Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Nchi nyingi zenye ukristo wanatamani kuonja kua waislamu na nyingi zenye waislamu wanatamani kuonja ukristo ni vile sheria sio rafiki .

Kiufupi ni pipa na mfuniko tu.
Not true, Wakristo wamesoma na wanajuwa vitu...wenzetu Waislam wengi wao hawajasoma, wao wako bize tu kukariri Kiarab kisicho na manufaa maishani mwao. Hakuna Mkristo mwenye akili timamu akataka kuwa Muislam, kwa faida ipi kwa mfano?
 
Huwezi kujibu wewe muongo, ngoja tukusaidie!

"Wattakhadhuu ayati warusulih khuzuwa"

Hiyo ni aya katika sehemu ya Qur'an Mungu anasema:

"Wao aya zetu na mitume yetu wakachukulia mzaha mzaha"

Na aya ilipoanzia inasema hawa watu malipo yao ni moto wa Jehannam.

Sasa ili Mtume kutuzuia huko ili tusichukulie aya za Mungu na mitume zake mzaha mzaha akatuonya, akasema:

"Mtu atakayesema kwenye kitabu cha Mwenyezi Mungu akatumia rai yake, Mapema makazi yake ajiandae motoni."

Ili wewe Sheikh ndengisivilii usichukulie aya za Mungu mzaha mzaha kwa sababu ukijitafsiria mwenyewe utakuwa unafanya mzaha mzaha.

Ili usiingie motoni jehennamu inakubidi aya za Mungu uzitafsiri kwa nyenzo zake. Ukitafsiri mwenyewe utazifanyia mzaha mzaha.

Nyenzo za tafsiri ya Qur'an ni tatu:
1)Qur'an bi Qur'an
2)Qur'an bi Sunna
3)Qur'an bi Swahaba

Kuhusu wapi wameamrisha swala 5 angalia Qur'an surat -Nisa’ 4:103 tafseer ya ibn Abbas.

Zipo aya nyingi ila kwa hili anzio hapo!

Quran 4:103 Tafsir Ibn Kathir​


The Order for Ample Remembrance After the Fear Prayer Allah commands Dhikr after finishing the Fear prayer, in particular, even though such Dhikr is encouraged after finishing other types of prayer in general.


Hapa hamna swala 5 sheikh ule moto unaouogopa utaupata kwa huu upotoshaji
 
Hii Aya inathibitishaje kuwa kuluwani haijachakachuliwa na akina Umar
Ummar hawezi chakachua Quran,labda kama humjui ummar ni nani,na Quran yenyewe inasema hujitetea,kama unaiona imechakachuliwa au ya uwongo,andika wewe mfano wake walau sura mbili,au ungekuta inajichanganya yenyewe aya kwa aya
 
What is the Quran chapter 25 verse 5?


(25:5) They say: "These are merely fairy tales of the ancients which he has got inscribed and they are then recited to him morning and evening." (25:6) Say to them (O Muhammad): "It is He Who knows the secrets of the heavens and the earth12 Who has sent down this Book. Indeed, He is Most Forgiving, Most Compassionate."
View attachment 3153182
Welcome to Islamicstudies.info › taf...

Surah Al

Yeah kweli kabisa Quran ina tales na fables za kale ambazo waislam mnazichukulia kama matukio ya kweli.


View: https://youtu.be/cQ611NSxfCk?si=tv8EOPpK_J01l4ba

Watch this halafu ulete mrejesho.
 
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
quran haiimbwi sio muziki ule hadi uimbwe
 
Mbona pia biblia inavituko zaidi ya hivyo mara yakobo akapigana na Mungu akamshinda , mara lotu Ali lala na binti zake wakuwazaa sioni mkichekana.
Yakobo alionana na malaika ila yeye alihisi ni Mungu hakuna binadamu aliyewahi kumuona Mungu watu wengi wanapotosha hii habari
 
Unakua kama mjinga,ukijibiwa hili unaruka na kuleta hili,acha uccenge
Kutumia matusi ni ishara kwamba kuna ujumbe umeupata chief. Usiache kuuliza maswali kwa Ustaadh wako kuhusu historia halisi ya Quran, uislamu pamoja na Mohamed. Ukweli utakuweka huru.
 
