Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Not true, Wakristo wamesoma na wanajuwa vitu...wenzetu Waislam wengi wao hawajasoma, wao wako bize tu kukariri Kiarab kisicho na manufaa maishani mwao. Hakuna Mkristo mwenye akili timamu akataka kuwa Muislam, kwa faida ipi kwa mfano?Nchi nyingi zenye ukristo wanatamani kuonja kua waislamu na nyingi zenye waislamu wanatamani kuonja ukristo ni vile sheria sio rafiki .
Kiufupi ni pipa na mfuniko tu.
Huwezi kujibu wewe muongo, ngoja tukusaidie!
"Wattakhadhuu ayati warusulih khuzuwa"
Hiyo ni aya katika sehemu ya Qur'an Mungu anasema:
"Wao aya zetu na mitume yetu wakachukulia mzaha mzaha"
Na aya ilipoanzia inasema hawa watu malipo yao ni moto wa Jehannam.
Sasa ili Mtume kutuzuia huko ili tusichukulie aya za Mungu na mitume zake mzaha mzaha akatuonya, akasema:
"Mtu atakayesema kwenye kitabu cha Mwenyezi Mungu akatumia rai yake, Mapema makazi yake ajiandae motoni."
Ili wewe Sheikh ndengisivilii usichukulie aya za Mungu mzaha mzaha kwa sababu ukijitafsiria mwenyewe utakuwa unafanya mzaha mzaha.
Ili usiingie motoni jehennamu inakubidi aya za Mungu uzitafsiri kwa nyenzo zake. Ukitafsiri mwenyewe utazifanyia mzaha mzaha.
Nyenzo za tafsiri ya Qur'an ni tatu:
1)Qur'an bi Qur'an
2)Qur'an bi Sunna
3)Qur'an bi Swahaba
Kuhusu wapi wameamrisha swala 5 angalia Qur'an surat -Nisa’ 4:103 tafseer ya ibn Abbas.
Zipo aya nyingi ila kwa hili anzio hapo!
Ummar hawezi chakachua Quran,labda kama humjui ummar ni nani,na Quran yenyewe inasema hujitetea,kama unaiona imechakachuliwa au ya uwongo,andika wewe mfano wake walau sura mbili,au ungekuta inajichanganya yenyewe aya kwa ayaHii Aya inathibitishaje kuwa kuluwani haijachakachuliwa na akina Umar
Yeah kweli kabisa Quran ina tales na fables za kale ambazo waislam mnazichukulia kama matukio ya kweli.What is the Quran chapter 25 verse 5?
(25:5) They say: "These are merely fairy tales of the ancients which he has got inscribed and they are then recited to him morning and evening." (25:6) Say to them (O Muhammad): "It is He Who knows the secrets of the heavens and the earth12 Who has sent down this Book. Indeed, He is Most Forgiving, Most Compassionate."
View attachment 3153182
Welcome to Islamicstudies.info › taf...
Surah Al
Unakua kama mjinga,ukijibiwa hili unaruka na kuleta hili,acha uccengeYeah kweli kabisa Quran ina tales na fables za kale ambazo waislam mnazichukulia kama matukio ya kweli.
View: https://youtu.be/cQ611NSxfCk?si=tv8EOPpK_J01l4ba
Watch this halafu ulete mrejesho.
quran haiimbwi sio muziki ule hadi uimbweUkiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
Quran inasomwa kama shairi tuu.quran haiimbwi sio muziki ule hadi uimbwe
Yakobo alionana na malaika ila yeye alihisi ni Mungu hakuna binadamu aliyewahi kumuona Mungu watu wengi wanapotosha hii habariMbona pia biblia inavituko zaidi ya hivyo mara yakobo akapigana na Mungu akamshinda , mara lotu Ali lala na binti zake wakuwazaa sioni mkichekana.
Kutumia matusi ni ishara kwamba kuna ujumbe umeupata chief. Usiache kuuliza maswali kwa Ustaadh wako kuhusu historia halisi ya Quran, uislamu pamoja na Mohamed. Ukweli utakuweka huru.Unakua kama mjinga,ukijibiwa hili unaruka na kuleta hili,acha uccenge
Yakobo alionana na malaika ila yeye alihisi ni Mungu hakuna binadamu aliyewahi kumuona Mungu watu wengi wanapotosha hii habari
Umeshindwa kuniletea uthibitishoUmmar hawezi chakachua Quran,labda kama humjui ummar ni nani,na Quran yenyewe inasema hujitetea,kama unaiona imechakachuliwa au ya uwongo,andika wewe mfano wake walau sura mbili,au ungekuta inajichanganya yenyewe aya kwa aya
Ili muendelee kuwa misukule ya kikristo lazima wajanja wenu wakupandikizeni vitu kama hivyo katika vichwa vyenuYani nielewe dini ya ubakaji na tamaa za ngomo kama Momo hadi anachukua mke wa mwanae? Haupo serious una shida kichwani wewe.
Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"Allah anasema ndani ya Quran kuwa hakuna kulazimishana katika dini
Hivyo Muislam yupo huru kubaki au kutoka
Lakini pia akasema
Mimi ndio niliokuumbeni nyote Kuna wengine wenu ni waislam na wengine wenu ni makafiri
Chaguo ni lako
Sasa hayo ni mawazo yako binafsi na sio ya kitafiti huko kusema lengo lake ni kuuchafua uislamu ni kama Kuna kivuli unakitengeza ili ujifiche
Mimi angalau nimekuletea hata page yao inayosapiti Islam awakening movement, basi wewe Lete ushahidi unaoonesha hii taasisi si ya kiislamu au Lete ushahidi wowote unaoonesha waislamu wa Indonesia wameipinga SaveMaryam
Usikimbilie kutengeneza vichaka vyako leta ushahidi unaodhihirisha hoja zako
Bisha kwa hoja kwamba hayo ni uongoIli muendelee kuwa misukule ya kikristo lazima wajanja wenu wakupandikizeni vitu kama hivyo katika vichwa vyenu
Hizi nchi zenye waislam wengi ukitoa India wana sheria kabisa za kupiga marufuku ufundishaji wa dini nyingine. Uislamu unalindwa na sheria za kiserikali,ndiyo maana inakuwa ngumu kwa injili kuhubiriwa na kupata waumini wapya. Ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa internet though.View attachment 3153576
Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.
Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
Hakuna wakristu wenye propaganda chafu na za kijinga kama hizo za kupika vitaasisi uchwara na takwimu za hovyoView attachment 3153576
Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.
Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
Hakika na hawawezi kudananganya watu tenaHizi nchi zenye waislam wengi ukitoa India wana sheria kabisa za kupiga marufuku ufundishaji wa dini nyingine. Uislamu unalindwa na sheria za kiserikali,ndiyo maana inakuwa ngumu kwa injili kuhubiriwa na kupata waumini wapya. Ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa internet though.
Angalia hii video na huyo ni campaign manager Azim Kirway halafu pitia comments za waindonesia wenyeweView attachment 3153576
Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.
Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.