Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Thibitisha kuwa wanaobadili dini milioni 2 ni uongo

Na huo mtandao wa #SaveMaryam ni mtandao wa kiislamu ndo uliotoa takwimu hizo wanaharakati wa kikristu ndo wanapinga hizo 11% badala yake waweke takwimu wazi ambazo makadirio ni 20-30%
 
Haya uloyasema hayapo kwenye qur an unaelewa maana ya kupiga
 
Huyu ni miongoni mwa mabinti waliodhalilishwa zaidi katika historia ya mwanadamu.

In fact dunia inatakiwa iwe na siku ya kimataifa ya "Save Aisha" kuwakumbuka mamilioni ya mabinti wadogo wanaodhalilishwa duniani kote kuanzia huko Afghanistan.
 
Thibitisha kuwa wanaobadili dini milioni 2 ni uongo

Na huo mtandao wa #SaveMaryam ni mtandao wa kiislamu ndo uliotoa takwimu hizo wanaharakati wa kikristu ndo wanapinga hizo 11% badala yake waweke takwimu wazi ambazo makadirio ni 20-30%
nimekupa facts tayari, labda hao milioni 2 ni kutoka katika ukiristu wanarudi zao katika uislamu, hakuna muindonesia ni mkiristu. hakuna. saveMaria ni matandao wa kikiristu ambao munaaminishwa propaganda kukebehi dini ya kiislam

Theluthi mbili ya Waislamu wote duniani wanaishi katika nchi 10 duniani. Kati ya nchi hizo 10, sita ziko Asia (Indonesia, Pakistan, India, Bangladesh, Iran na Uturuki), tatu ziko Afrika Kaskazini (Misri, Algeria na Morocco) na moja iko Kusini mwa Jangwa la Sahara (Nigeria).
 
Ukristo na uislam haufai. Ni mapacha wakoloni na usenzi wa kawaida kwa wenye akili timamu na wanajua ulivyotuharibu na kutudhulumu
 

Nasubiri ushahidi toka kwako ambao unatenganisha uislam na uarabu
 

Mngeweza hata hawa walioko Tanzania mngewabeba mkawamwage huko.
 
Umgenipa aya inayokataza kwanza sababu kitu kama hakijakatazwa kwenye uislam hakina shida hicho na ndio maana kinafanywa

Kwa hiyo kuvuta sigara kwa vile hakujakatazwa kwenye uislam hakuna shida. Ndiyo maana maustadh/a wanajipigia tu fegi

ndengisivilii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…