Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Katika hali ya kawaida hamna mtu anaekubali uue familia yake yote na jamii yake halafu akubali umuoe,sheikh hapo kulikua ni kubaka tuu kama tunavyoona kule Congo na sehemu zingine mateka wakike wakivita wakibakwa
Kaka wapige kichwani ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Bado wanapumua
 
Dooh dooh dooh dalili za kukosa hoja hizi.
Wewe umedai kuwa Allah ana ubaguzi.
Nikakwambia kama Allah ana ubaguzi asingeshusha verse ya Qur'an KISA MTU MWEUSI .
Bilal alipobaguliwa hiyo verse ikashushwa na waarabu wakafahamishwa kuwa Mungu ameumba watu Kwa asili na mataifa tofauti,hivyo aliye Bora kwake ni yule mwenye kumuabudu.
Ushaishiwa hoja HUNA HOJA unatapa tapa.
Hakuna cha kutapatapa hapo alaa inaonekana hajielewi anaangalia trend je hakujua kuwa Kuna watu wa tabaka la tofauti na waarabu hadi asuburi bilali abaguliwe?
 
Lete ushahidi wa mtume kufa kwa sumu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Leo mbona utakomaaa!!
Sahih al-Bukhari 4428
Narrated `Aisha:
The Prophet (๏ทบ) in his ailment in which he died, used to say, "O `Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison."
 
ajabu watu waoji wajinga kupundukia yani maskofu wanamakesi rundo kila kona ya dunia wana kesi ya kuwafilllllila watoto wakiume miaka 2 mitatu minne 6 na kuendelea wao ndio sos kuuu ya kuenea Ushoga Duniani leo bado wapumbavu wanaoji mtu kuoa bint miaka9 wabint miaka ile utafananisha na awa wa chips mayai lkn tembeya pale mnyamani usiku ukaone vibint vyamiaka 9 10 12 uwende na ela tu.
 
Mtu unamwambia hizo ayah Mungu anatueleza nani tunatakiwa kumuoa na nani hatutakiwi kumuoa na tunatakiwa tufate utaratibu gani tunapotaka kuoa.
Yeye anaruka ruka mara ooh mara eeh.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Aya Sasa sijui anaeleza utamaduni upi wa mashia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™
Shia bado wanapractice Mutah marriage
 
C&P ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Zaid ni mtoto aliyelelewa na mtume,ila uislam sio tu Kwa mtume bali uislam Kwa ujumla unaridhia kumlea mtoto ila HAURUHUSU UMPE MTOTO JINA LAKO.
Huko ni sawa na kukata ubini wa aliyemzaa hiyo hairuhusiwi.
Zainab hakutalikiana na Zaid bali Zaid alifariki.
Baada ya Zaid kufariki mtume ndio akamuoa Zainab.

C&P mkipata madude mnayapachika tu.
Weka hiyo aya hapa inayosema Ziad alifariki ndipo Mohamed akaoa mjane wa mtoto wake wa kufikia.
 
Je ipi sawa mkuu kama ww sio mnafiki uyu wa mtoto wa kike miak9 na askofu mkuu uko UK kuwalawiti vitoto vyakiume vienye miaka 3 kipi bora kwa akili yko. Mtoto wa kike miak9 au kuwalawiti watoto wakiume ili wawe mashoga. Kwako kipi kizuli.??
Askofu sio Sawa na Mohammad mbona unamzalilisha Muhammad
 
ajabu watu waoji wajinga kupundukia yani maskofu wanamakesi rundo kila kona ya dunia wana kesi ya kuwafilllllila watoto wakiume miaka 2 mitatu minne 6 na kuendelea wao ndio sos kuuu ya kuenea Ushoga Duniani leo bado wapumbavu wanaoji mtu kuoa bint miaka9 wabint miaka ile utafananisha na awa wa chips mayai lkn tembeya pale mnyamani usiku ukaone vibint vyamiaka 9 10 12 uwende na ela tu.
Huna hoja wewe askofu Sawa Na Muhammad?
 
ajabu watu waoji wajinga kupundukia yani maskofu wanamakesi rundo kila kona ya dunia wana kesi ya kuwafilllllila watoto wakiume miaka 2 mitatu minne 6 na kuendelea wao ndio sos kuuu ya kuenea Ushoga Duniani leo bado wapumbavu wanaoji mtu kuoa bint miaka9 wabint miaka ile utafananisha na awa wa chips mayai lkn tembeya pale mnyamani usiku ukaone vibint vyamiaka 9 10 12 uwende na ela tu.
Ndiyo maana wanashtakiwa kwa makosa ya ukatili dhidi ya watoto,hao sio mitume wala manabii. Mohamed alikua nabii,mtu wa mfano kuigwa kwenye ulimwenguni wa waislamu .

