mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Hata Shetani ana wajumbe Haji yeye kama yeye , Mungu naye ana wajumbe ambao ni binadamu ndo aliwatumia kuandika Kwa uongozi wake , ndio ni kweli hakuna kitabu kilichoshushwa kutoka Mbinguni , Iko hv kama huamin biblia basi we endelea na mpango wako , wanaoiamini pia wataendelea kuamini ....[emoji23][emoji23][emoji23] tuiamini biblia pekee kwa misingi ipi? Kwamba yenyewe haikuandikwa na wanadamu kama vilivyo vitabu vingine? Hiyo ni miradi ya watu mkuu amka usingizini.
Hakuna kitabu kilichoshuka kutoka mbinguni vyote ni maandishi yaliyoandikwa na binadamu.
Yaani ulivyoongea utadhani biblia ilishuka straight kutoka mbinguni haikuandikwa na binadamu kama wewe. Ukiiamini biblia basi automatically uamini na vitabu vingine kwakuwa vyote ni maandiko ya binadamu.
Sorry nimeongea Kwa muktadha wa biblia boss , kuna mambo mengine biblia imeongea Kwa lugua ya picha ..... Kama tutajadiliana kupitia biblia naamini tutaelewana lakini kama tukiamua tutumie facts zinazoonekana Kwa macho , Mila na desturi sidhani kama tutafika ,Kweli mkuu nakubaliana na uliyoyaandika.
Ila nnapopishana na wewe ni hapo uliposema mwnmke uchochoro wa shetani.
Ni lini watu watatake responsibility na kusema my actions are wrong?
Am doing things as a person who is out of control of myself?lini?
Kila kitu mara wanawake hawana heshima,mara malaya,mara ivi na vile ndo mana tunatembea zipu wazi.....its an issue of reacting to the actions of these women au kuna jingine?
The only thing we can control is ourselves,sasa inakuaje tena kila kitu ni wanawake?imebakia kusema wanatubaka.
kufanya jambo bila kiasi ni Misuse of our energy.mtu unajiona una power over women kumbe you have failed to be your own leader,then you seek power kwenye vitu vinavokumaliza.
Ok,ila tuheshimu kwamba sio kila mtu jamvini anafata biblia,hivyo basi ni vizuri kuitumia ila kupanua wigo wa matumizi pia ya common sense.Sorry nimeongea Kwa muktadha wa biblia boss , kuna mambo mengine biblia imeongea Kwa lugua ya picha ..... Kama tutajadiliana kupitia biblia naamini tutaelewana lakini kama tukiamua tutumie facts zinazoonekana Kwa macho , Mila na desturi sidhani kama tutafika ,