Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Hapa hatuokotezi vitu,tunaweka ukweli,kwaio kama ukweli ukikuuma kwamba Mohammad alioa mke wa mwanae wa kambo shauri yako au kama itazidi kukujenga kuisoma imani yako zaidi au uwe mfata mkumbo Sawa.

Mke wa mwanawe wa Kambi unajuwa wewe na kanisa lako , unajuwa Yesu alikamatwa na teenager wa kiume akiwa uchi huku chupi kaiweka begani katikati ya vichaka vya bustani ya Gesthemane utakataa ?
 
Hapa hatuokotezi vitu,tunaweka ukweli,kwaio kama ukweli ukikuuma kwamba Mohammad alioa mke wa mwanae wa kambo shauri yako au kama itazidi kukujenga kuisoma imani yako zaidi au uwe mfata mkumbo Sawa.

What in the world was Jesus doing with a naked kid at 4 am in a public garden? - Dr. Ammon Hillman
 
Adopted son wa Hadija mke wa Mtume na alilelewa na Hadija.
Tushike wapi kwa Sasa?
Mtoto wa Mtume
Mtoto wa kambo wa Mtume
Mtoto wa kulea wa Mtume au Mtoto wa kulea wa bi Khadija mke wa mtume?
Tuwekane sawa hapa kwanza kwa kuweka na ushahidi, halafu tuendelee. Si hasha ukatuambia ni mtoto wa kunyonya.
Maana makafiri mkishazibuliwa mitaro na wachungaji wenu baadhi ya fuse hua zinachomoka.
 
Hauna hoja...endelea kupigania dini kwa jihad

Huyu ni mungu wako anakamatwa na kijana wa kiume alfajiri vichakani akiwa na kijana uchi huku chupi kaiweka begani ?

What in the world was Jesus doing with a naked kid at 4 am in a public garden? - Dr. Ammon Hillman
 
Tushike wapi kwa Sasa?
Mtoto wa Mtume
Mtoto wa kambo wa Mtume
Mtoto wa kulea wa Mtume au Mtoto wa kulea wa bi Khadija mke wa mtume?
Tuwekane sawa hapa kwanza kwa kuweka na ushahidi, halafu tuendelee. Si hasha ukatuambia ni mtoto wa kunyonya.
Maana makafiri mkishazibuliwa mitaro na wachungaji wenu baadhi ya fuse hua zinachomoka.

Amekimbia hayo maswali hata hajui analoongea 😛 😛 😛 😛
 
Tushike wapi kwa Sasa?
Mtoto wa Mtume
Mtoto wa kambo wa Mtume
Mtoto wa kulea wa Mtume au Mtoto wa kulea wa bi Khadija mke wa mtume?
Tuwekane sawa hapa kwanza kwa kuweka na ushahidi, halafu tuendelee. Si hasha ukatuambia ni mtoto wa kunyonya.
Maana makafiri mkishazibuliwa mitaro na wachungaji wenu baadhi ya fuse hua zinachomoka.
Ishu ni kutamani na kuoa mke wa mwanae ,ishu sio mtoto wa nani sasa kama unabisha ili ubishe tuu hautaelewa
 
Ishu ni kutamani na kuoa mke wa mwanae ,ishu sio mtoto wa nani sasa kama unabisha ili ubishe tuu hautaelewa

Wewe kwishnei , endelea kuabudu mtu aliyekamatwa vichakani alfajiri akiwa na kijana uchi huku chupi kaiweka begani
 
Kampeni ya Kiislamu ya mitandao ya kijamii inayojulikana kama #SaveMaryam inakuza ufahamu wa kuenea kwa Ukristo kote Indonesia - na inatumia takwimu na taarifa zenye utata kufanya hivyo. Meneja wa kampeni hiyo alisema kuwa Waislamu milioni 2 wanabadili dini na kuwa Wakristo kila mwaka nchini humo. Aliongeza kuwa Indonesia itakoma kuwa taifa lenye Waislamu wengi ifikapo 2035.

Wakosoaji na watoa maoni wameshutumu timu ya kampeni hiyo kwa kutisha, kuleta mvutano wa kidini usio wa lazima, na kutoa taarifa zisizo sahihi ili kukusanya fedha zaidi kwa ajili ya shughuli zao. Indonesia inajivunia idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, ikiwa na Waislamu zaidi ya milioni 212.

Takwimu rasmi zinakadiria kuwa karibu 11% ya idadi ya watu ni Wakristo. Hata hivyo, viongozi kadhaa wa makanisa ya Indonesia wanaamini kuwa hii ni dharau kubwa, ikiweka idadi halisi ya Wakristo kati ya 20% na 30% ya idadi ya watu.

Vyovyote takwimu sahihi, kilicho wazi ni ugumu wa kupindukia Wakristo wa Indonesia wanakabiliana nao, hasa wale wanaobadili Uislamu na kuwa Wakristo. Familia za Kiislamu mara nyingi huwakana watoto wao ambao wanakuwa Wakristo.

