Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Huo unaouita uchafu uliandika kua ushahidi wake unapatika kwenye Qur Ani. Tuambie Aya Gani zilizopo sura gani unaaza kuhamisha magoli.
Ili tuendelee na mjadala tutajie hizo Aya au uende ku edit kule ulikoitaja Qur ani.
Akishindwa hayo nikutakie usiku mwema na starehe yako njema ya kufukuliwa mtaro.
Quran 33:37
And ˹remember, O Prophet,˺ when you said to the one1 for whom Allah has done a favour and you ˹too˺ have done a favour,2 “Keep your wife and fear Allah,” while concealing within yourself what Allah was going to reveal. And ˹so˺ you were considering the people, whereas Allah was more worthy of your consideration. So when Zaid totally lost interest in ˹keeping˺ his wife, We gave her to you in marriage, so that there would be no blame on the believers for marrying the ex-wives of their adopted sons after their divorce. And Allah’s command is totally binding.

Mohamad baada ya kutamani mkwe wake kijana ikabidi ajifanye hamtaki mke wake ili Mtume wa Allah achukue mzigo.
 
Yani ukweli mnapapalika sana kuujum Uislam pengine akili zenu tungeweza kushea mambo mengine ya msingi kuliko kutumia kuujum Iman nyengine. Mm nasema kweli mungu ananiona mji huu wa Dar es salaam wenyeji wazalamo miaka na miaka wao wengi waIslam lkn tabia zao Dini yako yeye aimshuulishi Abudu chochote iyo ni juu yko mji huu umekuwa kitomvu cha uchumi wetu watu wanamimika kutoka kila mkoa wa nchi hii kwann wanamimika Dar es salaam uku utoulizwa DINI yako izi mambo ya dini zinatokea mikoani na ndio mana mikoa mingi maskini utakuta pia akuna jamiii nyingi zilizochangamana angalia mikoa ambayo uchumi wa⁹ke umeanza inuka lazima utaona pia jamiii mbali mbali zikiishi pamoja tofaut na miaka uko nyuma, chuki aikwachi salama, LiSU aliwai sema mkimaliza wapinzani mtawindana wenyewe ndio chuki ilivo kama sumu mwilini inatafuta wabaya kila siku. Kwaiyo nanyinyi mnaonekana mnasumbuliwa na chuki au sumu ndio kila siku Uzi waislami Waislam Waislam mwisho mtaanza kuchukiana wenyewe, wale Wahutu Rwanda walia Watusi lkn awakutosheka wakauwa adi Wahutu wenzao ambao walikuwa wakipinga ujinga waliokuwa wanafanya wenzao. Kama Dini yako Tamu nenda ata barabarani msifu mungu wako akuna mtu atakuzuiya lkn tusiangaike na Iman za wengine. Ng.ombe sisi tunakula lkn India ipo mikoa ni hatari mno sio kula ata kumpiga fimbo unaweza kuuwawa ww na famiria yako na akuna kesi polisi maisha yanaendelea ata Bolozi akioji anajibiwa kunyakunya so sisi tushikamanen Kiuchumi sio kuendekeza imani zetu za Dini
Soma nyuzi hizi zinazokandia wakristu


 
Quran 33:37
And ˹remember, O Prophet,˺ when you said to the one1 for whom Allah has done a favour and you ˹too˺ have done a favour,2 “Keep your wife and fear Allah,” while concealing within yourself what Allah was going to reveal. And ˹so˺ you were considering the people, whereas Allah was more worthy of your consideration. So when Zaid totally lost interest in ˹keeping˺ his wife, We gave her to you in marriage, so that there would be no blame on the believers for marrying the ex-wives of their adopted sons after their divorce. And Allah’s command is totally binding.

Mohamad baada ya kutamani mkwe wake kijana ikabidi ajifanye hamtaki mke wake ili Mtume wa Allah achukue mzigo.
Imagine aya zilikua zinamjia ili kumpendelea yeye pamoja na matendo yake machafu. Kuna hadithi mpaka Aisha alilalamika kwamba inaoneka Allah yuko speed sana kumkingia kifua.

Sahih al-Bukhari 4788

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Allah's Messenger (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: "You (O Muhammad) can postpone (the turn of) whom you will of them (your wives), and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."
 
