Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? π π π π Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini π π ππ
View attachment 3096494
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπ π π π π
View attachment 3096495
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu ππππ
View attachment 3096496
Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu ππππ
View attachment 3096497
Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
View attachment 3096498
Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
View attachment 3096499
Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na ishirini natano nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπ π π π π
Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na ishirini na tano "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
Unaelewa kuwa Bakwata hao ni usalama wa Taifa , Iliundwa na Mkatoliki nyerere , uislamu wanautumia tu kuzubaisha watu kama wewe
Hizo movies kazipeleke huko kanisani
padri kashikwa na viungo vya Albino , hizo taasisi zimeshindwa hata kumsaidia padri wake ??
Mbona Adam alimuoa Eva akiwa na umri wa siku moja kama biblia inavyosema au huelewi , bila kusahau kanisa lako linasema maria alipata mimba ya roho mtakatifu akiwa na miaka 9 -12 yrs ??
Huyu ashikwa na viungo vya albino
View: https://youtu.be/p5LEPr5Q-pU
Huyu Padri ashikwa akiiba gari , Taasisi zimemkacha
View: https://www.youtube.com/watch?v=yWvYCIpOcFc&pp=ygUiUGFkcmkgYWthbWF0d2Ega3dhIGt1ZmFueWEgbWFnZW5kbw%3D%3D
Huyu padri aiba mke wa mwanajeshi , kapata anchostahili
View: https://youtu.be/Czgm1vCfBQ0
https://www.youtube.com/watch?v=Czgm1vCfBQ0&pp=ygUiUGFkcmkgYWthbWF0d2Ega3dhIGt1ZmFueWEgbWFnZW5kbw==
Padri Huyu naye abaka
View: https://www.youtube.com/watch?v=RTvTpZ1GZhk&pp=ygUiUGFkcmkgYWthbWF0d2Ega3dhIGt1ZmFueWEgbWFnZW5kbw%3D%3D
Hii ni mara ya sita nakuuliza, hizo Taasisi imekuwaje hazikumsaidia Paroko kifedha , ameamua kuuwa Albino kuuza viungo Au hayo ndiyo mafundisho ya kanisa ??