa ni mnyenyekevu kitabia. Kidini Yesu ni Myahudi
Yesu hakuwa "mnyenyekevu"?
Weka tafsiri yako upendayo, mradi usijidanganye nafsi yako tu.Alikuwa mnyenyekevu lakini sio kwa tafsiri ya uislamu kama Dini.
Semantic ya Lugha inakupiga chenga
Waarabu sio wa Mecca peke yao, Waarabu wako sehemu kubwa Uarabuni.Sasa kama ndo hivyo mbona waarabu wa Maka walikuwa wakimpinga mtume Muhammad kuueneza huo uislam ndani ya jamii ya waarabu kwa hoja ya kuwa unapingana na mila na mungu wao walio kuwa wanamuabudu kipindi hicho?
Nimekuambia kuwa kabla ya uislam na Ukrisito kuja jamii za wazungu na waarabu zilikuwepo kwa zaidi ya mamilioni ya miaka zikiwa na tamaduni zao hivyo sio sahihi kusema eti hizo dini eti hizo dini ni tamaduni za jamii fulani,kwa sababu hizo dini zimekuja na kuwakuta kama sisi ambavyo dini zili tukuta.
Na mpaka hizo jamii zinakuja kupokea dini hizi kumetumika gharama kubwa sana ya damu za watu na muda mwingi sana ,sasa kama hizi dini zilikuwa zinaendana na tamaduni zao kwann watu walikuwa wanakataa hizo dini mkapa ikarazimika kutumika ncha ya upanga ili wazi kubali?
Hata waarabu wa Africa kaskazini uislam wamekuja kuujua baada ya wao kutawaliwa na Ottoman walikuwa hawaujui.
Sasa kama hizo dini zilikuwa zinaendana na tamaduni za wenyeji kwann walikuwa wana zipinga?Hakuna dini ambayo haijawahi kupingwa na wenyeji wake.
Kuanzia Uyahudi, Ibrahim alipingwa na Jamii yake ndio akakimbia kutoka Ukaldayo mpaka Canaan(Palestine)
Ukristo ulipingwa na Warumi mpaka mfalme wa Kirumi constanino aliposilimu na kuingiza mila za Kirumi kwenye Ukristo ndio ukawa ukristo unaouoma hivi leo.
Muhamad alipingwa na Makuresh nusura wamuue lakini baadaye uislamu ukàkubalika hapo mashariki ya kati.
Dini kwa zamani ilikuwa inahusisha siasa na utawala.
Uislamu ungetumika kuunganisha jamii zote za mashariki ya kati ikiwemo Waarabu kwa sababu ndio imebeba utambulisho wa jamii hizo.
Ndio maana nikakuambia bila kutawaliwa (ukoloni) hizo dini ni tamaduni za jamii zingine. Hazina uhusiano na mila, desturi, tamaduni na miungu ya waafrika.
Kila jamii ina dini yake.
Weka tafsiri yako upendayo, mradi usijidanganye nafsi yako tu.
Hayo utajibu wewe ukiijuwa lugha ya YesuSwali litakalo kuja ni unyenyekevu kwenye nini?
Kwa kuongezea ili uwe muislamu lazima uwe mnyenyekevu kwa Allah ambaye ni Mungu wa Waarabu (kabila la Wakurdi alilotokea Muhamad)
Sasa Yesu anamjua hata huyo Allah? Ili awe mnyenyekevu mbele zake? Yesu ni Myahudi alikuwa mnyenyekevu kwa Yàhweh, Mungu wa waisraeli.
Kuna Watu ni wanyenyekevu kwa Rais Samia. Na wapo ni wanyenyekevu kwako lakini sio wanyenyekevu kwa Allah.
Somo la Semantic NI pana
Dini ya Waislamu.Nini naana ya Uislam?
Una haki na mawazo yako.Dini ya Waislamu.
Sasa kama hizo dini zilikuwa zinaendana na tamaduni za wenyeji kwann walikuwa wana zipinga?
Aisee! Kwa hiyo jamaa yuko zake Mbande! Halafu anajifanya yuko Maryland! 😁Mimi kinanishangaza mtu muislam ku-pretend kuwa Mkristo ili kujenga hoja zisizokuwa na mashiko.
Uliyeleta hii mada umejifanya unaishi America kumbe upo zako hapo Mbande ila ulichoandika hapa umehadithiwa na jamaa yako aliyewahi kuishi huko lakini ukaona uongeze na verse kwamba ulikuwa unasali Kanisa fulani ili uaminike.
Zipo njia nyingi za kueneza imani yako watu wakaielewa siyo lazima uwe muongo muongo mjanja mjanja mwisho hata imani yako inaonekana ya kijanja janja.
Hayo utajibu wewe ukiijuwa lugha ya Yesu
Jibia hoja ya mtibeli kama swali lake lilivo mkuu, au lengo si kuelinishana?Yesu hakuwa "mnyenyekevu"?
Ungeweka mifano ya hizo nchi mjadala uwe mpana zaidi mkuuSasa kama hizo dini zilikuwa zinaendana na tamaduni za wenyeji kwann walikuwa wana zipinga?
Alafu mkuu sio kweli kuwa dini zipo kwa sababu wa uwepo wakoloni ,kwa sababu kuna nchi zilitawaliwa na hazijafuata dini hizi mbili.
Dini kwa kiasi kikubwa zilienezwa na wafanya biashara na wamisionali.