Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Biashara kama biashara nyingine...mtoa post nia yako kumtangaza uyo mganga unaejifanya kamtia mumeo uhanithi (ambaye ni wewe.)
Kwanza toka lini vitu vikachemshwa hadi kuwa majivu hivi unatuona malofa???!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nadhani ni makosa ya kiuandishi tuu [emoji6]
 
Umekumbuka kulipia tangazo mkuu?
 
Hii yaweza kua mganga anatangaziwa biashara yake hapa
Mi naona ni biashara anatangaza... nimegoma kuamin hiyo story yake
Nadhani ukichemsha sana maji yakikauka vinaungua na kubaki majivu, sema tuu majivu yatakuwa meusi tii
[emoji23] [emoji23] nachemsha maji leo mpaka yakuwe jivu hhaaha ntaleta mrejesho na picha ya jivu
 
Matatizo umeyatafuta mwenyewe tena kwa kuyalipia na gharama kubwa tu.

Cha ajabu unataka saizi watu waje wakusaidie kuyatatua wakati uliyataka na kuyakubali mwenyewe
 
 
Jamani huh I mwanamke muuaji balaa na ulozingatia alikua bado ajazaa bado kijana !! Umeharinuaisha yake kabisa !!
 
Hii stori ni ya uongo ila haya mambo yapo kweli.....!
 
Hii yaweza kua mganga anatangaziwa biashara yake hapa[emoji23] [emoji23] nachemsha maji leo mpaka yakuwe jivu hhaaha ntaleta mrejesho na picha ya jivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
hata kutaka kutapeli wenzako pamoja na hali hii ngumu ni uchawi tosha, means wewe n mchawi katka njia yako. So ukisema u mchawi tutakuelewa ila si mganga
 
Huyo kijana angesaidika tuu mbona rahisi hiyo...

Tatizo lake ni wewe na si hiyo hali

Angekuwa kafanyiwa na mtu tofauti na wewe ingekuwa rahisi sana kumsaidia, lakini kwa kuwa moja ya vitu vilivyotumika kumfunga huyo kijana ni wewe, basi haina namna.

Huwa kuna njia moja tuu ya kutatua hilo tatizo.
Dawa ni wewe na bibi yake mzaa baba. Hii ingewezekana kama usingehusika, kwani hao waganga wanaolufa wanauwa na wewe, ulisha finga nadhiri, kiapo katika uchawo huwa ni katiba ya kiganga.

Shida ni pale anapotafuta dawa huku tatizo liko kwako
 
Chanzo cha tatizo ni wewe na wivu wako wa kipuuzi, mganga aliyemfunga amekuambia hawezi tena kuliamsha dude na hakuna atakayeweza kulirudisha dude hewani. Acha kupoteza muda na pesa kuongeza list ya waganga, mrudie muumba kwako kwa toba ya kweli huenda akakusikia.
 
Nakuona ulivyo Mzuri kwenye riwaya. Thanks umenivutia sehemu kubwa ya tungo
 
Pole sana mkuu.
Unavuna ulichokipanda.
Ila ipo siku utapata majibu ya hayo matatizo yako.
 
Ngumu kumeza hii nimejaribu kumeza lakini wapi...
 
Modes naona privacy ya JF inavunjwa na mtu hapigwi ban vip?Mazungumzo na bidada hapo juu ni ya PM inakuaje yanawekwa wazi kwetu?Hata kama bidada alikwazwa ilitakiwa tu aripoti kwa modes ambao wangechukua hatua stahiki,pole kwa tatizo lako but huna right ya kuvunja kanuni na taratibu za JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…