Imagine aya zilikua zinamjia ili kumpendelea yeye pamoja na matendo yake machafu. Kuna hadithi mpaka Aisha alilalamika kwamba inaoneka Allah yuko speed sana kumkingia kifua.

Sahih al-Bukhari 4788

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Allah's Messenger (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: "You (O Muhammad) can postpone (the turn of) whom you will of them (your wives), and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."
Mohammad kamtengeneza Allah
 
Soma nyuzi hizi zinazokandia wakristu


Ukizoma date zake kuna mwez 3 mwez w7 mwez w9 japo sijui zilifunguliwa jukwaa lipi,, sawa kwaiyo akuna Uzi uliolenga pande yenu mwezi 10 na 11 adi sasa waIslam wameacha izo mambo lkn nyinyi daaa mnapapalipa sana nguvu nyingi mmeeeka apa wasomaji wenyewe wachache lkn amjali full propaganda ukisoma jukwaa ili tu sio poa mmezipanga kinoma!! Ikn ukweli Zama cristian na waIslam kubaguana zimepitwa na wakati awa wanaofungua Uzi kila mala za aina hii watakuwa watoto wa 2000&2005 tufungueni UZI za kuutuunganisha sio zakubaguana kiDini iwe ata propaganda lkn yenye kutuunganisha tupande mbegu njema akili tumepewa tunatakiwa tutumie vizuli kuijenga nchi yetu iwe ya kupendana Tanzania akuna mwislam wakujilipua apa ajawai tokea tusidanganywe sote jamii izi mbili tunapambania kujitafutia liziki ya kula, ukitembeya mjini ukakuta Misikiti ipo wazi Makanisa makubwa yote yapo wazi hiii ishallah kujua upo ktk nchi ya Amani atuna Sababu yakupanda mbegu za chuki badala inchi tumeikuta Salama sisi tunatumia kalamu zetu akili zetu nguzu zetu kuleta mtengano Bila Sababu yyte
 
Nchi mpaka kwenye katiba zinajulikana ni za kiislamu,usipokuwa muislamu hata national ID, passport huwezi kupewa . Watu hawawezi kukiri kuwa sio waislamu,maana milango ya maisha yao itafungwa.
Kumbe hizi ni taarifa za Siri ambazo wewe umepenyezewa?😀
Basi sawa
 
Kumbe hizi ni taarifa za Siri ambazo wewe umepenyezewa?😀
Basi sawa
A person cannot legally change their religion from Islam to another faith in Saudi Arabia, as conversion away from Islam is considered apostasy and is punishable by death under the law, although executions for apostasy are rare in recent times;.
Key points about religion in Saudi Arabia:
Strict interpretation of Islam:
Saudi Arabia adheres to a strict interpretation of Islamic law, which prohibits conversion away from Islam.
Punishment for apostasy:
Converting from Islam is considered apostasy and can be punishable by death.
No public practice of other religions:
Non-Muslims are only permitted to practice their religion privately.
Government control over religion:
The government strictly controls religious practices and enforces these laws.
 
Achana na qur an za kutunga qur an inayo tambulika dunia nzima ipo moja tu hata ukisema zakutunga zipo nyingi ila zinajulikana na zinapotezewa nimekuuliza swali umelikimbia hizo qur an ulizo zitaja zinatumika nchi gani jibu hili swali halafu ukijua nchi gani zinatumika uje uniambie ila kabla ya kuja kunambia ufanye risach na qur an zinazo tumika nchi nyengine kama sawa ama si sawa kuna mwaka hapa kati kama miaka kumi ziliingizwa qur an za mchongo eidha watu waliongeza ama kupunguza neno ama herufi kwa makusudi ili kutaka kuipotosha qur an bahati nzuri wakafeli ndio hilo uliloleta wewe hapo yaani qur an nzima kuzidi hiko kineno ndio imekua qur an mpya hio ama na kuhakikisha hakuna sehemu utaniletea ushahidi kuna nchi wanatumia hizo qur an ulizo nitajia wewe
Acha ubishi wa kitoto, za kutunga maana yake nini? Qur'an ni ya kiarabu na zimeandikwa na Waarabu wenyewe, tena nyingi zilitungwa kulingana na mazingira ya maeneo. Qur'an ninayoijua mimi moja ni ile aliyokuwa nayo Hafsa mke wa Muhammad aliyoiweka chini ya jamvi baada ya sehemu fulani kuliwa na mbuzi na ndiyo iliyonakiliwa na Zayd na wenzake na kuongeza au kurekebisha kwa lugha ya Quraish (Q-43:2-3). Walitungiwa Waarabu, wewe mbantu ya kwako iko wapi?
 
