Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
concept ya nyokakwenye jengo la kuwakilisha dini ambayo inamfananisha nyoka na shetani au nyoka kuwa alama ya shetani? Kama ndio hivyo walionunua mchoro hawakutathmini? afu mbona hadi leo hii wasibadili hiyo designAcademically
Architect huwa wana kitu kinaitwa concept, si ajabu huyo mbunifu alimtumia nyoka kama concept tu na s swala lingine. Kama n hivyo basi n lazima jengo liwe la mtindo huo ili liendane sawa na hio concept.
Spiritually
Inawezekana kuna kitu kimefichwa nyuma ya huo muundo wa jengo
You see the world the way you are.
The greatest enemy of education is an illusion of knowledge.
🤝🤝🤓concept ya nyokakwenye jengo la kuwakilisha dini ambayo inamfananisha nyoka na shetani au nyoka kuwa alama ya shetani? Kama ndio hivyo walionunua mchoro hawakutathmini? afu mbona hadi leo hii wasibadili hiyo design
Hili jambo lipo hata kwenye bunge la umoja wa ulaya huko
Tupe japo kiufupi mkuu
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Dini mbili kubwa duniani, ukatoliki na uislamu zimeingiza upagani mwingi sana ndani yao.
🤣🤣🤣🤣Kwa hio mtu usipokuwa Muslim au Christian unakuwa mpagani?
sawaUshamba
Na utotosawa
😂😂😂😂😂Na utoto
mkuu Yaani unatetea utafikiri wewe ndo pope mwenyewewewe baki kwenye hilo dhehebu lako sahihi uendelee kukanyaga mafuta. Hakuna alieandikiwa barua kuja kusali Katoliki, kama unaimani nalo unasali kama hulielewi unapita vile. Kama hujui Kanisa katoliki sio kanisa la watu wasio na dhambi bali ni kanisa la watu wenye dhambi ambao wanamtafuta Mungu ili waongoke na siku ya mwisho waingie mbinguni; thats why hatuanzi ibada yoyote bila kusali sala ya ' Nakuungamia Mungu mwenyezi" coz hata bible inasema hakuna siye na dhambi sote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu. Huwezi mkuta mkatoliki anajikweza kiimani, sasa nyie mnajiona mmeokoka kuliko biblia we wish you all the best, but kumbuka hata hiyo bible unayoitumia imeandikwa na wakatoliki.
Kila la kheri mkuu huko uliko ambako ni sahihi. Tuachieni dhehebu letu. Hata hiyo biblia imeandikwa na wakatoliki usisahau.Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Mkuu umeongea kiashiria vya maana sana of what the Roman Catholic church really is.Frankly asiyetambua what the Church of Rome represents mpaka leo is a very small mind.The Church of Rome is currently the seat of Lucifer.That is as blunt as it gets.Wasalaam wakuu
Pope Audiance Hall
Paolo VI pia inajulikana kama Jumba la mkutano la Kipapa ni jengo moja kubwa huko Rome kwa Papa, lenye uwezo wa kuchukua watu 6,300, lilitengenezwa kwa saruji iliyoimarishwa vyema na mbunifu wa Italia Pier Luigi Nervi na kukamilika mnamo 1971
Lakini katika Jumba hilo, sanamu na muundo wa jengo hilo ni za kushangaza na watu wakaanza kutilia shaka
View attachment 1717036
Jumba la Wasikilizaji la Papa lilivyoundwa na kufanana kwake na maumbile ya nyoka. muundo huu wa kipekee unaonekana sehemu ya juu tu ndani na nje.
Jumba hili la Wasikilizaji la Paul VI, Lilianza wakati waa Papa Paul wa Sita, ambaye alikuwa kutoka 1963 hadi 1978. Inavyoonekana alikuwa Papa mwenye heshima, ingawa amehusishwa kuficha au kupuuza unyanyasaji wa kijinsia wa wavulana na washirika wa Katoliki kutoka kwa makasisi.
Aliarifiwa kuhusu kashfa hizi katika barua ya Mchungaji Gerald M.C. Fitzgerald mnamo Agosti 1963, na alishauriwa kuchukua hatua kali dhidi ya washenzi hao
Lakini hakuwahi kufanya chochote.
View attachment 1717025
Katika eneo la juu la jengo hilo linasimama kwa sura yake isiyo ya kawaida, ambayo ikachorwa kwa mfanano wa kichwa cha nyoka.
View attachment 1717032
Angalia kufanana kwa sura, paa la kuezekea na ngozi, na macho.
View attachment 1717042
jengo hili Liliundwa na mbunifu wa Kiitaliano aliyeshinda tuzo
bwana Pier Luigi Nervi, jengo hilo limebuniwa na huchukua watu 6300 kwa mkutano na Papa mwenyewe, ambaye huwa anawasilisha tarifa kutoka jukwaani
SANAMU YA YESU YENYE MFANO WA NYOKA
View attachment 1717034
La Resurrezione, sanamu hiyo iliundwa na Pericle Fazzini. na huku wakiweka wazo la Kristo akiinuka kutoka kwenye mlipuko ,mlipuko wa nyuklia. Ndivyo sanamu hiyo ilivyotengenezwa
Cha kushangaza, kutoka kwa pembeni, kwenye kichwa cha Kristo kinaonekana kama kichwa cha nyoka aliye na meno aliyefunua mdomo wake kwa ajili ya kung'ata
Mambo ya ndani ya Ukumbi huu hufanana sana na nyoka, cha kushangaza na meno mawili yaliyowekwa juu ya jukwaa. Wote kutoka kwa jukwaa, na kwa njia ya kuingia ya watazamaji, chumba bila shaka kinafanana na nyoka,
View attachment 1717035
Wengine wamedai watu huandika hii kama mawazo ya udanganyifu, wakionya watu mbali na kuzingatia kwa kina.
Huku wengine wakipinga zaidi kwakuwa ni swala linalogusa Imani Zao
Huku wengi wakihususha Mfumo huo kama heshima na Utambulisho kwa Nyoka alieasisi dhambi kuingia Duniani pale Eden
hii yote ni kutokana na Lawama wanazotupiwa Mapapa na Vatcan juu ya kuwa Controlled chini ya shetani
Huku wakiwa na Vikundi vya Siri siri vilivyo Chini ya Shetani kama Priory of Sion na vinginevyo.
DA'VINCI XV
AiseeeTuacheni na dhehebu letu nyie endeleeni kuombewa na waombezi wanaozama baharini kuja kuwapaka mafuta ya upako
shukraani mkuuMkuu umeongea kiashiria vya maana sana of what the Roman Catholic church really is.Frankly asiyetambua what the Church of Rome represents mpaka leo is a very small mind.The Church of Rome is currently the seat of Lucifer.That is as blunt as it gets.
Freemasons Wana amini Mungu Ana umbo la nyoka . So kwao nyoka ni kiumbe mtakatifuWasalaam wakuu
Pope Audiance Hall
Paolo VI pia inajulikana kama Jumba la mkutano la Kipapa ni jengo moja kubwa huko Rome kwa Papa, lenye uwezo wa kuchukua watu 6,300, lilitengenezwa kwa saruji iliyoimarishwa vyema na mbunifu wa Italia Pier Luigi Nervi na kukamilika mnamo 1971
Lakini katika Jumba hilo, sanamu na muundo wa jengo hilo ni za kushangaza na watu wakaanza kutilia shaka
View attachment 1717036
Jumba la Wasikilizaji la Papa lilivyoundwa na kufanana kwake na maumbile ya nyoka. muundo huu wa kipekee unaonekana sehemu ya juu tu ndani na nje.
Jumba hili la Wasikilizaji la Paul VI, Lilianza wakati waa Papa Paul wa Sita, ambaye alikuwa kutoka 1963 hadi 1978. Inavyoonekana alikuwa Papa mwenye heshima, ingawa amehusishwa kuficha au kupuuza unyanyasaji wa kijinsia wa wavulana na washirika wa Katoliki kutoka kwa makasisi.
Aliarifiwa kuhusu kashfa hizi katika barua ya Mchungaji Gerald M.C. Fitzgerald mnamo Agosti 1963, na alishauriwa kuchukua hatua kali dhidi ya washenzi hao
Lakini hakuwahi kufanya chochote.
View attachment 1717025
Katika eneo la juu la jengo hilo linasimama kwa sura yake isiyo ya kawaida, ambayo ikachorwa kwa mfanano wa kichwa cha nyoka.
View attachment 1717032
Angalia kufanana kwa sura, paa la kuezekea na ngozi, na macho.
View attachment 1717042
jengo hili Liliundwa na mbunifu wa Kiitaliano aliyeshinda tuzo
bwana Pier Luigi Nervi, jengo hilo limebuniwa na huchukua watu 6300 kwa mkutano na Papa mwenyewe, ambaye huwa anawasilisha tarifa kutoka jukwaani
SANAMU YA YESU YENYE MFANO WA NYOKA
View attachment 1717034
La Resurrezione, sanamu hiyo iliundwa na Pericle Fazzini. na huku wakiweka wazo la Kristo akiinuka kutoka kwenye mlipuko ,mlipuko wa nyuklia. Ndivyo sanamu hiyo ilivyotengenezwa
Cha kushangaza, kutoka kwa pembeni, kwenye kichwa cha Kristo kinaonekana kama kichwa cha nyoka aliye na meno aliyefunua mdomo wake kwa ajili ya kung'ata
Mambo ya ndani ya Ukumbi huu hufanana sana na nyoka, cha kushangaza na meno mawili yaliyowekwa juu ya jukwaa. Wote kutoka kwa jukwaa, na kwa njia ya kuingia ya watazamaji, chumba bila shaka kinafanana na nyoka,
View attachment 1717035
Wengine wamedai watu huandika hii kama mawazo ya udanganyifu, wakionya watu mbali na kuzingatia kwa kina.
Huku wengine wakipinga zaidi kwakuwa ni swala linalogusa Imani Zao
Huku wengi wakihususha Mfumo huo kama heshima na Utambulisho kwa Nyoka alieasisi dhambi kuingia Duniani pale Eden
hii yote ni kutokana na Lawama wanazotupiwa Mapapa na Vatcan juu ya kuwa Controlled chini ya shetani
Huku wakiwa na Vikundi vya Siri siri vilivyo Chini ya Shetani kama Priory of Sion na vinginevyo.
DA'VINCI XV
Na Ikumbukwe Mungu wa hawa watu ni ShetaniFreemasons Wana amini Mungu Ana umbo la nyoka . So kwao nyoka ni kiumbe mtakatifu