WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,108
- 878
Mafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwapatie na mabomu kabisaMakafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Hijab siyo dini, hijab ni vazi la mila ya karibu makabila yote ya Mashariki ya Kati kama vile kwa wanaume kuvaa kanzu, tofauti ni kuwa kwa waislamu hijab ni Sharia!Mafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?
Ukristo haupo bila Yesu... elewa kwanza maana ya Ukristo, Ukristo ni ufuasi wa Yesu Kristo, na sio ufuasi wa Bikra MariaMafanano yao ni mengi kuliko tafauti. Ukiristo haupo bila Bikira Maria Mama wa Mungu, sijui kama unajua kuwa Bikira Maria alikuwa anavaa hijab?