Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

concept ya nyokakwenye jengo la kuwakilisha dini ambayo inamfananisha nyoka na shetani au nyoka kuwa alama ya shetani? Kama ndio hivyo walionunua mchoro hawakutathmini? afu mbona hadi leo hii wasibadili hiyo design

Hili jambo lipo hata kwenye bunge la umoja wa ulaya huko
 
🤝🤝🤓
 
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye

Kukashifu ni haki yako ya kikatiba. Dhehebu sahihi ni lipi kwa mtizamo wako?
 
mkuu Yaani unatetea utafikiri wewe ndo pope mwenyewe
Tuendelee kujifunza maandiko. hizi dini tumerithi toka kwa wazazi/ukoo .
Mimi bado ni mwanafunzi wa Yesu. najifunza kila ninalokumbana nalo
 
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Kila la kheri mkuu huko uliko ambako ni sahihi. Tuachieni dhehebu letu. Hata hiyo biblia imeandikwa na wakatoliki usisahau.
 
Tuacheni na dhehebu letu nyie endeleeni kuombewa na waombezi wanaozama baharini kuja kuwapaka mafuta ya upako
 
Mkuu umeongea kiashiria vya maana sana of what the Roman Catholic church really is.Frankly asiyetambua what the Church of Rome represents mpaka leo is a very small mind.The Church of Rome is currently the seat of Lucifer.That is as blunt as it gets.
 
shukraani mkuu
 
Freemasons Wana amini Mungu Ana umbo la nyoka . So kwao nyoka ni kiumbe mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…