Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Mkuu
Hii ni hatari mzee.

Serpent in real life.

Code imedadavuliwa
 
Mkuu
Hii ni hatari mzee.

Serpent in real life.

Code imedadavuliwa
Vizuri kabisaaa, na mtu mwenye ubongo mpan kuna kitu atafaidika nacho hapo

Ila wengi tupo kwenye DIMBWI la upofu upofu wa IMANI

who cares🤷‍♂️??
 
If you can't convince them confuse them ndo unachofanya mamaeeeeeeeeee wear
Mamaaaeeeee


Italia umefika unajua editing we kuuumaaaaaa
 
Asilimia ya waliohama RC walipata matatizo ya akili kama tatizo la kulalamika na kushawishi ujingaaaa jada watoto na vijana wakina mashuleni na vyuoni hupata matatizo hayo



1.Amna aliyeliona live

2.Hamna mwenye uhakika lilo hivyi
3.utoto mwingi
 
Kwani kuna tatizo gani kuwekwa ishara ya nyoka?

Vipi kama huyo nyoka ame-represent kama nyoka wa shaba aliyetumiwa na mussa?
 
Kwani kuna tatizo gani kuwekwa ishara ya nyoka?

Vipi kama huyo nyoka ame-represent kama nyoka wa shaba aliyetumiwa na mussa?
Reptilian Race ni Hypothesis na hicho ulicho propose hapo pia ni Hypothesis.....

Hypothesis nzuri ni ile inayoweza kuelezea various observations....

Hypothesis yako inaweza kuelezea observations nitakazozitoa?
 
Nyerere aliwahi onekana kwa mti wa embe huko tanga. Naomba ufafanuzi juu ya nyerere na maembe
 
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Wewe mjukuu wa Ellen White upo??
 
Mkuu umemaliza.Sitii neno.
 
Kuanza na sala ya kuungama huku bado unaishi katika dhambi haisaidii chochote, halafu ondoa uongo wako huo wa biblia kuandikwa na wakatoliki nenda kajifunze zaidi inaonekana hujui chochote
Haya tuambie Wewe Uchebe,Biblia imeandikwa na nani?.
 
Wapige nyundo ya kichwa mkuu.
 
Wewe hushikilii unachoamini?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…