Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Je unayo roho ngumu.

Fanya hili zoezi.

Chukua mayai viza matatu nenda baharini usiku wa saa sita yatupe kila moja halafu na wewe ingia ndani ya maji kwa mfumo wa kujirusha mithili ya mtu anayeogelea. Utatokea maeneo ya kuzimu hapo unaweza kuonana na mheshimiwa Lucifer mkazungumza.
Au nenda malawi na Nigeria lazima utafunguliwa tu. Hakuna kinachoshindikana duniani. [emoji4]
 
Mmmhh. Jamani hadi nimeogopa, is it true?
 
Uchawi upo na usiombe upigwe jiwe kama Hilo la kuficha funguo kwenye ombwe la hewa au Maji utajuta nakwambia.
Huyo atakufa hivyo hivyo labda akagusishe dushe lake alipotokea, Yaani kama mama yake mzazi bado yupo akangonoke naye huku amefungwa kitambaa cha mabaki ya Sanda kiunoni.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Umepandisha convo zenu lakini hajakushauri kibaya. Wewe ni binaadamu mwenye roho mbaya sana nahisi mpaka shetani anakuogopa. Amekushauri mazuri mrudie Mungu bado unajifanya bandidu mxiuuuuuuuu kajambe mbele huko. Na kaka wa watu akifa soon you are responsible for his death you devil, evil,snitch,witch, snake,b!tch..
 
Chunga kuacha malighafi yako kwa mtu usiemuamini[emoji23] Mshana alishafundisha kuwa makini/kutunza manii kuepuka kufanyiwa uchawi
Daah mkuu nimejifunza. Haya mambo nilikuaga nayasikia tu vijiweni lakini sasa huyu shangazi hapa kaniwashia taa. Loooh!!
 
Pumbavu sana we ni shetani wa kike, kuanzia leo siruhusu kilaza yeyote wa kike anifute na kitambaa au kuchukua ndomu ambayo nilimwagia goli langu humo, never ever, aaaaagh!
 
Congo sehemu gani mkuu ? Tulienda hadi sehemu inaitwa Moba ambayo inasifika Congo nzima kwa kuwa na uganga na uchawi mkubwa. Ilikuwa ni safari ya mateso sana. Tulipanda meli kutoka Kigoma hadi sehemu inaitwa Kalemie upande wa Congo, huko tukachukua gari za kuunga unga hadi Moba. Ni Congo ipi mkuu? Tafadhali. Lakini kote huko hatujafanikiwa. Tumetumia pesa nyingi sana
you sound like a man
 
Fundisho:
Kwa wanaume na wanawake wote, tuepukeni sana kuingia ktk mahusiano na watu tusiowajua kiundani hasa upande wa tabia zao, watu wenye hasira kali za ghafla kama za huyu mleta uzi huu sio wa kufanya nao mahusiano. Wivu ukizidi sana kutokana na mtu mwenyewe kuwa na hasira sana haya ndo matokeo yake. Mara nyingi tumesikia watu wanauliwa na waliokuwa wapenzi wao kwa sababu ya kuachana na yule aliyeachwa sababu ni mtu wa kuwaka hasira sana huamua kumuua mwenzake, sasa huyu dada ndo aina hizo hizo, mganga alikuuliza huna haja ya kufanya hilo zoezi bali tumfunge abaki kwako ila sababu ya hasira ukadhamiria... Kilio cha mumeo + vifo vya waganga hao wanne ni adhabu inayokusubiri p*mbavu wewe... Mi naepuka sana kuingia ktk mahusiano hovyo na wanawake hasa nikijua huyu ana vimelea vya hasira, pia na wadada vivyo hivyo msiingie ktk mahusiano hovyo na wanaume wenye kukasirika hovyo hovyo.
 
Kazi ndogo sana kama ukitubu,ukaokoka na kuwa mwaminifu kwa Mungu.kitu kidogo sana hicho kwa Yesu.

Licha unaonekana wewe mwenyewe ni mtu unayependa penda uchawi,ni mchawi,au umezaliwa kwenye asili ya wachawi.
 
Kick za matapeli hata mimi naona. Mpaka namba tena zinatolewa na uwongo mwingi.
 
Back
Top Bottom