Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Na uislamu ni kutukuza utamaduni wa waarabu
 
Pata elimu usitiwe gizani na wazungu kwa shilingi mbili


View: https://youtu.be/ADfzVVKMPRk?si=2ZAGLB4jkqkZMiA4
Unaleta youtube watu choka mbaya unawasilkiliza kabisa, niletee mtu ambaye ana mafanikio akiongelea kuhusu wazungu walivyomrudisha nyuma kifedha.
Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na mbili nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na mbili: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 

Wewe mzungu ndiye mungu wako kwa sababu anakupa mali

Biblia imeandika

Mungu Na Mali

Mathayo 6

24 “Hakuna mtu anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa sababu, ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au atamthami ni mmoja na kumdharau mwingine. Huwezi kumtumikia Mungu na mali.”

Endelea kumwabudu mungu wako mzungu akupe mali
 
Ndugu unaweza kuhishi bila pesa ? Hata Ulaya wanaobaguliwa ni ambao hawana hela. Namkubali mzungu kwa sababu kuna megi ameifanyia nchi yetu mbali na hapo pia mimi wamenisaidia sana. Ndio maana nipo kwenye ukristu kama Mwarabu angekuwa na taasisi nyingi Tanzania, ningehamia uislamu. Hivi kaa chini ujiulize kama Allah ni Mungu ameshindwa nini kuwasaidia wapalestina ?

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na tatu nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Kumbe hata biblia yako unaihoji , huamini uwezo wa Mungu. Biblia imeandika

Marko 10;25

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Wewe endelea kumwabudu mzungu, Mungu akichukuwa Roho yake Leo hii Itakuwa huna kitu . Mzungu wako hatokusaidia kitu
 
Waafrika ndio tulianzisha ukristo na uislamu ? Biblia niliandika mimi ? Mimi naongelea uhalisia wa maisha sio kama wewe unashinda msikitini unamsikiliza darasa la saba akikupa mawaidha ijumaa. Mtu mzima unasikilizaje mawaidha kutoka kwa mtu ambaye hana hata diploma ya theology. Mimi nipo kimaslahi kama mwarabu angefanya mengi Tanzania ningehamia Uislamu.Hizi dini tumeletewa lakini ya Mzungu ina maslahi kuliko hizo nyingine.

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na nne nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na nne: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Mimi huwa sina ubishi na watu kama nyinyi😃
 

Wewe hata ukristo huujuwi unakimbilia kuisema eti tuna misa ya kiswahili , labda ya kula kiti moto na kunywa budweiser hapo Germany. Misa za kitapeli tu hizo kupatia bia.

Biblia iko wazi

biblia yako unaihoji , huamini uwezo wa Mungu.

Biblia inakuambia

Marko 10;25

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Wewe endelea kumwabudu mzungu, Mungu akichukuwa Roho yake Leo hii Itakuwa huna kitu . Mzungu wako hatokusaidia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…