We dada pole sana,hili ni funzo na nifunzo kwa vijana wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine wamekua marioo,ila nikuhakikishie tu,unaweza kwenda mbaliiii halaf usifanikiwe,na nikuhakikishie zaid hakuna dawa isiyokua na miiko yake,na kubwa zaid nikuhakikishie hakuna mganga ambae yupo top ya waganga wote,,na mwisho kila dawa ina kitu chake cha kuizingua ikawa sio dawa tena,
Hofu yangu ww ulitaka awe hiv ss huruma umekujaje tena? Ss hav ina maana hakuto****mbi,we unafaidika na nn?sawa unaweza kua unajutia ila ndo somo ujifunze siku nyingine,na je nikuulize ukishamuagua akakaa sawa utafanyaje? Nawe umetuaminisha kwamba hataki kukaa nae tena?
Yyte anaesema hakuna uchawi namwambia tu aamin analoamin ktk ulimwengu anaouamin,usithubutu kusema ilihal vitab vya mungu vyte vinasema kaa mbali na shirki,,ss sijui nyie mnajua kuliko hao waliotangulia au vip,nawashangaa sana.
Mwisho hilo lako we unaweza kuona kubwa tu ila nikuhakikishie linawezekana sana tu maana kwa mchanganyiko wa zile dawa zinaunguzwa zinakwa majiv hivi vinaitwa vizimba,,ndo dawa zenyewe na cha kuagulia ni vizimba vile vile.. Msaada kama kweli upo serious njoo pm,nasema kwa hakika maana nmekaa sana maporin kwenye migodi tofauti tofauti na nimeona kafara ambazo ukisema hapa hakuna atakae amin so njoo pm tatzo lako utaletea mrejesho hapa hapa.. Ila wakat unakuja ukumbuke vitu vyte yule mganga alivyotumia,nahakikisha na nakuhakikishia hvyo vidgo tu kwa mtu nitakaekuelekeza au kukupeleka.. Tena unaweza kwenda hata mwnyewe bilahuyu mmeo unaemtesa.. Goodmorng