Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Mutah ni ndoa za uongo na uzushi walizoleta mashia.
Usiongope aisee,hiyo verse 24 Qur'an 4 ilikua inasema "Kwa wale waliokamatwa vitani sio ruhusu kuwazini na kuwatumia kingono,kama mkiwaridhia waombeni ruhusa na muwalipie mahari zao Kesha muwaoe ndoa halali'.
Umepuyanga Tena kijana loooh!
 
Kama dini ya Allah watu wanajilipua kuitetea sembuse hivi inavyowekwa wazi uongo wake ukae kimya! Wewe sio Abdool
Ni mpuuzi tu anaejiripua kwaajili ya kutetea uislam sababu ya kwanza Allah kakataza kujidhuru wewe na wengine pia kakataza kulazimishana kwenye dini
 
Ni mpuuzi tu anaejiripua kwaajili ya kutetea uislam sababu ya kwanza Allah kakataza kujidhuru wewe na wengine pia kakataza kulazimishana kwenye dini
Huyu na yule mwenzake wanaongea Kwa hearsay hearsay.
Yani ni fata mkumbo,wakisikia jambo masikio waru.
Ila waulize swali kuhusu walichokileta hapa wataruka futi buku na hawatakua na majibu.
 
Huyu na yule mwenzake wanaongea Kwa hearsay hearsay.
Yani ni fata mkumbo,wakisikia jambo masikio waru.
Ila waulize swali kuhusu walichokileta hapa wataruka futi buku na hawatakua na majibu.
Yaani mwanzo nliwaona wana hoja kumbe hawajui vingi hawa majamaa weupeeee
 
Yani mtu umuue mme wake na familia yake halafu akubali umuoe? Embu fikiria vizuri, halafu Shia hawajandika Quran na Shia hadi leo wanafanya ichi kitu kwa maana kipo kwenye Quran na wao hawana kosa maana nyeupe ni nyeupe kwao
 
Huu ni mwanzo tu na Bado
 
Yani mtu umuue mme wake na familia yake halafu akubali umuoe? Embu fikiria vizuri, halafu Shia hawajandika Quran na Shia hadi leo wanafanya ichi kitu kwa maana kipo kwenye Quran na wao hawana kosa maana nyeupe ni nyeupe kwao
Nikikuita wewe ni kichaa nakosea!??
Katika hiyo Qur'an 4 verse 24 Kuna sehemu imeandikwa ndoa za mutah!??
Naomba unioneshe sehemu iliyoandikwa Mutah katika hiyo verse.

Pia nani kakwambia Kila wanachofanya shia kipo katika Qur'an!?
Una ushahidi huo au unaropoka tu!?

Unausemea moyo!?
Hilo linawezekana tena sana tu mtu ukamuulia mumewe na akakubali kuolewa na wewe.
Na ndio maana hiyo Qur'an 4 verse 24 imesema "msiwalazimishe wala kuwatumia kingono,waombeni ruhusa zao wakikubali lipeni mahari muwaoe kihalali".
Hivi umeelewa maana ya hayo maelezo!?
Ni sawa unaambiwa na babaako,"usiende nje kucheza Hadi uombe ruhusa Kwa mamaako,akikubali na akiridhia basi toka nenda kacheze".
AiseeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Katika hali ya kawaida hamna mtu anaekubali uue familia yake yote na jamii yake halafu akubali umuoe,sheikh hapo kulikua ni kubaka tuu kama tunavyoona kule Congo na sehemu zingine mateka wakike wakivita wakibakwa
 
Katika hali ya kawaida hamna mtu anaekubali uue familia yake yote na jamii yake halafu akubali umuoe,sheikh hapo kulikua ni kubaka tuu kama tunavyoona kule Congo na sehemu zingine mateka wakike wakivita wakibakwa
We jamaa embu tuliza akili usiwe kama fala.
UISLAM HAUKULAZIMISHA HAO WATU WAOLEWE.
NI ANGALIZO LIMETOKA KUWA HAO WANAWAKE AMBAO WAMEPATIKANA KUTOKANA NA VITA WASIGUSWE WALA WASINAJISIWE,KAMA MTU ANAWATAKA AENDE AKAWAOMBE RUHUSA,AKIKUBALIWA SAWA ATOE MAHARI AOE AKIKATALIWA AONDOKE.
INAMAANA HURUHUSIWI KUWAGUSA KAMA HAWAJAKUPA RUHUSA.

HUO UBAKAJI UNATOKA WAPI!??
Mbona unakua na akili za kipumbavu we jamaa!?

Halafu pia usipotoshe,vita inapiganwa na askari wanaume Kwa wanaume.
Sasa suala la kusema kuua familia yake yote inatokea wapi!?
 
Kwenye Qur'an kuna aya hiyo?! unaweza kuileta hapa ukatuwekea?! ukishindwa laiti tungekuwa kwenye known world ningejitolea kuja kukurusha kichura mbele za watu nikufundishe adabu kwa niaba, shukuru anonymity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…