Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Mwambie aende peke yke kwa yule mganga aliyetengeneza huo uchawi , kingine aende kwa watumishi wa Mungu waliosimama hasa anaweza kupona..... Pia wewe mwanamke mpumbavu hii dhambi itakutafuna mpaka kaburin
 
"I WANTED HIM TO FEEL MY ABSENCE" 🙂 🙂
rubbish

a gift of life astounds me in this world i give it up for the WOMAN
 
Nimesoma comments zote hadi nimeishia hapa.... tehteehhh
 
Cc..Bongomovies


Naona kuna script apa

Usi shangae kesho kukuta CD mtaani zina uzika kama Njugu!!!...
 
Sasa sisi tukusaidiaje au na sisi unataka tufe kama hao waganga wengine.. Dada una roho ngumu wewe nahisi hata ibilisi anajifunzia kwako, ona sasa kwa wivu wako wa mapenzi umempa mwenzio madhira makubwa, kwako lawama hazikwepeki..

Kama kweli umedhamilia mpe mali zako zote maana kijana akili inamuuma ni vipi ataishi mjini hali yakuwa bolo lake ni bovu, yeye hana tabu na bolo yeye ana tabu na maisha magumu.
 
Je unayo roho ngumu.

Fanya hili zoezi.

Chukua mayai viza matatu nenda baharini usiku wa saa sita yatupe kila moja halafu na wewe ingia ndani ya maji kwa mfumo wa kujirusha mithili ya mtu anayeogelea. Utatokea maeneo ya kuzimu hapo unaweza kuonana na mheshimiwa Lucifer mkazungumza.
Au nenda malawi na Nigeria lazima utafunguliwa tu. Hakuna kinachoshindikana duniani. [emoji4]
Ngumu kumeza
 
Nenda kwa Nabii Suguye ana chanel yake ya Tv inaitwa WRM startimes
 
We dada pole sana,hili ni funzo na nifunzo kwa vijana wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine wamekua marioo,ila nikuhakikishie tu,unaweza kwenda mbaliiii halaf usifanikiwe,na nikuhakikishie zaid hakuna dawa isiyokua na miiko yake,na kubwa zaid nikuhakikishie hakuna mganga ambae yupo top ya waganga wote,,na mwisho kila dawa ina kitu chake cha kuizingua ikawa sio dawa tena,

Hofu yangu ww ulitaka awe hiv ss huruma umekujaje tena? Ss hav ina maana hakuto****mbi,we unafaidika na nn?sawa unaweza kua unajutia ila ndo somo ujifunze siku nyingine,na je nikuulize ukishamuagua akakaa sawa utafanyaje? Nawe umetuaminisha kwamba hataki kukaa nae tena?

Yyte anaesema hakuna uchawi namwambia tu aamin analoamin ktk ulimwengu anaouamin,usithubutu kusema ilihal vitab vya mungu vyte vinasema kaa mbali na shirki,,ss sijui nyie mnajua kuliko hao waliotangulia au vip,nawashangaa sana.

Mwisho hilo lako we unaweza kuona kubwa tu ila nikuhakikishie linawezekana sana tu maana kwa mchanganyiko wa zile dawa zinaunguzwa zinakwa majiv hivi vinaitwa vizimba,,ndo dawa zenyewe na cha kuagulia ni vizimba vile vile.. Msaada kama kweli upo serious njoo pm,nasema kwa hakika maana nmekaa sana maporin kwenye migodi tofauti tofauti na nimeona kafara ambazo ukisema hapa hakuna atakae amin so njoo pm tatzo lako utaletea mrejesho hapa hapa.. Ila wakat unakuja ukumbuke vitu vyte yule mganga alivyotumia,nahakikisha na nakuhakikishia hvyo vidgo tu kwa mtu nitakaekuelekeza au kukupeleka.. Tena unaweza kwenda hata mwnyewe bilahuyu mmeo unaemtesa.. Goodmorng
 
Hii nadhani ni Riwaya!
kuna mwanamke mmoja juzi alikuwa ananihadithia kuwa mjombawake ni mlevi kupindukia mke wa mjomba wake huyu ndiye aliyemfanyia mjomba wake ambaye ni engineer upuuzi huo wakiwa wameshirikiana na dada wa mke wa mjombawake jamaa alichanganyikiwa na alikuwa anafanya kazi akastaafishwa sasa wanaishi kwa kutegemea apartment walizojenga hapo nyumakabla huyu mjomba hajapagawa walifanikiwa kuwa na watoto 2 mke analia kila siku
 
Hili Ni fundisho kwa vijana kuparamia mimama iliyoparama hata kama ni tangazo ila hivi vitu vipo sana , sijui hawa vijana wana uoga gani wa maisha siki hizi, na elimu yako ukalelewe kweli? Mtahamithiwa sana mbona baba zenu hawakuwa hivyo? Yote hiyo kutaka mteremko
 
Back
Top Bottom