Ni vigumu zaidi kwa Mwislamu kubadili Ukristo katika jimbo la Aceh, ambalo linafuata sheria za Kiislamu.

=================

An Islamic social media campaign known as #SaveMaryam is raising awareness of the spread of Christianity throughout Indonesia — and it’s using controversial statistics and statements to do so.

The campaign’s manager stated that 2 million Muslims convert to Christianity every year in the country. He added that Indonesia would cease to be a predominantly Muslim nation by 2035.

Critics and commentators have accused the campaign’s team of being alarmist, creating unnecessary religious tension, and giving inaccurate information to raise more funds for their activities.

Indonesia boasts the largest Muslim population in the world, with more than 212 million Muslims. Official figures estimate that about 11% of the population are Christians. However, several Indonesian church leaders believe this is a huge underestimation, placing the actual number of Christians between 20% and 30% of the population.

Whatever the correct figure, what is clear is the extreme hardship Indonesian Christians face, particularly those who convert from Islam to Christianity. Muslim families often disown their children who become Christians. It’s even more difficult for a Muslim to convert to Christianity in the province of Aceh, which follows Islamic law.

View: https://youtu.be/rtWUdoR1Xco?si=U7vgcTFpzuG01fkY
 
Islam is the fastest growing religion in the world.

Hakuna dini inayokua kwa kasi zaidi ya waislam duniani.
Je, unajua maana ya 'Mubahala'? Soma qur'an 3:61, halafu soma qur'an 69:44-47 malizia kusoma Sahih al-Buhari 4428 "O' Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaybar, and at this time, I as if my aorta is being cut from that poison" Maana yake ni kwamba Muhammad alikuwa mtume wa uongo! Ndugu zangu, badilikeni achaneni na dini ya uongo!
 
Je, unajua maana ya 'Mubahala'? Soma qur'an 3:61, halafu soma qur'an 69:44-47 malizia kusoma Sahih al-Buhari 4428 "O' Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaybar, and at this time, I as if my aorta is being cut from that poison" Maana yake ni kwamba Muhammad alikuwa mtume wa uongo! Ndugu zangu, badilikeni achaneni na dini ya uongo!

Bi Tuma ,UNAWEZA KUTUPA CHAIN YA HIYO HADITHI UNAYOSEMA +???

Kwa nini umeshindwa kuziweka hizo aya za Quran umeweka hadithi tu

KWANI JESUS ALIKUWEPO ???
 
Bi Tuma ,UNAWEZA KUTUPA CHAIN YA HIYO HADITHI UNAYOSEMA +???

Kwa nini umeshindwa kuziweka hizo aya za Quran umeweka hadithi tu

KWANI JESUS ALIKUWEPO ???
Yesu alikuwepo ushahidi ni mwingi kwani hata watawala wa Uyahudi wakati huo Warumi waliandika katika nyaraka zao za kiserikali habari za Yesu. Ndiyo maana hata Petro na Paulo walishitakiwa na kuhukumiwa Roma kwa kumkiri na kumtangaza Yesu mfufuka! Je, mtawala gani aliyeandika habari za Muhammad? Walichofanya wakina Abu Bakr, Omar na Uthman ni kujitangaza kuwa wao ni 'MHMD' yaani wapendwa na ni wateule Mungu, hiyo ndiyo maana ya neno hilo kwa ki- Aramaic.
 

Attachments

  • Screenshot_20240903-131136~2.jpg
    Screenshot_20240903-131136~2.jpg
    33.4 KB · Views: 2
Huyu ni mungu wako anakamatwa na kijana wa kiume alfajiri vichakani akiwa na kijana uchi huku chupi kaiweka begani ?

What in the world was Jesus doing with a naked kid at 4 am in a public garden? - Dr. Ammon Hillman
Biblia gani uliyosoma wewe, nipe sura na aya!
 

Jagina, huo ni upotoshaji acha mara moja! ACHENI KUNUKUU AYA MOJA MOJA ILI KUPOTOSHA WATU, SOMA KITU KIZIMA- YESU ANAONGEA NA ASKARI WALIOKWENDA KUMKATA WAKATI AKIWA NA WANAFUNZI WAKE KULE GETSEMANI:
Mar 14:49 Kila siku nalikuwa mbele yenu hekaluni nikifundisha, msinikamate; lakini haya yamekuwa ili maandiko yapate kutimia.
Mar 14:50 Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote.
Mar 14:51 Na kijana mmoja alimfuata, amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata;
Mar 14:52 naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia yu uchi.
Mar 14:53 Nao wakamchukua Yesu kwa Kuhani Mkuu; wakamkusanyikia wote, wakuu wa makuhani na wazee na waandishi.
Mar 14:54 Naye Petro akamfuata kwa mbali, hata ndani katika behewa ya Kuhani Mkuu; akawa ameketi pamoja na watumishi, anakota moto mwangani.
 
Back
Top Bottom