Tanzania 65% ni Christians, ruling system inaongozwa na Muslims sasa na ndiyo wenye ubavu wa kwenye sensa kuwekwe yapi kutolewe yapi, kama una akili japo kidogo angalia population kwa kila zone utagundua maeneo ambayo ni predominantly Christians ndiyo by far yenye population kubwa, a simple and easy statistical check will give you the answers.
Umetupiga
 
Acha ubishi wa kitoto, za kutunga maana yake nini? Qur'an ni ya kiarabu na zimeandikwa na Waarabu wenyewe, tena nyingi zilitungwa kulingana na mazingira ya maeneo. Qur'an ninayoijua mimi moja ni ile aliyokuwa nayo Hafsa mke wa Muhammad aliyoiweka chini ya jamvi baada ya sehemu fulani kuliwa na mbuzi na ndiyo iliyonakiliwa na Zayd na wenzake na kuongeza au kurekebisha kwa lugha ya Quraish (Q-43:2-3). Walitungiwa Waarabu, wewe mbantu ya kwako iko wapi?
Mbona kama ume panic tutafika kweli
 
Ukizoma date zake kuna mwez 3 mwez w7 mwez w9 japo sijui zilifunguliwa jukwaa lipi,, sawa kwaiyo akuna Uzi uliolenga pande yenu mwezi 10 na 11 adi sasa waIslam wameacha izo mambo lkn nyinyi daaa mnapapalipa sana nguvu nyingi mmeeeka apa wasomaji wenyewe wachache lkn amjali full propaganda ukisoma jukwaa ili tu sio poa mmezipanga kinoma!! Ikn ukweli Zama cristian na waIslam kubaguana zimepitwa na wakati awa wanaofungua Uzi kila mala za aina hii watakuwa watoto wa 2000&2005 tufungueni UZI za kuutuunganisha sio zakubaguana kiDini iwe ata propaganda lkn yenye kutuunganisha tupande mbegu njema akili tumepewa tunatakiwa tutumie vizuli kuijenga nchi yetu iwe ya kupendana Tanzania akuna mwislam wakujilipua apa ajawai tokea tusidanganywe sote jamii izi mbili tunapambania kujitafutia liziki ya kula, ukitembeya mjini ukakuta Misikiti ipo wazi Makanisa makubwa yote yapo wazi hiii ishallah kujua upo ktk nchi ya Amani atuna Sababu yakupanda mbegu za chuki badala inchi tumeikuta Salama sisi tunatumia kalamu zetu akili zetu nguzu zetu kuleta mtengano Bila Sababu yyte
Sisi wakristu hatujawahi kuwa na ubaya na waislamu au hata watu wa imani ingine hata mara moja

Shida unakuja waislamu wanapojiona wao ni watu wa haki sana dhidi ya watu wa imani ingine hapo matatizo yanapoanza maana hatujakatazwa kuitetea imani yetu kamwa hoja

Waislamu wamekuwa wakiudhuhaki ukristu tangu na tangu lakini wakristu walikaa kimya kwa sababu msingi wetu wakristu ni Imani matumaini na mapendo

Inapofika hata kama hii jambo limeshindwa kustahimilika
 
Umetupiga
Maeneo yenye waislamu wengi zaidi Tanzania

Zanzibar
Tanga
Kondoa
Pwani
Lindi
Mtwara
Tunduru
Tabora
Morogoro kusini

Sehemu nyingine zote zilizobaki wakristu ndiyo wengi zaidi
 
Sisi wakristu hatujawahi kuwa na ubaya na waislamu au hata watu wa imani ingine hata mara moja

