Ukristo ni Dini ya AMANI SANA, asikwambie mtu!

Ukristo ni Dini ya AMANI SANA, asikwambie mtu!

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Huu upande una raha sana asikwambie.

ukikosea unasamehewa saba mara sabini..

unaingia kanisani Hata mara 1 kwa mwaka and no one cares..

Hakuna kufuatiliana hata ukibadili msimamo wako wa kidini na kwenda kwingine, ukirudi unapokelewa vizuri tu

Mkristo kipindi cha mfungo hakuna purukushani za kulazimishwa kufunga!

....

....
 
Huu upande una raha sana asikwambie.

ukikosea unasamehewa saba mara sabini..

unaingia kanisani Hata mara 1 kwa mwaka and no one cares..

Hakuna kufuatiliana hata ukibadili msimamo wako wa kidini na kwenda kwingine, ukirudi unapokelewa vizuri tu

Mkristo kipindi cha mfungo hakuna purukushani za kulazimishwa kufunga!

....

....
"Sikuja kuleta amani duniani bali upanga"
Sema tu hujui historia na dini siku hizi watu wamezipotezea, dini haina nguvu kama zamani kwani maarifa yameongezeka na ukristo una thrive kwenye ujinga wa watu, dini/bible inasema dunia ni flat wakati science yasema ni sphere ambayo ndo sahihi. Ukristo na ushetani ni sawasawa. Hata YESU ni wa bandia bali Joshua ni sahihi.ukristo ni dini inayoabudu mungu jua, yaani Sun Worship na Yesu anajiita yeye ni Nuru ya ulimwengu, Sun of God.
Na shetani au Lucifer huitwa Sirius au Morning Star ambapo kwa wakristo huyo Morning star ni Yesu wakati kiuhalisia ni Lucifer
 
Back
Top Bottom