Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Kuna kundi fulani la watu lina misimamo ilio very complicating.

Jamii zao wanazibandika jina la kundi lao utafikiri ardhi wanayoikanyaga imeandaliwa kwa ajili yao tu
Utakuwa ama umezaliwa baada ya miaka ya 2005 au umesoma mpaka darasa la saba (7) tu.
Kifupi huijui historia ya Dunia, endelea kujifunza kwa vile bado unakua. Umevinjari Tanzania kote, lakini sasa Karibu duniani
 
Kuna kundi fulani la watu lina misimamo ilio very complicating.

Jamii zao wanazibandika jina la kundi lao utafikiri ardhi wanayoikanyaga imeandaliwa kwa ajili yao tu.

Lina fukuza watu wasio wa kundi lao katika jamii zao ila jamii zao ziikishia kupata kash kash ziletazwo na watu wa kundi lao wanaishia kukimbilia kutafuta msaada katika jamii zile zenye kundi la watu ambalo ndilo wanalolipiga vita kila siku.

Alafu wakisha karibishwa huko wanaishia tena ku-force watu waliowakuta wa kundi lingine kufata misimamo yao bila ya hivyo wanaanza kuwafanyia vurugu.

DINI YA UKWELI NI UPENDO, BORA DINI NYINGINE ANGALAU WANAZINGATIA HILO ILA WENGINE WAPO KATIKA CULTS ILA HAWAJUI.
Ukweli mchungu
 
Wakati wakoloni wanalazimisha watu wwe wagalatia ndio wasome , wewe ulikuwa bado upo kweny kende za baba yako ...Hakuna mtu kalazimishwa ila ukikuta nchi hiyo wanatumia sheria fulani basi fuata.

Ukiishi nchi ya warumi basi ishi kama mrumi , Demokrasia ni uongo na haipo hata uende wapi hamna demokrasia...Pale vatican hakuna muislamu na nyie ukiona nchi huwezi kufuata sheria za katiba yao usiende.

Fanya kuheshimu sheria kama wanatumia bible kama vatican fuata ila kama Qur an basi fuata , ila kutulia kwenu na kufanya yako ni bora zaidi hakuna sheria zinazofanana dunia nzima ...Nenda hata hapo kenya ukaone utofauti tena sheria tofauti kwa kila kaunti ...Toka kijijini uzunguke .​
 
Huwezi kuita christian country kwa vile hamna mfumo wa kiuchumi , sheria wala elimu .
 
Back
Top Bottom