Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Na uislamu ni kutukuza utamaduni wa waarabu
 
Pata elimu usitiwe gizani na wazungu kwa shilingi mbili


View: https://youtu.be/ADfzVVKMPRk?si=2ZAGLB4jkqkZMiA4

Unaleta youtube watu choka mbaya unawasilkiliza kabisa, niletee mtu ambaye ana mafanikio akiongelea kuhusu wazungu walivyomrudisha nyuma kifedha.
Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na mbili nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na mbili: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Unaleta youtube watu choka mbaya unawasilkiliza kabisa, niletee mtu ambaye ana mafanikio akiongelea kuhusu wazungu walivyomrudisha nyuma kifedha.
Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na mbili nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na mbili: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Wewe mzungu ndiye mungu wako kwa sababu anakupa mali

Biblia imeandika

Mungu Na Mali

Mathayo 6

24 “Hakuna mtu anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa sababu, ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au atamthami ni mmoja na kumdharau mwingine. Huwezi kumtumikia Mungu na mali.”

Endelea kumwabudu mungu wako mzungu akupe mali
 
Wewe mzungu ndiye mungu wako kwa sababu anakupa mali

Biblia imeandika

Mungu Na Mali

Mathayo 6

24 “Hakuna mtu anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa sababu, ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au atamthami ni mmoja na kumdharau mwingine. Huwezi kumtumikia Mungu na mali.”

Endelea kumwabudu mungu wako mzungu akupe mali
Ndugu unaweza kuhishi bila pesa ? Hata Ulaya wanaobaguliwa ni ambao hawana hela. Namkubali mzungu kwa sababu kuna megi ameifanyia nchi yetu mbali na hapo pia mimi wamenisaidia sana. Ndio maana nipo kwenye ukristu kama Mwarabu angekuwa na taasisi nyingi Tanzania, ningehamia uislamu. Hivi kaa chini ujiulize kama Allah ni Mungu ameshindwa nini kuwasaidia wapalestina ?

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na tatu nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Ndugu unaweza kuhishi bila pesa ? Hata Ulaya wanaobaguliwa ni ambao hawana hela. Namkubali mzungu kwa sababu kuna megi ameifanyia nchi yetu mbali na hapo pia mimi wamenisaidia sana. Ndio maana nipo kwenye ukristu kama Mwarabu angekuwa na taasisi nyingi Tanzania, ningehamia uislamu. Hivi kaa chini ujiulize kama Allah ni Mungu ameshindwa nini kuwasaidia wapalestina ?

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na tatu nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
Kumbe hata biblia yako unaihoji , huamini uwezo wa Mungu. Biblia imeandika

Marko 10;25

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Wewe endelea kumwabudu mzungu, Mungu akichukuwa Roho yake Leo hii Itakuwa huna kitu . Mzungu wako hatokusaidia kitu
 
Kumbe hata biblia yako unaihoji , huamini uwezo wa Mungu. Biblia imeandika

Marko 10;25

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Wewe endelea kumwabudu mzungu, Mungu akichukuwa Roho yake Leo hii Itakuwa huna kitu . Mzungu wako hatokusaidia kitu
Waafrika ndio tulianzisha ukristo na uislamu ? Biblia niliandika mimi ? Mimi naongelea uhalisia wa maisha sio kama wewe unashinda msikitini unamsikiliza darasa la saba akikupa mawaidha ijumaa. Mtu mzima unasikilizaje mawaidha kutoka kwa mtu ambaye hana hata diploma ya theology. Mimi nipo kimaslahi kama mwarabu angefanya mengi Tanzania ningehamia Uislamu.Hizi dini tumeletewa lakini ya Mzungu ina maslahi kuliko hizo nyingine.

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na nne nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na nne: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Wewe dude ni una Historia ya Uongo balaa....
1.Ukristu ulianza kuingia Ulaya kabla ya Afrika
2.Ukristu uliingia Afrika karne ya 1.
3.Ina maana vile vitabu vitano vya Musa,viliandikwa baada ya karne ya kwanza
4.Ina maana agano la kwanza liliandikwa baada ya agano jipya
5.Mafarao wa Misri walikuwepo hadi karne...
6.Ukristu uliingia Tanganyika karne ya 15...Sehemu gani...?


Note :
Tafadhali weka ushahidi wa kihistoria ulichosema...
Mimi huwa sina ubishi na watu kama nyinyi😃
 
Waafrika ndio tulianzisha ukristo na uislamu ? Biblia niliandika mimi ? Mimi naongelea uhalisia wa maisha sio kama wewe unashinda msikitini unamsikiliza darasa la saba akikupa mawaidha ijumaa. Mtu mzima unasikilizaje mawaidha kutoka kwa mtu ambaye hana hata diploma ya theology. Mimi nipo kimaslahi kama mwarabu angefanya mengi Tanzania ningehamia Uislamu.Hizi dini tumeletewa lakini ya Mzungu ina maslahi kuliko hizo nyingine.

Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya sabiini na nne nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia. Narudia tena kwa mara ya sabini na nne: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Wewe hata ukristo huujuwi unakimbilia kuisema eti tuna misa ya kiswahili , labda ya kula kiti moto na kunywa budweiser hapo Germany. Misa za kitapeli tu hizo kupatia bia.

Biblia iko wazi

biblia yako unaihoji , huamini uwezo wa Mungu.

Biblia inakuambia

Marko 10;25

Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Wewe endelea kumwabudu mzungu, Mungu akichukuwa Roho yake Leo hii Itakuwa huna kitu . Mzungu wako hatokusaidia kitu
 
Back
Top Bottom