Yakobo alionana na malaika ila yeye alihisi ni Mungu hakuna binadamu aliyewahi kumuona Mungu watu wengi wanapotosha hii habari
1726820854463.jpg
 
Ummar hawezi chakachua Quran,labda kama humjui ummar ni nani,na Quran yenyewe inasema hujitetea,kama unaiona imechakachuliwa au ya uwongo,andika wewe mfano wake walau sura mbili,au ungekuta inajichanganya yenyewe aya kwa aya
Umeshindwa kuniletea uthibitisho

Kuluwani ni scam ❌ ❌ ❌
 
Allah anasema ndani ya Quran kuwa hakuna kulazimishana katika dini
Hivyo Muislam yupo huru kubaki au kutoka

Lakini pia akasema
Mimi ndio niliokuumbeni nyote Kuna wengine wenu ni waislam na wengine wenu ni makafiri

Chaguo ni lako
 
Allah anasema ndani ya Quran kuwa hakuna kulazimishana katika dini
Hivyo Muislam yupo huru kubaki au kutoka

Lakini pia akasema
Mimi ndio niliokuumbeni nyote Kuna wengine wenu ni waislam na wengine wenu ni makafiri

Chaguo ni lako
Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."

Surah 9:5: "Then kill the disbelievers (non-Muslims) wherever you find them, capture them and besiege them, and lie in wait for them in each and every ambush.

Hizi aya zote zinaongelea kuwatesa au kuwaua wasio amini kwenye hiyo Quran yenu.
 
Sasa hayo ni mawazo yako binafsi na sio ya kitafiti huko kusema lengo lake ni kuuchafua uislamu ni kama Kuna kivuli unakitengeza ili ujifiche

Mimi angalau nimekuletea hata page yao inayosapiti Islam awakening movement, basi wewe Lete ushahidi unaoonesha hii taasisi si ya kiislamu au Lete ushahidi wowote unaoonesha waislamu wa Indonesia wameipinga SaveMaryam

Usikimbilie kutengeneza vichaka vyako leta ushahidi unaodhihirisha hoja zako
Indonesia.jpg


Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.

Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
 
View attachment 3153576

Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.

Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
Hizi nchi zenye waislam wengi ukitoa India wana sheria kabisa za kupiga marufuku ufundishaji wa dini nyingine. Uislamu unalindwa na sheria za kiserikali,ndiyo maana inakuwa ngumu kwa injili kuhubiriwa na kupata waumini wapya. Ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa internet though.
 
View attachment 3153576

Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.

Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
Hakuna wakristu wenye propaganda chafu na za kijinga kama hizo za kupika vitaasisi uchwara na takwimu za hovyo

Inajulikana wazi kabisa pasipo shaka Indonesia ndiyo taifa lenye waislamu wengi zaidi ulimwengu, lakini namba ya waislamu hushuka kila leo kutokana na waumini wa kiislamu kuhamia ukristu

Indonesia ni taifa ambalo ni la pili lenye waislamu wengi kuwa na wakristu wengi baada ya Nigeria


View: https://youtu.be/96vzwhneh1s?si=bBpx3x7b_c7RBenv
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-144437.png
    Screenshot_20241116-144437.png
    128.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-143747.png
    Screenshot_20241116-143747.png
    130.5 KB · Views: 2
Hizi nchi zenye waislam wengi ukitoa India wana sheria kabisa za kupiga marufuku ufundishaji wa dini nyingine. Uislamu unalindwa na sheria za kiserikali,ndiyo maana inakuwa ngumu kwa injili kuhubiriwa na kupata waumini wapya. Ashukuriwe Mungu kwa uwepo wa internet though.
Hakika na hawawezi kudananganya watu tena

Hiyo Iran yenyewe ambayo ni jamhuri ya kiislamu na ngome ya shia ina namba kubwa sana ya wakristu waliotoka uislamu tatizo wamekatazwa kupractice Imani nyingine tofauti na uislamu hadharani labda kidogo wayahudi ndo wanapumua pumua
 
View attachment 3153576

Nilikuandikia nakukutumia hizi takwimu as it stand until right now lakini hutaki, sasa endelea kulishwa propaganda na page za facebook zenye background cover za katuni ambazo katika uislam ni haraam, haitabadilisha chochote na uhalisia ulivyo kuhusu nchi za kiislam hapa ulimwenguni.

Tukianza kulichambua hilo jina lilotumika kwenye giyo page uliyotuma savemaryam, ni ukiristo mtupu uliotumika kuandaa hiyo page, ata ukiangalia post zake zote kwenye hiyo page ni ukiristo mtupu nadhan tufikie hapa., ulimwengu wa kiislam tunaifahamu vizuri Indonesia, hakuna kitakachobadilisha.
Angalia hii video na huyo ni campaign manager Azim Kirway halafu pitia comments za waindonesia wenyewe


View: https://youtu.be/y5yiYbr22pk?si=gs1JEbbiqMTBZ_xS
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-153025.png
    Screenshot_20241116-153025.png
    135.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-152950.png
    Screenshot_20241116-152950.png
    133.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-153003.png
    Screenshot_20241116-153003.png
    128.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-152940.png
    Screenshot_20241116-152940.png
    134.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-153119.png
    Screenshot_20241116-153119.png
    130.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241116-153040.png
    Screenshot_20241116-153040.png
    125.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom