Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Wanazipinga kwa sababu ni dini mpya zilizoanzishwa na miongoni mwa Watu wao. Sababu kubwa ni maslahi ya kisiasa na kiuchumi.

Kwa mfano, Yesu alipokuwa anahubiri kuhusu habari njema(Injili) dini yake ya kiyahudi ilimpinga kwa sababu ya maslahi ya kisiasa na kiuchumi. Ni ishu ya Wafuasi na Kupata nguvu ya kisiasa na kiuchumi.

Kwa zamani Dini ilikuwa ndio Siasa. Unapoanzisha dini zamani ni kama sasa uanzishe chama cha siasa.

Muhamad alipinga kuabudu sanamu katika Kaaba Kwa Sababu tayari alikuwa na mafungamano na ukaribu na baadhi ya Wayahudi na Wakristo. Alikuwa muumini wa Mungu mmoja. Ambaye kwa wakati huo waarabu kabla ya uislamu Allah alikuwa Chief god yaani mungu mkuu ambaye sanamu yake haikuwako kati ya zile sanamu ya miungu 360 zilizokuwa zinaabudiwa pale kaaba
Wanazipinga kwa sababu ni dini mpya zilizoanzishwa na miongoni mwa Watu wao. Sababu kubwa ni maslahi ya kisiasa na kiuchumi.

Kwa mfano, Yesu alipokuwa anahubiri kuhusu habari njema(Injili) dini yake ya kiyahudi ilimpinga kwa sababu ya maslahi ya kisiasa na kiuchumi. Ni ishu ya Wafuasi na Kupata nguvu ya kisiasa na kiuchumi.

Kwa zamani Dini ilikuwa ndio Siasa. Unapoanzisha dini zamani ni kama sasa uanzishe chama cha siasa.

Muhamad alipinga kuabudu sanamu katika Kaaba Kwa Sababu tayari alikuwa na mafungamano na ukaribu na baadhi ya Wayahudi na Wakristo. Alikuwa muumini wa Mungu mmoja. Ambaye kwa wakati huo waarabu kabla ya uislamu Allah alikuwa Chief god yaani mungu mkuu ambaye sanamu yake haikuwako kati ya zile sanamu ya miungu 360 zilizokuwa zinaabudiwa pale kaaba
Kama ambavyo uislam ulivyo kuja ukiwa mgeni kwa waarabu na kupinga mila nyingi za waarabu wa wakati huo ,ndo hivyo hivyo ulivyo kuja mgeni kwa watu wengine duniani na kupinga mila zao mbali mbali.

Kwa hiyo sisi na waarabu hatuna tofauti katika kuzipokea dini maana wote tulizipokea kwa mtindo mmoja sema muda ndo tofauti.
Ww ungeeleweka vizuri iwapo ungesema watu wote wanao fuata dini ni watumwa wa hizo dini.
 
Kama ambavyo uislam ulivyo kuja ukiwa mgeni kwa waarabu na kupinga mila nyingi za waarabu wa wakati huo ,ndo hivyo hivyo ulivyo kuja mgeni kwa watu wengine duniani na kupinga mila zao mbali mbali.
Embu tumia akili hata kidogo.
Uislamu uliletwa na muarabu mwenzao, na ni ishu ya mila na ukabila. Waarabu wanamakabila mengi mojawapo ni kabila la kikurdi ambalo mtume ndio ametoka.

Ni kama Magufuli alivyokuwa anapingwa kwa sababu ya tofauti ya kimtazamo na sio tofauti ya kiutumaduni au kimila.

Kwa waarabu Uislamu sio dini ngeni kwa sababu muanzilishi ni muarabu mwenzao. Mgogoro ulikuwa upo kimaslahi. Ila mila zote unazoziona kwenye uislamu zimechukuliwa kutoka katika jamii za kiarabu.


Kwa hiyo sisi na waarabu hatuna tofauti katika kuzipokea dini maana wote tulizipokea kwa mtindo mmoja sema muda ndo tofauti.
Ww ungeeleweka vizuri iwapo ungesema watu wote wanao fuata dini ni watumwa wa hizo dini.
Wewe ni muarabu hamna tofauti katika kuzipokea Dini? 😂😂
Muarabu hajaletewa dini. Yeye ni muanzilishi.
Wewe muafrika umeletewa Dini.

Tofauti nyingine ni kuwa Uislamu ni uarabu kwa asilimia kubwa.
Wakati wewe muafrika na uarabu ni mbingu na ardhi.

Muarabu mungu wao hata kabla ya mtume alikuwa anaitwa Allah.
Wewe Mungu wako alikuwa anaitwa Allah?
 
Embu tumia akili hata kidogo.
Uislamu uliletwa na muarabu mwenzao, na ni ishu ya mila na ukabila. Waarabu wanamakabila mengi mojawapo ni kabila la kikurdi ambalo mtume ndio ametoka.

Ni kama Magufuli alivyokuwa anapingwa kwa sababu ya tofauti ya kimtazamo na sio tofauti ya kiutumaduni au kimila.

Kwa waarabu Uislamu sio dini ngeni kwa sababu muanzilishi ni muarabu mwenzao. Mgogoro ulikuwa upo kimaslahi. Ila mila zote unazoziona kwenye uislamu zimechukuliwa kutoka katika jamii za kiarabu.



Wewe ni muarabu hamna tofauti katika kuzipokea Dini? 😂😂
Muarabu hajaletewa dini. Yeye ni muanzilishi.
Wewe muafrika umeletewa Dini.

Tofauti nyingine ni kuwa Uislamu ni uarabu kwa asilimia kubwa.
Wakati wewe muafrika na uarabu ni mbingu na ardhi.

Muarabu mungu wao hata kabla ya mtume alikuwa anaitwa Allah.
Wewe Mungu wako alikuwa anaitwa Allah?
Qur'an 17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110
 
Qur'an 17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110

Wanaoambiwa hivyo ni Waislamu= Waarabu.

Hata hivyo kuna uislamu wa kuzaliwa(muarabu asilia) na uarabu(uislamu) wa kusilimishwa ambao ndio ninyi sasa.

Kwenye Ukoloni kuna mambo ya kusilimishwa yaani kufanyiwa assimilation hata Wafaransa walifanya hivyo, hata Wayahudi wanamchakato wa kumfanyia mtu assimilation awe Myahudi.

So wewe jisikie tuu vizuri ikiwa kwako kuwa muarabu ndio furaha yako ni haki yako kuchagua njia uipendayo.
 
Wanaoambiwa hivyo ni Waislamu= Waarabu.

Hata hivyo kuna uislamu wa kuzaliwa(muarabu asilia) na uarabu(uislamu) wa kusilimishwa ambao ndio ninyi sasa.

Kwenye Ukoloni kuna mambo ya kusilimishwa yaani kufanyiwa assimilation hata Wafaransa walifanya hivyo, hata Wayahudi wanamchakato wa kumfanyia mtu assimilation awe Myahudi.

So wewe jisikie tuu vizuri ikiwa kwako kuwa muarabu ndio furaha yako ni haki yako kuchagua njia uipendayo.
Tena najisikia raha na najivunia sana kuwa Muislam.
 
Ungeweka mifano ya hizo nchi mjadala uwe mpana zaidi mkuu
China ,India zilitawaliwa na Muingereza lakini raia wake wengi sio wakristo au waisilam.
Ethiopia haikutawaliwa na bado raia wake ni wafuasi wa dini hizi mbili.
Africa Magharibi na kaskazini raia wake ni waisilam hali ya kuwa ilitawaliwa na Ufaransa ambao ni wakristo.
 
China ,India zilitawaliwa na Muingereza lakini raia wake wengi sio wakristo au waisilam.
Ethiopia haikutawaliwa na bado raia wake ni wafuasi wa dini hizi mbili.
Africa Magharibi na kaskazini raia wake ni waisilam hali ya kuwa ilitawaliwa na Ufaransa ambao ni wakristo.
China, india tofauti na sisi mmatumbi anamizimu yake na muhehe anamizimu yake, hawa walikua na imani zao very strong kwa eneo kubwa, africa kaskazini kabla ya mfaransa, alishatawala muarabu
Hivi mkuu mfano tukijadili kwanini south america ni wakatoliki wengi, north africa na central asia kuna waislamu wengi sabahu inaweza kua nini?
 
Ingawa wakristu wanajieneza kwa kupinga sana uislamu, ni wazi kwa nini uislamu umekuwa unasambaa sana Marekani siku za hivi karibuni huku ukiristo ukisinyaa.

Mim ni nilikuwa nasali kanisa la kikatoliki kwa muda mrefu sana kwani ndilo nililoona lilikuwa karibu na nyumbani kwani na ibada zake zianendeshwa kama zile za Kiluteri nilikotokea. Isipokuwa niliacha tena kwenda kanisani kwani kila mara sehemu kubwa ya mahubiri yao ni kuhimiza watu kuchagua republican tu.

Baada ya kuhudhuria kwa muda mrefu kanisa hilo, niliggundua kuwa hata mapadri walikuwa na ubaguzi fulani dhidi ya watu weusi. Sasa ukienda kwenye hao Evangelicals, ndiko utakuta wanalofahamu ni kuwa Marekani ni nchi ya weupe tu, wengine wote ni haramu.

Jana nimekutana na website hii ndipo nikagundua kweli imani yangu kuhusu ukristo kukosa mweleko ni ya kweli kabisa.

Usiwe na dini hata kama umezaliwa kwenye Dini usiwe na Dini kuwa na Mungu!jifunze vitabu vyote halafu kuwa neutral TU kwa dini hizi!!

