Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Mafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?
 
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Muwapatie na mabomu kabisa
 
Mafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?
Hijab siyo dini, hijab ni vazi la mila ya karibu makabila yote ya Mashariki ya Kati kama vile kwa wanaume kuvaa kanzu, tofauti ni kuwa kwa waislamu hijab ni Sharia!
 
Mafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?
Ukristo haupo bila Yesu... elewa kwanza maana ya Ukristo, Ukristo ni ufuasi wa Yesu Kristo, na sio ufuasi wa Bikra Maria

Kwenye Biblia kila mtu aliyetajwa ana nafasi yake kiimani
 
Back
Top Bottom