Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Faida ya ujinga ni kuwa mjinga zaidi ya wajinga.endelea na ujinga utapata faida ya ujinga kuwa ni mjinga wa wajinga.
 
MUNGU WANGU[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848] asee nimeingiza miss ya hatari.... mambo ya kuogofya haya khaa.
 
Baadae Yule bibi akamkabidhi mganga ule mti halafu akachukuliwa nyoka ambae ameuwawa akachanganywa kwenye ile damu ilyo kuwa kwenye chungu pamoja na dawa kisha vikachemshwa mpaka vikawa jivu.


(Siku hizi vitu vikichemshwa sana vinakuwa jivu ee)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo makini jamani khaah
 
Duh! Condom used natupaga chooni sipendagi ujinga wa kuziacha Kuna time natembea na mfuko wa Rambo nikimalza nabeba naenda kutupa chooni au kuchoma Moto
Hapo ndo alipotuibia wadau. Labda kama kaenda kugongewa lodge
 
Hadithi nzuri umejitahidi. Hadithi inatufundisha tusipende mteremko. Katika vitu ambavyo siamini maishani mwangu ni pamoja na uchawi. Kwangu uchawi hauna nafasi.
 
Back
Top Bottom