goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Je unayo roho ngumu.
Fanya hili zoezi.
Chukua mayai viza matatu nenda baharini usiku wa saa sita yatupe kila moja halafu na wewe ingia ndani ya maji kwa mfumo wa kujirusha mithili ya mtu anayeogelea. Utatokea maeneo ya kuzimu hapo unaweza kuonana na mheshimiwa Lucifer mkazungumza.
Au nenda malawi na Nigeria lazima utafunguliwa tu. Hakuna kinachoshindikana duniani. [emoji4]
Fanya hili zoezi.
Chukua mayai viza matatu nenda baharini usiku wa saa sita yatupe kila moja halafu na wewe ingia ndani ya maji kwa mfumo wa kujirusha mithili ya mtu anayeogelea. Utatokea maeneo ya kuzimu hapo unaweza kuonana na mheshimiwa Lucifer mkazungumza.
Au nenda malawi na Nigeria lazima utafunguliwa tu. Hakuna kinachoshindikana duniani. [emoji4]