Matendo yake mnayaishi mpaka leo(sunna za mtume),ndiyo maana hata sheria ya ndoa Tanzania imekuwa ngumu kuibadilisha. Waislam wanakomaa watoto kuanzia miaka 12 waolewe,huku serikali ikitaka iwe ni miaka 18.

Wewe unaweza kumuoza binti yako wa miaka 6 kwa babu wa miaka 53? Huo ndiyo ulikua umri wa Mohamed wakati anamuoa Aisha . Amekuja kumla akiwa na miaka 9 ,binti wa miaka 9 kweli!!!!!
 
Kwanza hiyo ayah ya Qur'an 4:24 haihusiani na wanawake wa vitani.
Nimefungua kitabu Sasa hivi nimeona hata mimi nimekosea.
Hii ayah inazungumzia watu gani unaruhusiwa kuwaoa na watu gani hairuhusiwi kuwaoa ikianza na mtiririko wake kuanzia verse 23.

Hakuna pahala mtume alimlazimisha mwanamke wa kiyahudi kuolewa naye.
Pia umepuyanga mwanamke wa Kiyahudi alikua sio ZAINAB alikua anaitwa BI.SAFFIYAH umepuyanga tena kijana.
Na mtume alikufa Kwa kifo Cha kawaida wala sio kwa sumu.View attachment 3152295
Hata kuluwani yako hadithi zako na dini yako ya kiislamu huijui vyema umejaa mihemko

reported Abdullah Ibn Massoud, a companion of Allah's Prophet, saying: "I am willing to take an oath nine times that the Prophet was murdered, but I am not willing to take an oath even once that he was not. This is because Allah made him a Prophet and a martyr as well."(Refer: Masnad Ahmed, Vol I, Page 408; Mojam Al-Tabrani, Vol X, Page 109; Musannaf Al-Sanaani, Vol V, Page 268).
 
Kwanza hiyo ayah ya Qur'an 4:24 haihusiani na wanawake wa vitani.
Nimefungua kitabu Sasa hivi nimeona hata mimi nimekosea.
Hii ayah inazungumzia watu gani unaruhusiwa kuwaoa na watu gani hairuhusiwi kuwaoa ikianza na mtiririko wake kuanzia verse 23.

Hakuna pahala mtume alimlazimisha mwanamke wa kiyahudi kuolewa naye.
Pia umepuyanga mwanamke wa Kiyahudi alikua sio ZAINAB alikua anaitwa BI.SAFFIYAH umepuyanga tena kijana.
Na mtume alikufa Kwa kifo Cha kawaida wala sio kwa sumu.View attachment 3152295

Zaynab bint Al-Harith alikua myahudi acha uongo sheikh​

 
Hakuna cha kutapatapa hapo alaa inaonekana hajielewi anaangalia trend je hakujua kuwa Kuna watu wa tabaka la tofauti na waarabu hadi asuburi bilali abaguliwe?
Huo ni mtizamo wako.
Allah yeye amepanga na ameamua Qur'an ishuke Kwa mafungu kwaajili ya kuelimisha watu.
Na ndivyo hata kiubinadamu wazee huwakanya watu pale wanapokosea.
Sawa kijana!??
Hoja huna.
 
progapanda zao zina feri asubui mapema sababu wao viongozi wao ndio hatari wanamaskendo yakutisha wanaacha shida zao wanakimbilia kufunua shida za wengine kwann aoe bint miak9 sasa kwako salama au mnataka tuonekane atuna heshima kwa maoskofu wetu. Tuache propaganda za Dini izi Dini kila moja inamakandokando kama ww unaona Dini ndio safi wai misa y kwanza sio kuja jamiiF kuinanga Dini ya mwenzio wkt unajua kwako pia sio safi sasa ujioni ww mjinga mana mwisho mtaibuliana ya silini vitu kama ivi avijengi kabisa vinashusha imani za watu tuache huu ujinga. Mliazisha msemo kuwa mungu ajipiganie mwenyewe basi tuache miungu ijipiganie yenyewe kwashuhuda mbalimbali. Sisi tusiongeze chumvi wala kulalamika Dini ya yule mbaya kama mbaya mwachie mwenyewe ubaya uzuli niwake,,,
 
Sahih al-Bukhari 4428
Narrated `Aisha:
The Prophet (๏ทบ) in his ailment in which he died, used to say, "O `Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison."
Narrated by Aisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Aiseeee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Pole sana kazana kula matango pori.
 
Narrated by Aisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Aiseeee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Pole sana kazana kula matango pori.
Hadithi ipo au haipo? Maana kifo kimetokea baada kufa kwa Muhammad nani unataka asimulie?
 
Back
Top Bottom