Jino kwa jinokelele
Member
- Apr 4, 2018
- 58
- 23
Huu mjadara sio, by by by
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana sana sana kakaGharama zake inategemea na tatizo lako lakini sio kubwa kivilee mimi nilitumia kama laki mbili na nusu hivi..kufanya mappenzi na wateja yule mzee hanaga hayo mambo sijawahi kusikia
Tatizo nitawapata wapi kaka angu? Kama unajua abc zake please nijulishe tafadhaliWaulize waliokuwa wakusanya kodi (Idara ya mapato kama sijakosea) toka Iringa miaka ya 1990, wanaweza kukwambia ubaya na uzuri wake nawe uamue kusuka ama kunyoa
Hapo kwenye red mama utakuwa unauliza makofi Polisi!! Na hivi mnavyojuaga kujiremba,, lazima upigwe hata cha uchawi!!Asante sana kaka kwa ushauri wako. Je gharama zake zikoje ? Na je sio aina ya waganga wanao taka kufanya mapenzi na wateja ?
Mwambie yesu akawaponye na wale wa ocean roadDada kwanza pole kwa yote, pili nakushauri uachane na waganga hawatakusaidia chochote ila utapoteza hela na imani yako kwa Mungu.
Tafadhali naomba mrudie Mungu, fanya toba kwanza kwa kupitia jina la YESU atakusamehe na mumeo atapona.
YESU mimi ameniponya niliumwa sana nikakata tamaa...ila sasa ni mzima.
Nicheki PM
Soma: Yeremia 33:3
Kama huna Imani huwezi nielewa.Huo ndio uwongo mnaotudanganya..hata babu wa Loliondo kabla ya kukupa unywe kikombe alikuwa anakuombea kwanza na alikuwa ni mchungaji leo hii mmemkana mnamwita tapeli
Yeremia 17:5-7 Amelaaniwa yeyote yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake na moyoni mwake amemwacha BwanaMwandulami amenisaidia sana nenda dada utasaidiwa na tatizo lako litaisha...biashara zangu zilikuwa haziendi vizuri baada ya kwenda kwake sasa hivi mambo yko safi kabisa
Tatizo nitawapata wapi kaka angu? Kama unajua abc zake please nijulishe tafadhali
Nalijua hilo mkuu ndio maana napambana kujisaidia.. Tafadhali nielezee tu jinsi unavyo mfahamu..Ana mchanganyiko wa mambo hatabiriki
Anaweza akabahatisha au akakuliza "maneno ya wengi waliofika huko" ni bora ukahangaike na maandiko kwa imani yako na Mungu wako maana hata hao wanaoitwa watumishi ni ngumu kuwabaini wasema kweli na wapiga pesa, Mungu wako ndiye mwenye jibu la mwisho na la kweli.
Mungu tunamwamini na waganga tunawaamini wako kwa ajili ya kusaidia watuYeremia 17:5-7 Amelaaniwa yeyote yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake na moyoni mwake amemwacha Bwana
Katika amri kumi za Mungu..amri ya kwanza inasema..mimi ni Bwana Mungu wako, usiwe na miungu mingine ila mimi.Mungu tunamwamini na waganga tunawaamini wako kwa ajili ya kusaidia watu
Unapoteza muda wako kumuhubiria neno. Huyu yeye akili zake anataka waganga wakienyeji wale wapiga ramli.Dada kwanza pole kwa yote, pili nakushauri uachane na waganga hawatakusaidia chochote ila utapoteza hela na imani yako kwa Mungu.
Tafadhali naomba mrudie Mungu, fanya toba kwanza kwa kupitia jina la YESU atakusamehe na mumeo atapona.
YESU mimi ameniponya niliumwa sana nikakata tamaa...ila sasa ni mzima.
Nicheki PM
Soma: Yeremia 33:3
nili bahatika kusoma na mtoto wake alikuwa anafuja pesa kama hana akili nzuriWasalaam wakuu,
Siku kadhaa zilizopita niliandika uzi hapa nikiomba ushauri kuhusu mtu anayeweza kunisaidia kumtibu mume wangu maradhi ya ukhanithi wa kurogwa.
Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7
Nimepokea meseji kutoka kwa watu mbalimbali wakinielekeza nijaribu kuwaona waganga, masheikh na wachungaji mbalimbali.
Ila katika watu wote nilioelekezwa kuwaona ni huyu Mganga anaitwa " Mwandulami " ndio amependekezwa na watu wengi sana.
Nimeelekezwa yupo Njombe na ni wa uhakika na ukweli sana na amesaidia watu wengi sana.
Ninataka kufunga safari kwenda kumuona. Kwa mnao mjua vizuri huyu Mwandulami naomba mnipe maelezo yake tafadhali.
Ninataka kabla sijaenda kumuona nijiridhishe kwanza.Najua hapa JF kuna watu wengi sana na nnajua watakuwepo ambao wameisha kutana na Mwandulami.
ASANTENI SANA.
Mungu hapimwi kwa imani yako vuguvugu hueleweki unamuhitaji Mungu au binadamu mwandulami. Na ukivichanganya hivi vitu viwili utapigwa pigo takatifu. Chagua kimoja..huko PM kwa huyo dada ni mambo ya Yesu.Asante sana dada, naja pm.