Dini no mpangokazi wa wenye akili kutawala low mind tu!!

Baki na Mungu anaesema na wewe moyoni mwako Kila siku!!

Achana na utumwa kuwa huru uislam au ukristo kidini haumsaidii MTU Bali ule uungu uliopo ndani yako ndio huo unaokupa uhai!!
 
Haya yote yalitabiriwa, wengi mtahama Ukristo na kujiunga freemason, usilamu, illuminati na mavitu mengine yote, atakayevumilia hadi mwisho ndiye ataokoka.
 
Embu tumia akili hata kidogo.
Uislamu uliletwa na muarabu mwenzao, na ni ishu ya mila na ukabila. Waarabu wanamakabila mengi mojawapo ni kabila la kikurdi ambalo mtume ndio ametoka.

Ni kama Magufuli alivyokuwa anapingwa kwa sababu ya tofauti ya kimtazamo na sio tofauti ya kiutumaduni au kimila.

Kwa waarabu Uislamu sio dini ngeni kwa sababu muanzilishi ni muarabu mwenzao. Mgogoro ulikuwa upo kimaslahi. Ila mila zote unazoziona kwenye uislamu zimechukuliwa kutoka katika jamii za kiarabu.



Wewe ni muarabu hamna tofauti katika kuzipokea Dini? 😂😂
Muarabu hajaletewa dini. Yeye ni muanzilishi.
Wewe muafrika umeletewa Dini.

Tofauti nyingine ni kuwa Uislamu ni uarabu kwa asilimia kubwa.
Wakati wewe muafrika na uarabu ni mbingu na ardhi.

Muarabu mungu wao hata kabla ya mtume alikuwa anaitwa Allah.
Wewe Mungu wako alikuwa anaitwa Allah?
Tatizo lako mkuu ni kujitia ujuaji wa kila kitu hali ya kuwa kuna mambo mengi ambayo huyajui.

Kwanza aliye kwambia wakrudi ni waarabu ni nani? Wakrudi na Waarabu ni jamii mbili tofauti kabisa na wala hazina uhusiano wowote.

Muhammad hakuwa mkurdi bali alikuwa mwarabu kutoka kwenye kabila la Wakuraish.
Wakrudi na Waarabu ni jamii mbili tofauti kabisa na wala hazina uhusiano wowote kuanzia kwa kikabila ,kilunga ,kitamaduni na kinasaba.
Muhamad alichaguliwa kuwa mtume kwa ajili ya watu wa ulimwengu wote watakao kubali kumfuata na si kwa ajili ya waarabu tu , Mungu kama asinge mteua Muhamad basi ange mteuwa mtu mwingine kutoka jamii nyingine ili mradi lengo lililo kusudiwa likamilike.
 
Tatizo lako mkuu ni kujitia ujuaji wa kila kitu hali ya kuwa kuna mambo mengi ambayo huyajui.

Kwanza aliye kwambia wakrudi ni waarabu ni nani? Wakrudi na Waarabu ni jamii mbili tofauti kabisa na wala hazina uhusiano wowote.

Muhammad hakuwa mkurdi bali alikuwa mwarabu kutoka kwenye kabila la Wakuraish.
Wakrudi na Waarabu ni jamii mbili tofauti kabisa na wala hazina uhusiano wowote kuanzia kwa kikabila ,kilunga ,kitamaduni na kinasaba.
Muhamad alichaguliwa kuwa mtume kwa ajili ya watu wa ulimwengu wote watakao kubali kumfuata na si kwa ajili ya waarabu tu , Mungu kama asinge mteua Muhamad basi ange mteuwa mtu mwingine kutoka jamii nyingine ili mradi lengo lililo kusudiwa likamilike.

Namaanisha hao Makureshi. Samahani.

Hakuna nabii wa mataifa au wa dunia nzima.
Ndivyo mnavyotawaliwa kijinga kwà maneno yasiyo na Logic.

Huwezi sema Nabii wa dunia nzima wakati dini itumike ya kiarabu.
Kama Mungu angetaka dini au utamaduni uwe mmoja angeumba jamii moja. Tumieni AKILI.
 
Mwenye sifa za kishetani anakosa raha anapoona kuna Muislam.

Na wapo waislamu wanaokosoa raha kwa uwepo wa dini na tamaduni zingine.
Ni tabia za kibinafsi.

Mungu muumbaji sio mjinga kuacha mambo yaende yalivyo kwa sababu yeye sio mbinafsi. Kila mtu afuate njia yake na Watu anaofanana.

Kunguru waende na kunguru
Mashetani kwa mashetani
Mbwa kwa mbwa
Waislamu kwa waislamu
Wakristo kwa wakristo
Wapagani kwa wapagani.

Watu wasiingiliane. Kila mtu awe na mahali pake pakuishi na kufanya mambo yake
 
Back
Top Bottom