Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Nakuu mbona sijakuvunjia heshima popote nimeuliza tu swali kwa sababu Biblia zipo za aina nyingi na hilo linafahamika mbona 🤔🤔🤔, kuna ile ya wakristu wameruhusiwa pombe na kuna ile ya wakristo wamenyimwa pombe .

Hapo nimekukosea wapi mkuu wangu?
Ni kawaida ya wana JF wanapo ona wanaishiwa hoja wanauliza viswali vya ajabu-ajabu na kujichekesha ili tuu wachomoke walipokamatwa, nilidhani na wewe ni mmoja wao.

Hakuna biblia inayokataza pombe na inayoruhusu pombe, msimamo wa mungu kuhusu pombe unajulikana and upo very simple kuuelewa, nadhani watu wana kaza kichwa tuu, pia nadhani utakuwa unazungumzia katekisimu ya catholics ambayo sio biblia hata ivo.

Hakuna past scholar yoyote aliyeamini yakobo alipigana na mungu, kuna baadhi waliamini alipigana na malaika kuna baadhi waliamini alipigana na mtumishi wa mungu kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi(kuna muda inabidi ukubali kwamba biblia haina taarifa zote) but kusema alipigana na mungu goes against kilichoandikwa, Israel maana yake "struggling with God", na ndilo jina alilopewa baada ya kupambana na huyo mtu ambae biblia haijamueka wazi, na neno "struggling" halimaanishi "kupigana" if we are being honest.
 
Je wameuliwa hao waliosilimu kama mnavyosemaga? Nyinyi si ndio huwa mnaanzisha uzi humu kila mara kuwa Waislamu wanawaua wale wanaobadilisha dini.. sasa nawauliza hivi je hao waliobadili dini wameuliwa?

Nyinyi wakristo mko busy sana na waislamu sijui mna matatizo gani. hii inaonyesha wazi kuwa mna mashaka na dini yenu
 
Ni wajinga pekee na watu wenye utindio wa ubongo wanaodhani kubadili Dini (Sio Imani) ndio kutatapunguza changamoto zao za Kiimani. Karibuni to the Free world, where you can be anything!
 
Nyinyi wakristo mko busy sana na waislamu sijui mna matatizo gani. hii inaonyesha wazi kuwa mna mashaka na dini yenu
Waislamu ndio wanahaha na Wasio waislamu, Ndio maana mnaeneza chuki na wasio wa Dini yetu!

Muislam ndugu yake Muislam!
 
Mkuu hiyo Quran gani unayo soma......mda mgine ukiwa umelewa sio vizuri kuja kwenye Jf subiri pombe eishe.
Japo nikweli mkuu unajua kwa mtu aliyesiriazi na hayo mambo ya rohoni afu akayatafuta kwenye uislamu Kuna namna anajichelewesha tuu!!! Dini haiko makini kabisa
 
Ni kawaida ya wana JF wanapo ona wanaishiwa hoja wanauliza viswali vya ajabu-ajabu na kujichekesha ili tuu wachomoke walipokamatwa, nilidhani na wewe ni mmoja wao.

Hakuna biblia inayokataza pombe na inayoruhusu pombe, msimamo wa mungu kuhusu pombe unajulikana and upo very simple kuuelewa, nadhani watu wana kaza kichwa tuu, pia nadhani utakuwa unazungumzia katekisimu ya catholics ambayo sio biblia hata ivo.

Hakuna past scholar yoyote aliyeamini yakobo alipigana na mungu, kuna baadhi waliamini alipigana na malaika kuna baadhi waliamini alipigana na mtumishi wa mungu kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi(kuna muda inabidi ukubali kwamba biblia haina taarifa zote) but kusema alipigana na mungu goes against kilichoandikwa, Israel maana yake "struggling with God", na ndilo jina alilopewa baada ya kupambana na huyo mtu ambae biblia haijamueka wazi, na neno "struggling" halimaanishi "kupigana" if we are being honest.
Soma baada ya huyo mtu kuondoka yakobo alisema mwanzo 32.30 "yakobo akapaita mahali pale penieli " akisema " nimemwona Mungu uso kwa uso nami sijafa"
 
Ni wajinga pekee na watu wenye utindio wa ubongo wanaodhani kubadili Dini (Sio Imani) ndio kutatapunguza changamoto zao za Kiimani. Karibuni to the Free world, where you can be anything!
Kubadili dini ni kama kuhama gereza tu , wagereza hili anashindana na wa gezera lile kuwa gereza lipi lina huduma bora zaidi🤔🤔🤔
 
The Prophet Muhammad (Peace and Blessings be upon him) married his adopted son’s ex-wife because in Islam, an adopted child is not seen as your actual child. When the Prophet (Peace and Blessings be upon him) adopted Zaid, he named him Zaid Ibn Muhammad, but Allah did not condone this, because in Islam, the lineage of a person is protected. Later on, Zaid and Zainab chose to get divorced, and Allah enforced this idea even more (that your adopted son is not your actual son) by ordering the Prophet (Peace and Blessings be upon him) to marry her.
Wewe jamaa una shida sehemu
 
Interest za waarabu
👇👇👇👇
Kuluwani 12:2
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.

Eidha alaa mbaguzi au mkubali kina Omar walichakachua kuluwani, kwanini ije kwa kiarabu tupu wakati alaah ana watu wa mataifa mengi na lugha nyingi
Jamaa mmekua hamuelewi kiasi cha kushindwa kuleta hoja ama kutetea hoja zenu kabla ya qur an Allah alileta vitabu kwa lugha isio ya kiarabu
 
Safari ya Isra na Miraji mbingu ya saba yani ni vitu vya kufikirika.
Yaani hata wewe pia wakufirika hujawahi kujiuliza hukuwahi kuekwa tumboni ila umetoka tumboni anza kufikiria hili kwanza kabla ya israa na miiraji
 
Back
Top Bottom