Shida unakuja waislamu wanapojiona wao ni watu wa haki sana dhidi ya watu wa imani ingine hapo matatizo yanapoanza maana hatujakatazwa kuitetea imani yetu kamwa hoja

Waislamu wamekuwa wakiudhuhaki ukristu tangu na tangu lakini wakristu walikaa kimya kwa sababu msingi wetu wakristu ni Imani matumaini na mapendo

Inapofika hata kama hii jambo limeshindwa kustahimilika
Waislamu wame ama tumeudhihaki ukristo kivipi
 
Maeneo yenye waislamu wengi zaidi Tanzania

Zanzibar
Tanga
Kondoa
Pwani
Lindi
Mtwara
Tunduru
Tabora
Morogoro kusini

Sehemu nyingine zote zilizobaki wakristu ndiyo wengi zaidi
Hehehe hata dar ina wakristo wengi duuh
 
Sisi wakristu hatujawahi kuwa na ubaya na waislamu au hata watu wa imani ingine hata mara moja

Shida unakuja waislamu wanapojiona wao ni watu wa haki sana dhidi ya watu wa imani ingine hapo matatizo yanapoanza maana hatujakatazwa kuitetea imani yetu kamwa hoja

Waislamu wamekuwa wakiudhuhaki ukristu tangu na tangu lakini wakristu walikaa kimya kwa sababu msingi wetu wakristu ni Imani matumaini na mapendo

Inapofika hata kama hii jambo limeshindwa kustahimilika
Hamjawahi kuwa na ubaya na waisilam wakati kwa siku mnaanzisha nyuzi karibia 10 za kashifa dhidi ya waisilam?
 
Hehehe hata dar ina wakristo wengi duuh
Yaani unahesabia dar ambayo ina kila aina ya watu?
Sawa nitakuhesabia kwa dar sehemu yenye waislamu wengi zaidi
Buguruni
Tandika
Chanika
Mbagala
Ilala
Kigogo
Buza
Temeke
Kiwalani
Yombo
Mwananyamala
Kinondoni

Lakini kuanzia
Mbezi
Kawe
Bunju
Goba
Kibamba
Kijitonyama
Kinyerezi
Tabata
Kigamboni
Kimara
Ununio
Boko
Mwenge
Mabibo
Ubungo
Mpiji magohe
Tegeta
Salasala
Mabwepande
Mloganzira
Huku kote wamejaa wakristu na makanisa yako mengi sana
 
Hamjawahi kuwa na ubaya na waisilam wakati kwa siku mnaanzisha nyuzi karibia 10 za kashifa dhidi ya waisilam?
Unadhani kwanini?
Kwa sababu waislamu ni wakorofi, mnapenda kutuchokoza na katu hatuwezi kukaa kimya daima

Hamuwezi kutafuta ukuu wenu kwa kutumia ukristu halafu na sisi tukae kimya daima

Kuna nyuzi nyingi sana ambazo zinakandia ukristu kipindi cha nyuma tulikaa kimya ila Sasa imetosha
 
Yaani unahesabia dar ambayo ina kila aina ya watu?
Sawa nitakuhesabia kwa dar sehemu yenye waislamu wengi zaidi
Buguruni
Tandika
Chanika
Mbagala
Ilala
Kigogo
Buza
Temeke
Kiwalani
Yombo
Mwananyamala
Kinondoni

Lakini kuanzia
Mbezi
Kawe
Bunju
Goba
Kibamba
Kijitonyama
Kinyerezi
Tabata
Kigamboni
Kimara
Ununio
Boko
Mwenge
Mabibo
Ubungo
Mpiji magohe
Tegeta
Salasala
Mabwepande
Mloganzira
Huku kote wamejaa wakristu na makanisa yako mengi sana
Kuwa na kila aina ya watu haijawa hoja kwa sasa dunia kama kijiji hata huko mikoani kuna watu wamechanganyikana ila dar wamezidi kiasi kwamba ukitembea mpaka mbeya kule ukirudi shinyanga mwanza kuna mpaka wapemba nk na huko ulipokutaja kwenye waislam ndio kuna idadi kubwa ya watu kwa huko dar linganisha tu sherehe za waislam na wasio waislam utaelewa sio harusi zile skukuu mbili kubwa
 
Back
Top Bottom